All in all media ina mchango mkubwa sana kupromote msanii,tuliona jinsi clouds walivyombana Jide lakini kwakuwa Jide anajua umuhimu wa media akatumia East Africa Radio kutangaza Kazi zake,haiwezekani Media zote wasipige nyimbo zako obvious utakuwa na shida tu,hauwezi kula bila kuliwa, figisu za OSATA walizowafanyia wasanii wengine nao zinarudi kwao,karma is a real b waache kulalama it's their turn.Ita kama wewe ni mkubwa huwezi kuwa juu ya media ,media hasa tv na radio zina mchango mkubwa katika kumpromote msanii zaidi ya chochote
Unavong'ang'ana sijui unatetea nnAll in all media ina mchango mkubwa sana kupromote msanii,tuliona jinsi clouds walivyombana Jide lakini kwakuwa Jide anajua umuhimu wa media akatumia East Africa Radio kutangaza Kazi zake,haiwezekani Media zote wasipige nyimbo zako obvious utakuwa na shida tu,hauwezi kula bila kuliwa, figisu za OSATA walizowafanyia wasanii wengine nao zinarudi kwao,karma is a real b waache kulalama it's their turn.
Acha kuwafunga mdomo watu kwa uonevu wanaofanyiwa wasanii miaka nenda rudi,Diamond wamemshindwa na tunasema wamemshindwa.kinachoangaliwa hapa ni kwa namna gani CHUKI zawaz zinazojitokeza kisa maslahi kwa msaniii,jee HALI ikoje kwa wasiojiweza zaid wanajikongoja.Au ndo mambo ya RUBY kuomba msamaha maskini na kujiita gala.CLOUDS NA HAO EA WASHAANZA KUCHUNGULIA SHIMO KAMA BWANA SHIGONGO NA VIJIGAZET VYAKE,NA BADO WENGI TU WATAPOTEA,TATZO HAWAJUI DUNIA IPO KUGANJANI MWAKO SASA UMTISHIE MTU KISA LIREDIO AMBALO WATU KUSKIZA YENYEWE SIKU HIZI NI NGUMUMakelele ya nini? Diamond si wa kwanza kubaniwa, ameanzisha TV na Radio na ana base Kubwa kama mnavyosema why bado mnalalamika?
Media ni bizness,wanapiga nyimbo zako kukupa promo in return wakikuita kwenye show uperform ukawazingua na wao wanakuzingua tu,Sugu,Jide, Nature,inspector, zedudu etc wamepitia hizo changamoto,dimond sio wa kwanza akaze tu kama wenzake,kitendo cha kuendelea kupiga makelele kinaonyesha team mond hamjiamini.
All in all media ina mchango mkubwa sana kupromote msanii,tuliona jinsi clouds walivyombana Jide lakini kwakuwa Jide anajua umuhimu wa media akatumia East Africa Radio kutangaza Kazi zake,haiwezekani Media zote wasipige nyimbo zako obvious utakuwa na shida tu,hauwezi kula bila kuliwa, figisu za OSATA walizowafanyia wasanii wengine nao zinarudi kwao,karma is a real b waache kulalama it's their turn.[/QUOTE
Hahhaaaaa,stuka mzeee sasa ulimwengu mwingine huku oooohh vijiredio vya unyonyaji na kutoka kunyenyekewa vitajifia yenyewe
Aisee jamaa wanafuliaga kwa WCB Sana'a sijui kwa nn,waliungana kumpromote KIBA na SEDUCE aisee daaah mpaka iliogopesha.iLA ONDI ANA ROHO YA CHUMA KUDADEK,KAKAZA KAMA KAWA KAMALIZA MWAKA KATOBOA,SASA ULE MJENGO WA WCB NDO UNAWACHANGANYA KABISAAA LAZIMA WAZIDISHE CHUKIaisee wanaomsema diamond bwana kuna kipindi walisema darasa kwa iĺe nyimbo ya mziki atamfunika chibu ......watu tukasema kumaintain consistency ni kazi wakajua utani ......baada ya ile mziki tu nyimbo aliyotoa .... . utanitoa roho ...ikabuma jamaa akachanganyikiwa tena haraka zake akatoa hasara roho....stori ikaishia hapo...
It it is not about kuoanzisha TV, Raido or what it is about fairness. Kwa hiyo wanamuziki wooote waanzishe bendi zao ili wapige miziki yao. Hiyo Radio Ya CLOUDS inayotaka kunyenyekewa utafirkir serikali haipo no. Hii ifikie mwisho as enough is enough.!Makelele ya nini? Diamond si wa kwanza kubaniwa, ameanzisha TV na Radio na ana base Kubwa kama mnavyosema why bado mnalalamika?
Media ni bizness,wanapiga nyimbo zako kukupa promo in return wakikuita kwenye show uperform ukawazingua na wao wanakuzingua tu,Sugu,Jide, Nature,inspector, zedudu etc wamepitia hizo changamoto,dimond sio wa kwanza akaze tu kama wenzake,kitendo cha kuendelea kupiga makelele kinaonyesha team mond hamjiamini.
SIKU HIZI MZIKI UNAUZIKA MNO MITANDAONI KULIKO KWENYE RADIO.PAGES ZA INSTAGRAM NA FACEBOOK ZINAWEZA FANYA MSANII KUENDESHA MAISHA YAKE YA KIMUZIKI VEMA.
WATU WENGI WA MEDIA MARA NYINGI NI WANAFIKI MNO.WANATAKA WANYENYEKEWE ILI WAPIGE NYIMBO ZA MSANII
Balaah sana huyu mnyama asiye fugwa maana ategemei chakula cha mtu. Anasaka mwenyewe ndo maana anajitoa kwa wasanii wake maana anaweka link za nyimbo za wanamziki wake na kuwapigia promo ya kutosha fikiria mondi anasimamia video ya mbosso daaah! Kweli hacha abarikiweMondi bin laden....hata bila promo mziki wake unajiuza...viewers youtube wanamlipa sana skuiz show za bongo ni bure kama juzi..mboso nyimbo no 1 on trending bado kdg viewers wafike
1 m
Leo Mbosso katambulishwa Abood FM Morogoro....Redio za Dar kaeni na majungu yenu..
Kazi kuwanyonya wasanii tu.
Usicheze na nguvu ya media wewe,na ndio kinachowapa kiburi kwa kusema kwamba nipo juu so hawawezi kunishuasha,tambua aliyekupandisha ndio huyo huyo atakushusha.Wamechelewa sana kumshusha kwa alipo sasa hivi walie tu
Acha kuwafunga mdomo watu kwa uonevu wanaofanyiwa wasanii miaka nenda rudi,Diamond wamemshindwa na tunasema wamemshindwa.kinachoangaliwa hapa ni kwa namna gani CHUKI zawaz zinazojitokeza kisa maslahi kwa msaniii,jee HALI ikoje kwa wasiojiweza zaid wanajikongoja.Au ndo mambo ya RUBY kuomba msamaha maskini na kujiita gala.CLOUDS NA HAO EA WASHAANZA KUCHUNGULIA SHIMO KAMA BWANA SHIGONGO NA VIJIGAZET VYAKE,NA BADO WENGI TU WATAPOTEA,TATZO HAWAJUI DUNIA IPO KUGANJANI MWAKO SASA UMTISHIE MTU KISA LIREDIO AMBALO WATU KUSKIZA YENYEWE SIKU HIZI NI NGUMU
hahaha sio kwa level kama alofikia diamond. na dunia ya technologia ilipofikia, mchango wa media sawa ila ukishafika levels za juu uko ata wasipopiga nyimbo zako huwezi kwama, Mond anajiuza na anafanbase kubwa kwa sasa viredio na tv haviwezi mzuia kwa sasa; ,,,,socialnetworks rock's more in entertainment skuizIta kama wewe ni mkubwa huwezi kuwa juu ya media ,media hasa tv na radio zina mchango mkubwa katika kumpromote msanii zaidi ya chochote
mmmhhh kwa sasa sidhani. ..yaani mm redio mara ya mwisho kuskiliza hadi nmeshasahau ni lini ila nazipata nymbo mpyaa daily zikitoka tuHao wanaonunua muziki mtandaoni wako wangapi!? Hao wanategemea shows tu. Ila usidharau nguvu ya radio , huko mikoani bongo fleva imepaishwa sana na radio zinazocheza muziki wa hawa vijana.
Nguvu ya media ilikua enzi hizo sio sasa hivi. Kwanza hata mara ya mwisho kusikiliza radio sijui lini mambo yote online bro.Usicheze na nguvu ya media wewe,na ndio kinachowapa kiburi kwa kusema kwamba nipo juu so hawawezi kunishuasha,tambua aliyekupandisha ndio huyo huyo atakushusha.
mmmhhh kwa sasa sidhani. ..yaani mm redio mara ya mwisho kuskiliza hadi nmeshasahau ni lini ila nazipata nymbo mpyaa daily zikitoka tu