Binafsi, tokea nilipoona kwa mara ya kwanza hili saga, kilichokuja kwenye tafakuri yangu ni kuwa,
mkurugenzi alileta unaa kwenye zoezi la uchaguzi
Yaani hakuwa tayari kutangaza aliyeshindwa kama mshindi, ndiyo maana sooon baada ya uchaguzi, wamemla kichwa.
Ni mawazo ya dhahania kutoka kwa mwanafalsafa wa kijiji.
mkurugenzi alileta unaa kwenye zoezi la uchaguzi
Yaani hakuwa tayari kutangaza aliyeshindwa kama mshindi, ndiyo maana sooon baada ya uchaguzi, wamemla kichwa.
Ni mawazo ya dhahania kutoka kwa mwanafalsafa wa kijiji.