Pre GE2025 Je, Mbowe akishinda wabunge wanawake 19 watarudi, na Lissu atatimuliwa?

Pre GE2025 Je, Mbowe akishinda wabunge wanawake 19 watarudi, na Lissu atatimuliwa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Seriously?
Mbowe aliulizwa hilo swali na alijibu kuwa hawatarudi. Akaulizwa kama CDM yake itawasamehe, akasema suala la msamaha linaingiaje wakati hawajawahi kuomba msamaha. Akagusia kidogo kuwa kuna dalili kuwa wengine wameishahamia kwingine. Sasa mnataka aseme nini?

Watanzania wanahusika vipi hapa? CHADEMA sio chama tawala. Priority yao kubwa ni wanachama wao ( hasa wale ambao wamesimama nao siku zote).

Unasema kuwa anajijali yeye na genge lake lakini wale ambao wanaosema asipochaguliwa mtu wao mnaona ndio wenye mapenzi na CDM. Kwangu mimi hao wanampenda mtu kuliko chama.

Hiyo mipango yao mibovu ndio iliyokifikisha chama hapa kilipo ambapo sasa kila mtu anajiona kuwa anakijua kuliko wale waliotokq nacho mbali. Hao wenye mapenzi ya dhati walikuwa wapi wakati kinapitia wakati mgumu.

Leo mnabeza maridhiano wakati kabla yake hata kukutana chumbani hamkuweza. Kabla yake mamia ya wanachama na wafuasi wa CDM walikuwa ndani kwa mashtaka ya ajabu ajabu ( mengine walishtakiwa kwa murder). Sikusikia watu wakichangisha michango ya kuwalipa mawakili wa kuwatetea. Nilichokiona na viongozi wa CDM, Bavicha na Bawacha wakiwatembelea mara kwa mara. Mlitaka hao waendelee kuozea mahabusu kwa sababu tu ya Covid 19? Halafu mnasema mnawajali wanachama wa Chadema?

Mimi nadhani kinachotakiwa ni mjadala wa kiungwana, kati ya watu wanaoheshimiana ingawa wanatofautiana mawazo. Baada ya hapo wale wenye mamlaka ya kupiga kura wamchague mtu ambae wanaona anaweza kuijenga CDM yenye matumaini kwao. Baada ya hapo waendelee kujipanga kwa ajili ya chaguzi zijazo.

Mnachofanya sasa ni kubomoa hata kile mlicho nacho kwa misguided efforts za kumtoa mtu msiyemkubali.

Mkataeni lakini msimvunjie heshima. Matumaini yangu ni kuwa yeyote atakayeshinda ataweza kuchukua mawazo mazuri ya washindani wake kwa faida ya chama chao.

Amandla...
Yeye kwa udhaifu wake ndiye alisababisha chama kizuiwe kufanya mikutano, kitu ambacho ni haki yao kikatiba. So maridhiano yalikuwa ni kurudisha haki alizozipoteza.

Pia watu hawalalamiki Mbowe kushindana na Lissu, au hawataki kura ziamue, bali wanalalamika kung'ang'ania kwake madaraka. Alibadili katiba na kuondoa ukomo. Huo ni uhuni. Miaka 20 amekuwa mwenyekiti. Hapaswi kuingia kupigiwa kura. Mbowe hata akishinda, uenyekiti wake utakuwa batili myoyoni mwa wanachama wanaojielewa.
 
..Mashaka yangu ni hayo?

..genge la Mbowe linaelekea kudharau hisia, na akili, za Watanzania.

..kuna viashiria vya Mbowe na genge lake kutaka kuwarudisha Covid-19 katika chama.

..wanajijali wao na genge lao kuliko wanachama na maslahi mazima ya chama.

..hawana mipango au malengo ya kukifikisha chama mbali zaidi na kilipo sasa.
Warudi tu, kama Rutto na Uhuru na Raila leo wanaongea! Katika siasa hakuna adui wa kudumu, ila kuna maslahi ya kudumu
 
Seriously?
Mbowe aliulizwa hilo swali na alijibu kuwa hawatarudi. Akaulizwa kama CDM yake itawasamehe, akasema suala la msamaha linaingiaje wakati hawajawahi kuomba msamaha. Akagusia kidogo kuwa kuna dalili kuwa wengine wameishahamia kwingine. Sasa mnataka aseme nini?

Watanzania wanahusika vipi hapa? CHADEMA sio chama tawala. Priority yao kubwa ni wanachama wao ( hasa wale ambao wamesimama nao siku zote).

Unasema kuwa anajijali yeye na genge lake lakini wale ambao wanaosema asipochaguliwa mtu wao mnaona ndio wenye mapenzi na CDM. Kwangu mimi hao wanampenda mtu kuliko chama.

Hiyo mipango yao mibovu ndio iliyokifikisha chama hapa kilipo ambapo sasa kila mtu anajiona kuwa anakijua kuliko wale waliotokq nacho mbali. Hao wenye mapenzi ya dhati walikuwa wapi wakati kinapitia wakati mgumu.

Leo mnabeza maridhiano wakati kabla yake hata kukutana chumbani hamkuweza. Kabla yake mamia ya wanachama na wafuasi wa CDM walikuwa ndani kwa mashtaka ya ajabu ajabu ( mengine walishtakiwa kwa murder). Sikusikia watu wakichangisha michango ya kuwalipa mawakili wa kuwatetea. Nilichokiona na viongozi wa CDM, Bavicha na Bawacha wakiwatembelea mara kwa mara. Mlitaka hao waendelee kuozea mahabusu kwa sababu tu ya Covid 19? Halafu mnasema mnawajali wanachama wa Chadema?

Mimi nadhani kinachotakiwa ni mjadala wa kiungwana, kati ya watu wanaoheshimiana ingawa wanatofautiana mawazo. Baada ya hapo wale wenye mamlaka ya kupiga kura wamchague mtu ambae wanaona anaweza kuijenga CDM yenye matumaini kwao. Baada ya hapo waendelee kujipanga kwa ajili ya chaguzi zijazo.

Mnachofanya sasa ni kubomoa hata kile mlicho nacho kwa misguided efforts za kumtoa mtu msiyemkubali.

Mkataeni lakini msimvunjie heshima. Matumaini yangu ni kuwa yeyote atakayeshinda ataweza kuchukua mawazo mazuri ya washindani wake kwa faida ya chama chao.

Amandla...
Kitu muhimu unachotakiwa kufahamu ni kuwa CHADEMA mpaka kufika hapo kilipofika, ni juhudi kubwa iliyofanywa na watu waliojiunga baada ya chama kuanzishwa kuliko kufikiria kuwa ni juhudi ya waaanzilishi pekee.

CHADEMA baada ya kuanzishwa kwake, kwa miaka kadhaa haikuwa chochote, haikuwa tofauti sana na ilivyo CHAUMA au TADEA leo.

Vichwa imara vilivyojiunga baadaye, watu kama Dr. Slaa, Prof. Baregu, Prof. Mkumbo, Prof. Mkumbo, Zito na Lisu, kwa hakika ndio walioweza kuibadilisha CHADEMA, na kuiweka CHADEMA juu ya vyama vingine vya upinzani.

Kuondoka na kukosekana kwa watu hawa makini, CHADEMA imezorota na kupungua sana nguvu yake. Aliyekuwa amebakia, na kuipa hamasa CHADEMA, na kujenga imani kwa wananchi ni Tundu Lisu. Ikitokea Lisu naye akaondoka CHADEMA, lazima itarudi ilikokuwa.

Katika taasisi yoyote ile, profile ya uongozi katika taasisi hiyo ni muhimu sana, na ndiyo inayojenga taswira ya chama kwa watu. Chama cha siasa siyo physical object, huonekana kwa kupitia aiana ya uongozi uliopo na aina ya watu waliopo ndani yake.

Ngome ya CHADEMA kwa miaka mingi ilikuwa kanda ya Kaskazini, baadhi ya maeneo kanda ya Nyanda za Juu Kusini, na baadhi ya maeneo kanda ya Ziwa, leo hii maeneo hayo hayo, kwenye baadhi ya ngazi ya mkoa na wilaya, mpaka wanakosekana wagombea wa nafasi za chama, yaani hakuna anayetaka hata kuwa kiongozi.

Mbowe akishindwa kufanya tafakari ya busara, atambue watu wengi makini wataondoka CHADEMA, ama hawatajishughulisha, watamwachia amalizie kukiua chama, wakati wakifikiria options nyingine za kufanya. Ndani ya CHADEMA, mwakani, kama mgombea wa kiti cha Urais kupitia CHADEMA, hatakuwa Lisu, ni nani ambaye watu wanaweza kumpa kura zao. Watu pekee ambao waliwahi kugombea kupitia CHADEMA, na angalao kutoa hamasa na kuleta ushindani ni Dr. Slaa, Lisu na Lowasa; Lowasa alishinda lakini akanyang'anywa ushindi. Leo hii Dr. Slaa hayupo huko, Lowasa amehitimisha maisha yake ya kuwepo Duniani, na Lisu ndiye huyo anayewekewa mazingirwa ya kuondoka. Je, Mbowe ataenda kumwokota nani kutoka CCM hata akiletee chama kura na wabunge kama ilivyokuwa kwa Lowasa?

Katika mapambano yoyote, kiongozi anayeaminika na mwenye uwezo wa juu na ujasiri usio na mashaka, ni muhimu kuliko chochote. Viongozi wa namna hiyo, wanakuwa kama nembo ya chama katika wakati husika.
 
Kitu muhimu unachotakiwa kufahamu ni kuwa CHADEMA mpaka kufika hapo kilipofika, ni juhudi kubwa iliyofanywa na watu waliojiunga baada ya chama kuanzishwa kuliko kufikiria kuwa ni juhudi ya waaanzilishi pekee.

CHADEMA baada ya kuanzishwa kwake, kwa miaka kadhaa haikuwa chochote, haikuwa tofauti sana na ilivyo CHAUMA au TADEA leo.

Vichwa imara vilivyojiunga baadaye, watu kama Dr. Slaa, Prof. Baregu, Prof. Mkumbo, Prof. Mkumbo, Zito na Lisu, kwa hakika ndio walioweza kuibadilisha CHADEMA, na kuiweka CHADEMA juu ya vyama vingine vya upinzani.

Kuondoka na kukosekana kwa watu hawa makini, CHADEMA imezorota na kupungua sana nguvu yake. Aliyekuwa amebakia, na kuipa hamasa CHADEMA, na kujenga imani kwa wananchi ni Tundu Lisu. Ikitokea Lisu naye akaondoka CHADEMA, lazima itarudi ilikokuwa.

Katika taasisi yoyote ile, profile ya uongozi katika taasisi hiyo ni muhimu sana, na ndiyo inayojenga taswira ya chama kwa watu. Chama cha siasa siyo physical object, huonekana kwa kupitia aiana ya uongozi uliopo na aina ya watu waliopo ndani yake.

Ngome ya CHADEMA kwa miaka mingi ilikuwa kanda ya Kaskazini, baadhi ya maeneo kanda ya Nyanda za Juu Kusini, na baadhi ya maeneo kanda ya Ziwa, leo hii maeneo hayo hayo, kwenye baadhi ya ngazi ya mkoa na wilaya, mpaka wanakosekana wagombea wa nafasi za chama, yaani hakuna anayetaka hata kuwa kiongozi.

Mbowe akishindwa kufanya tafakari ya busara, atambue watu wengi makini wataondoka CHADEMA, ama hawatajishughulisha, watamwachia amalizie kukiua chama, wakati wakifikiria options nyingine za kufanya. Ndani ya CHADEMA, mwakani, kama mgombea wa kiti cha Urais kupitia CHADEMA, hatakuwa Lisu, ni nani ambaye watu wanaweza kumpa kura zao. Watu pekee ambao waliwahi kugombea kupitia CHADEMA, na angalao kutoa hamasa na kuleta ushindani ni Dr. Slaa, Lisu na Lowasa; Lowasa alishinda lakini akanyang'anywa ushindi. Leo hii Dr. Slaa hayupo huko, Lowasa amehitimisha maisha yake ya kuwepo Duniani, na Lisu ndiye huyo anayewekewa mazingirwa ya kuondoka. Je, Mbowe ataenda kumwokota nani kutoka CCM hata akiletee chama kura na wabunge kama ilivyokuwa kwa Lowasa?

Katika mapambano yoyote, kiongozi anayeaminika na mwenye uwezo wa juu na ujasiri usio na mashaka, ni muhimu kuliko chochote. Viongozi wa namna hiyo, wanakuwa kama nembo ya chama katika wakati husika.
Watamsimamisha Ntobi agombee urais maana wanaona simple.
 
Mbowe anaogopa kuachia madaraka kwani siri zitafichuka kwenye pesa za chadema kafuja sana ni mchoyo pesa za msaada kwa chama anajimilikisha, anaogopa akitoka watagundua ufisadi wake
Hii pia ina ukweli anahofia watamuanika hadharani kwa kutumia rekodi
 
Seriously?
Mbowe aliulizwa hilo swali na alijibu kuwa hawatarudi. Akaulizwa kama CDM yake itawasamehe, akasema suala la msamaha linaingiaje wakati hawajawahi kuomba msamaha. Akagusia kidogo kuwa kuna dalili kuwa wengine wameishahamia kwingine. Sasa mnataka aseme nini?

Watanzania wanahusika vipi hapa? CHADEMA sio chama tawala. Priority yao kubwa ni wanachama wao ( hasa wale ambao wamesimama nao siku zote).

Unasema kuwa anajijali yeye na genge lake lakini wale ambao wanaosema asipochaguliwa mtu wao mnaona ndio wenye mapenzi na CDM. Kwangu mimi hao wanampenda mtu kuliko chama.

Hiyo mipango yao mibovu ndio iliyokifikisha chama hapa kilipo ambapo sasa kila mtu anajiona kuwa anakijua kuliko wale waliotokq nacho mbali. Hao wenye mapenzi ya dhati walikuwa wapi wakati kinapitia wakati mgumu.

Leo mnabeza maridhiano wakati kabla yake hata kukutana chumbani hamkuweza. Kabla yake mamia ya wanachama na wafuasi wa CDM walikuwa ndani kwa mashtaka ya ajabu ajabu ( mengine walishtakiwa kwa murder). Sikusikia watu wakichangisha michango ya kuwalipa mawakili wa kuwatetea. Nilichokiona na viongozi wa CDM, Bavicha na Bawacha wakiwatembelea mara kwa mara. Mlitaka hao waendelee kuozea mahabusu kwa sababu tu ya Covid 19? Halafu mnasema mnawajali wanachama wa Chadema?

Mimi nadhani kinachotakiwa ni mjadala wa kiungwana, kati ya watu wanaoheshimiana ingawa wanatofautiana mawazo. Baada ya hapo wale wenye mamlaka ya kupiga kura wamchague mtu ambae wanaona anaweza kuijenga CDM yenye matumaini kwao. Baada ya hapo waendelee kujipanga kwa ajili ya chaguzi zijazo.

Mnachofanya sasa ni kubomoa hata kile mlicho nacho kwa misguided efforts za kumtoa mtu msiyemkubali.

Mkataeni lakini msimvunjie heshima. Matumaini yangu ni kuwa yeyote atakayeshinda ataweza kuchukua mawazo mazuri ya washindani wake kwa faida ya chama chao.

Amandla...
Benson Kigaila mke wake ni COVID 19.

Salum Mwalimu mzazi mwenzie ni COVID 19.

Maigizo ya Mbowe na genge lake yamefika mwisho.
 
Tuliwaonya siku nyingi tu kwamba hao wanawake wana baraka zote za mwenyekiti na katibu wake ila mkashupaza shingo.

We huoni hata wake wa vigogo wa chadema nao ni miongoni mwa hao wabunge? Hujiulizi kwanini?
 
Maneno mazito sana.

Sijui kama Lissu na mashabiki wake wanafahamu kwamba kuna wanachama wengi waliofanikiwa kutoka ktk magereza na sasa wameungana na familia zao.

Sijui kama Lissu na mashabiki wake wanatambua makao makuu ya chama Mikocheni ni matunda ya maridhiano.

Sijui kama Lissu anafahamu mikutano ya hadhara na ile ya ndani iliwezekana baada ya mazungumzo ya maridhiano.

Sijui kama Lissu anakumbuka Mwenyekiti wake alibambikiwa kesi mbaya na ngumu lakini kupitia mazungumzo zilifutwa zote kwakuwa zilikuwa na malengo ya kisiasa.

Narudia tena na tena Lissu kama anaweza kukibagaza chama chake akiwa kiongozi mkubwa number 2 siku kwa faida za siasa zake siku akikamata hatamu atawabagaza kina nani ?.

Ukweli mchungu napata ukakasi sana na aina ya siasa za Lissu.Amekifikisha chama chake mahali pagumu sana pengine ungefikri labda kashushwa mwezini hajui mazingira ya siasa zetu.
Mbowe akiona watu wajinga dizaini yako anafurahia sana
 
Mnachofeli wafuasi wa Mbowe ni kua kulikua na masharti yakuelekea makubaliano, hayo masharti yalipoanza kutekelezwa na Serikali nyie ndio mnayaita sasa makubaliano.
Masharti kabla ya makubaliano? Una maana CDM waliweka masharti ambayo walitaka yatekelezwe kabla ya kuingia kwenye majaliano. Tatizo lenu wafuasi wa Lissu ni kuwa mnaamini kuwa watu huwa wanaanza majadiliano kabla ya masharti yote kutimizwa. Ndivyo ilivyo Gaza. Au kinacho wauma ni kuwa sharti mojawapo lilikuwa Lissu alipwe stahili zake lakini wakina Mbowe wakaanza majadiliano kabla hajalipwa? Au hamkutaka mazungumzo kabla wakina Halima kuondolewa Bungeni?
Mnadhani hayo machache mnayobeza yaèx̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌



Amandla...
Yeye kwa udhaifu wake ndiye alisababisha chama kizuiwe kufanya mikutano, kitu ambacho ni haki yao kikatiba. So maridhiano yalikuwa ni kurudisha haki alizozipoteza.

Pia watu hawalalamiki Mbowe kushindana na Lissu, au hawataki kura ziamue, bali wanalalamika kung'ang'ania kwake madaraka. Alibadili katiba na kuondoa ukomo. Huo ni uhuni. Miaka 20 amekuwa mwenyekiti. Hapaswi kuingia kupigiwa kura. Mbowe hata akishinda, uenyekiti wake utakuwa batili myoyoni mwa wanachama wanaojielewa.
Kama mnamuona mhuni basi fanyeni kampeni asipigiwe kura lakini sio kutaka kumnyang'anya haki yake ya kikatiba. Mkifanikiwa kwake si ndio mtaweza kuwakataza wengine kugombea kwa sababu watu wa dini yao wameongoza kwa muda mrefu ( kwa nini ni muislamu mmoja tu ndio amewahi kuwa Mwenyekiti) au watu wa jinsia yao ( kwa nini wanaume tu ndio wamekuwa wenyekiti) au watu wa kutoka eneo fulani ( ni zamu sasa ya wachaga kukaa pembeni ili wamakonde nao waonje uenyekiti) au sasa ni zamu ya mzanzibari kuwa Mwenyekiti au watu wafupi n.k.

Mnafungua boksi la Pandora kwa hili mnalofanya.

Amandla..
 
Benson Kigaila mke wake ni COVID 19.

Salum Mwalimu mzazi mwenzie ni COVID 19.

Maigizo ya Mbowe na genge lake yamefika mwisho.
Kwa hiyo Katiba inasema kuwa watu wenye ujamaa na COVID-19 hawastahili kuwa viongozi? Mwisho si mtawakataza watu kwa sababu tu rafiki yao ni CCM! Apimwe mtu kama mtu na sio kwa matendo ya wake au waume zao. Au watu waliozaa nao. Au rafiki zake. Au jirani zake.

Amandla...
 
Seriously?
Mbowe aliulizwa hilo swali na alijibu kuwa hawatarudi. Akaulizwa kama CDM yake itawasamehe, akasema suala la msamaha linaingiaje wakati hawajawahi kuomba msamaha. Akagusia kidogo kuwa kuna dalili kuwa wengine wameishahamia kwingine. Sasa mnataka aseme nini?

Watanzania wanahusika vipi hapa? CHADEMA sio chama tawala. Priority yao kubwa ni wanachama wao ( hasa wale ambao wamesimama nao siku zote).

Unasema kuwa anajijali yeye na genge lake lakini wale ambao wanaosema asipochaguliwa mtu wao mnaona ndio wenye mapenzi na CDM. Kwangu mimi hao wanampenda mtu kuliko chama.

Hiyo mipango yao mibovu ndio iliyokifikisha chama hapa kilipo ambapo sasa kila mtu anajiona kuwa anakijua kuliko wale waliotokq nacho mbali. Hao wenye mapenzi ya dhati walikuwa wapi wakati kinapitia wakati mgumu.

Leo mnabeza maridhiano wakati kabla yake hata kukutana chumbani hamkuweza. Kabla yake mamia ya wanachama na wafuasi wa CDM walikuwa ndani kwa mashtaka ya ajabu ajabu ( mengine walishtakiwa kwa murder). Sikusikia watu wakichangisha michango ya kuwalipa mawakili wa kuwatetea. Nilichokiona na viongozi wa CDM, Bavicha na Bawacha wakiwatembelea mara kwa mara. Mlitaka hao waendelee kuozea mahabusu kwa sababu tu ya Covid 19? Halafu mnasema mnawajali wanachama wa Chadema?

Mimi nadhani kinachotakiwa ni mjadala wa kiungwana, kati ya watu wanaoheshimiana ingawa wanatofautiana mawazo. Baada ya hapo wale wenye mamlaka ya kupiga kura wamchague mtu ambae wanaona anaweza kuijenga CDM yenye matumaini kwao. Baada ya hapo waendelee kujipanga kwa ajili ya chaguzi zijazo.

Mnachofanya sasa ni kubomoa hata kile mlicho nacho kwa misguided efforts za kumtoa mtu msiyemkubali.

Mkataeni lakini msimvunjie heshima. Matumaini yangu ni kuwa yeyote atakayeshinda ataweza kuchukua mawazo mazuri ya washindani wake kwa faida ya chama chao.

Amandla...
Mkuu watanzania wengi hawana akili ya kusikiliza na kuamua kitu. Huyo Mbowe kajieleza sana kupitia ile press lakini kwakua watu walikua na maamuzi yao tayari kichwani wameamua kubaki na wanachoamini.

Ogopa sana mtu anakuhubiria kuhusu demokrasia lakini anakasirika kwanini Mbowe kagombea!! Akiongea Lissu inakua sawa akiongea Mbowe inakua si sawa!!

Tuna kundi kubwa la vichaa katika jamii.
 
Masharti kabla ya makubaliano? Una maana CDM waliweka masharti ambayo walitaka yatekelezwe kabla ya kuingia kwenye majaliano. Tatizo lenu wafuasi wa Lissu ni kuwa mnaamini kuwa watu huwa wanaanza majadiliano kabla ya masharti yote kutimizwa. Ndivyo ilivyo Gaza. Au kinacho wauma ni kuwa sharti mojawapo lilikuwa Lissu alipwe stahili zake lakini wakina Mbowe wakaanza majadiliano kabla hajalipwa? Au hamkutaka mazungumzo kabla wakina Halima kuondolewa Bungeni?
Mnadhani hayo machache mnayobeza yaèx̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌x̌



Amandla...

Kama mnamuona mhuni basi fanyeni kampeni asipigiwe kura lakini sio kutaka kumnyang'anya haki yake ya kikatiba. Mkifanikiwa kwake si ndio mtaweza kuwakataza wengine kugombea kwa sababu watu wa dini yao wameongoza kwa muda mrefu ( kwa nini ni muislamu mmoja tu ndio amewahi kuwa Mwenyekiti) au watu wa jinsia yao ( kwa nini wanaume tu ndio wamekuwa wenyekiti) au watu wa kutoka eneo fulani ( ni zamu sasa ya wachaga kukaa pembeni ili wamakonde nao waonje uenyekiti) au sasa ni zamu ya mzanzibari kuwa Mwenyekiti au watu wafupi n.k.

Mnafungua boksi la Pandora kwa hili mnalofanya.

Amandla..
Nashangaa sana hawa watu demokrasia wanayohubiri ni ipi!!

Halafu Lissu alihamasisha sana maridhiano akisema huwezi pata kila kitu leo anawageuka wenzie.
 
..kuna viashiria vya Mbowe na genge lake kutaka kuwarudisha Covid-19 katika chama.
Mbowe ni MFANYABIASHARA na kila kitu (deal) anachofanya, anakifanya na jicho la/mentality ya "what is in it for me". Ni kama Trump anavyofanya dealings zake.

Wale wamama (COVID-19) ni mtaji wa kisiasa, as such, capital ya kuingiza pesa za RUZUKU. Wale watu waliingia bungeni wakiwa na baraka zote za Mbowe na lazima warudi kundini kwa kile kitakachoitwa "kusamehewa" ili wakapige kampeni kwenye uchaguzi wa October 2025, wapate kura kadhaa zitakazowezesha RUZUKU kupatikana

Ukweli mchungu ni kuwa Mbowe (na wanasiasa wote wa upinzani for that matter..) hana nia ya kukamata dola kwa sasa kwa sababu anaujua vyema mfumo uliopo. So, kama huwezi kupewa dola, at least piga hela tu!
 
Chama Lazima Kiwe Na Watu Wenye Mawazo Tofauti
Wabunge Wale Ni Mali Ya CCM,
 
..Mashaka yangu ni hayo?

..genge la Mbowe linaelekea kudharau hisia, na akili, za Watanzania.

..kuna viashiria vya Mbowe na genge lake kutaka kuwarudisha Covid-19 katika chama.

..wanajijali wao na genge lao kuliko wanachama na maslahi mazima ya chama.

..hawana mipango au malengo ya kukifikisha chama mbali zaidi na kilipo sasa.
Mada zingine ni za kijinga na kipumbavu tu.
Unakaa chini na kutunga ujinga mtupu.
Covid 19 walishafukuzwa Chadema, na hawana nafasi yoyote ndani ya Chadema. Mbowe juzi aliulizwa hilo swali na akajibu wazi kuwa wale sio wanachadema na hawana nafasi yoyote tena ndani ya Chadema.

Mbowe hata kama hafai lakini tusimzushie uongo wa kijinga na kipumbavu.
 
Mbowe ni MFANYABIASHARA na kila kitu (deal) anachofanya, anakifanya na jicho la/mentality ya "what is in it for me". Ni kama Trump anavyofanya dealings zake.

Wale wamama (COVID-19) ni mtaji wa kisiasa, as such, capital ya kuingiza pesa za RUZUKU. Wale watu waliingia bungeni wakiwa na baraka zote za Mbowe na lazima warudi kundini kwa kile kitakachoitwa "kusamehewa" ili wakapige kampeni kwenye uchaguzi wa October 2025, wapate kura kadhaa zitakazowezesha RUZUKU kupatikana

Ukweli mchungu ni kuwa Mbowe (na wanasiasa wote wa upinzani for that matter..) hana nia ya kukamata dola kwa sasa kwa sababu anaujua vyema mfumo uliopo. So, kama huwezi kupewa dola, at least piga hela tu!
Wewe nawe ni huna kitu kichwani, unatunga vitu vya kijinga kabisa, hujui hata ulichokiandika.
Nani alikwambia chama kinapewa ruzuku kwa sababu ya uwepo wa wabunge wa viti maalum bungeni? Nenda kajifunze upya.

Wewe unasema wale Covid 19 wako bungeni kwa sababu ya ruhusa ya Mbowe, kivipi? Mbowe ni nani ndani ya CCM, serikali, bungeni?

Jifunzeni kuficha ujinga wenu.
 
Kitu muhimu unachotakiwa kufahamu ni kuwa CHADEMA mpaka kufika hapo kilipofika, ni juhudi kubwa iliyofanywa na watu waliojiunga baada ya chama kuanzishwa kuliko kufikiria kuwa ni juhudi ya waaanzilishi pekee.

CHADEMA baada ya kuanzishwa kwake, kwa miaka kadhaa haikuwa chochote, haikuwa tofauti sana na ilivyo CHAUMA au TADEA leo.

Vichwa imara vilivyojiunga baadaye, watu kama Dr. Slaa, Prof. Baregu, Prof. Mkumbo, Prof. Mkumbo, Zito na Lisu, kwa hakika ndio walioweza kuibadilisha CHADEMA, na kuiweka CHADEMA juu ya vyama vingine vya upinzani.

Kuondoka na kukosekana kwa watu hawa makini, CHADEMA imezorota na kupungua sana nguvu yake. Aliyekuwa amebakia, na kuipa hamasa CHADEMA, na kujenga imani kwa wananchi ni Tundu Lisu. Ikitokea Lisu naye akaondoka CHADEMA, lazima itarudi ilikokuwa.

Katika taasisi yoyote ile, profile ya uongozi katika taasisi hiyo ni muhimu sana, na ndiyo inayojenga taswira ya chama kwa watu. Chama cha siasa siyo physical object, huonekana kwa kupitia aiana ya uongozi uliopo na aina ya watu waliopo ndani yake.

Ngome ya CHADEMA kwa miaka mingi ilikuwa kanda ya Kaskazini, baadhi ya maeneo kanda ya Nyanda za Juu Kusini, na baadhi ya maeneo kanda ya Ziwa, leo hii maeneo hayo hayo, kwenye baadhi ya ngazi ya mkoa na wilaya, mpaka wanakosekana wagombea wa nafasi za chama, yaani hakuna anayetaka hata kuwa kiongozi.

Mbowe akishindwa kufanya tafakari ya busara, atambue watu wengi makini wataondoka CHADEMA, ama hawatajishughulisha, watamwachia amalizie kukiua chama, wakati wakifikiria options nyingine za kufanya. Ndani ya CHADEMA, mwakani, kama mgombea wa kiti cha Urais kupitia CHADEMA, hatakuwa Lisu, ni nani ambaye watu wanaweza kumpa kura zao. Watu pekee ambao waliwahi kugombea kupitia CHADEMA, na angalao kutoa hamasa na kuleta ushindani ni Dr. Slaa, Lisu na Lowasa; Lowasa alishinda lakini akanyang'anywa ushindi. Leo hii Dr. Slaa hayupo huko, Lowasa amehitimisha maisha yake ya kuwepo Duniani, na Lisu ndiye huyo anayewekewa mazingirwa ya kuondoka. Je, Mbowe ataenda kumwokota nani kutoka CCM hata akiletee chama kura na wabunge kama ilivyokuwa kwa Lowasa?

Katika mapambano yoyote, kiongozi anayeaminika na mwenye uwezo wa juu na ujasiri usio na mashaka, ni muhimu kuliko chochote. Viongozi wa namna hiyo, wanakuwa kama nembo ya chama katika wakati husika.
Hakuna mtu ambae anasema kuwa ni Mbowe peke yake ndie aliyekifikisha chama kilipo. Lakini kushindwa kumtaja katika watu waliochangia chama kufika hapa kilipo unaonyesha bias na chuki uliyonayo dhidi yake.

Tunaambiwa siku zote kuwa Chadema iko ICU lakini bado kipo. Ni uongo kusema kuwa watu hawataki kushika nafasi CDM kwa sababu ya Mbowe. Unasahau matatizo ambayo viongozi wa CDM wanapata. Kinachoshangaza ni kuwa pamoja na kujua hilo bado watu wanajitokeza.

Sitakujibu kwingine kwa sababu ni subjective na una haki ya kuamini unacho amini.

Amandla...
 
Wewe unasema wale Covid 19 wako bungeni kwa sababu ya ruhusa ya Mbowe, kivipi? Mbowe ni nani ndani ya CCM, serikali, bungeni?
Hata hujui wabunge wa Viti Maalumu wanaingiaje Bungeni. Pole

Hilo la "Mbowe ni nani ndani ya Serikali" ipo siku tutajua. Kwa sasa liache kama lilivyo
 
Itakua jambo jema kama CHADEMA wameamua kuwachezesha CCM kibao kata.

Kura ya ndio apewe Lisu mambo yaishe tuanze hapo.
 
Back
Top Bottom