The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Je, mbinguni ambapo tunaahidiwa kutakua na perfect life, hakuna kifo, hakuna kulia, hakuna njaa, ni furaha mwanzo mwisho, ni kuimba na kuabudu mwanzo mwisho wanyamapori kama simba, chui, swala, nyumbu na wengine watakuwepo? Je wataishi kwa upendo bila kulana, watashirikiana kila kitu?
Je, wao wanyama kama watakuwepo watakua na wao kazi yao ni kuimba na kuabudu siku zote bila kikomo? Je wanyama hao watakua wanazaliana?
Kama wanyama wataenda kushirikiana huko mbinguni, je huku Duniani nani aliwagombanisha kwa sababu hawaongei, hata wale wa species moja kama simba, paka, mbwa, chui hawaelewani wakati wale wanaokula majani wanaelewana.
Naomba kufahamu mbinguni kutakuwaje ama kukoje, nasikia tu kua kuna misosi imeandaliwa kabla ya kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu (hizo hotpot ni balaa). Angalau waislamu wanatoa picha ndogo ya mbinguni kukoje, wanawake warembo na pombe, hapo kwa wanawake wamenipata, nitajilia vimwana😂. Vimwana wa mbinguni mjiandae tafadhali (nasikia hakuna cha alkasusu, viagra wala vumbi la congo, ni mpini mwanzo mwisho hata goli 12)
Je, mbinguni kukoje?
Ahsante.
Je, wao wanyama kama watakuwepo watakua na wao kazi yao ni kuimba na kuabudu siku zote bila kikomo? Je wanyama hao watakua wanazaliana?
Kama wanyama wataenda kushirikiana huko mbinguni, je huku Duniani nani aliwagombanisha kwa sababu hawaongei, hata wale wa species moja kama simba, paka, mbwa, chui hawaelewani wakati wale wanaokula majani wanaelewana.
Naomba kufahamu mbinguni kutakuwaje ama kukoje, nasikia tu kua kuna misosi imeandaliwa kabla ya kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu (hizo hotpot ni balaa). Angalau waislamu wanatoa picha ndogo ya mbinguni kukoje, wanawake warembo na pombe, hapo kwa wanawake wamenipata, nitajilia vimwana😂. Vimwana wa mbinguni mjiandae tafadhali (nasikia hakuna cha alkasusu, viagra wala vumbi la congo, ni mpini mwanzo mwisho hata goli 12)
Je, mbinguni kukoje?
Ahsante.