Pre GE2025 Je, Mbunge wako ana hali nzuri hapo Bungeni kuelekea 2025? Wabunge wangu Askofu Gwajima (Kawe) na Jesca (Iringa Mjini) hali ni tete

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkuu huyo mama Ni jembe kwani habetui mabega wala hajui kupinda mdomo kwenye kazi yake full time yupo kazini & active
Muwe mna watag jamani, tunao humu viongozi wetu
 
Na wewe Una hasara kama Mimi hapa Mafinga? Kumbe Mbunge wako Jesca, hivi Iringa tumemkosea nini Mungu?
 
Kuna huyu wa Kibamba anaitwa Mtemvu, buree kabisa... Jimbo lake miundombinu hoi taaban... Sehemu kubwa Maji hakuna, Barabara na madaraja yaliyoharibiwa zaidi ya miezi nane sasa hakuna alichofanya kurudisha hali zake sawa... Kwa tathmini ya harakaharaka hafai kabisa,
 
Yupo yule MNEC nimemsahau jina lake halisi ila a.k.a MANGUZO, amemkalia kooni Angelina Mabula huku Ilemela anapumulia mashine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…