Je, Media za Bongo zimeshindwa kupambana na Diamond?

Je, Media za Bongo zimeshindwa kupambana na Diamond?

Hivi Leo hii, vituo vya radio viamue kucheza nyimbo za nje tu kwa kipindi cha mwaka mzima na hata habari za wasanii wetu wasizitangaze, unadhani radio ndio zitaathirika au wasanii!? Binafsi natumia mitandao lakini radio zinanisaidia sana kufahamu nyimbo mpya kabla ya kuziendea huko mitandaoni.
Nguvu ya media ilikua enzi hizo sio sasa hivi. Kwanza hata mara ya mwisho kusikiliza radio sijui lini mambo yote online bro.
Zamani ilikua lazima nyimbo ipigwe kwa radio ili watu waisikie siku hizi ipo hivo?? Tunadownload tu vibanda vya kuweka nyimbo vingi ajabu tusiwatukuze sana hawa wa media wanaojiona wanaweza kumshusha na kumpandisha mtu.
 
Umeona eeh! Wewe umekiri unazipata daily nyimbo mpya, tena kwenye vibanda. Je, fedha unayowalipa wenye vibanda , inawafaidisha wasanii!? Nm
hayo yakwenyevibanda umesema ww[emoji2] [emoji2] .......atiiii vbandaa ndo wapi huko, nyimbo u nanunua kwene platform tu kwa bei che kama wasafimusic.com,muziki,mikito2, na nyingnenyingi...naponunua msanii hulipwa piaaa ndivo wanavofaidika
 
Yaani Moze Iyobo kataka kugonga vijana wa Shilawadu na gari tena kwa kukusudia kabisa ila kwa sasa ishu imekuwa Ruge anataka kuishusha WCB duh bongo kuna mambo aisee.
 
Tatizo lako ni kuwa na account mbili bila kuwa na memory ya kutosha. Ukiwa muongo usiwe msahaulifu. Wewe una account nyingine unajiita the great Emmanuel. Na Mimi nimenukuu post namba 39 ya huyo the great Emmanuel. Huyo great Emmanuel ndio kaandika kuwa vibanda viko tele vya kuingiza nyimbo. Sasa wewe Emmanuel mruma unanijibu nimeku-quote wewe!? Umevurugwa sio bure.
hayo yakwenyevibanda umesema ww[emoji2] [emoji2] .......atiiii vbandaa ndo wapi huko, nyimbo u nanunua kwene platform tu kwa bei che kama wasafimusic.com,muziki,mikito2, na nyingnenyingi...naponunua msanii hulipwa piaaa ndivo wanavofaidika
Mnajifanya mna-support wasanii wakati hamuwachangii hata shilingi, eti wasafi.com!
 
Hapo wcb inaonekana kila mtu ana sharubu.
Yaani Moze Iyobo kataka kugonga vijana wa Shilawadu na gari tena kwa kukusudia kabisa ila kwa sasa ishu imekuwa Ruge anataka kuishusha WCB duh bongo kuna mambo aisee.
 
Tatizo lako ni kuwa na account mbili bila kuwa na memory ya kutosha. Ukiwa muongo usiwe msahaulifu. Wewe una account nyingine unajiita the great Emmanuel. Na Mimi nimenukuu post namba 39 ya huyo the great Emmanuel. Huyo great Emmanuel ndio kaandika kuwa vibanda viko tele vya kuingiza nyimbo. Sasa wewe Emmanuel mruma unanijibu nimeku-quote wewe!? Umevurugwa sio bure.
Mnajifanya mna-support wasanii wakati hamuwachangii hata shilingi, eti wasafi.com!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu huyo sio mimi tafadhali tumekaribiana majina tu usitake nile ban aisee nina acc moja tu hii.
 
Pumbavu huwezi kumshusha mtu mwenye akili...diamond kanyimwa elimu ya darasani tu...yule fala angesomaaaaaaaaaaaa *****....baadhi ya misemo yao:anajua kuimba lakini sura mbaya,anajua kuimba lips denda lakini hajui kingereza,hajui kuimba anafanya ujanja ujanja lakini anajua kuongea kingereza,anategemea promo,anategemea collabo...pumbavu huwezi kumuelewa mwalimu unaemchukia..wanamziki inabidi wakae chini wajifunze kupitia simba....hao watu wa media watapoteana soon ngoja wasafi tv na radio ianze rasmi.....kama naona vile SIMBA anavyompa wema kipindi mda ule ule wa shilawadu.....[HASHTAG]#self[/HASHTAG] made.
hahaaaa natamani sana kuona tv ya mond najua ataajiri bongo muvi nzima
 
All in all media ina mchango mkubwa sana kupromote msanii,tuliona jinsi clouds walivyombana Jide lakini kwakuwa Jide anajua umuhimu wa media akatumia East Africa Radio kutangaza Kazi zake,haiwezekani Media zote wasipige nyimbo zako obvious utakuwa na shida tu,hauwezi kula bila kuliwa, figisu za OSATA walizowafanyia wasanii wengine nao zinarudi kwao,karma is a real b waache kulalama it's their turn.
Tanzania haijawahi kuwa na kiumbe mwenye nguvu na akili kama diamond, waambie hiyo nguvu ya media waipeleke kupromote aslay tuone kama anaweza kuufikia moto wa simba.
 
We nae sasa umezidisha chumvi ,kwahiyo EATV haifanyi vizuri kwaajili ya kutopiga nyimbo za Diamond ? Vipi vipindi vyao haviendelei kama kawaida? Punguza mahaba kwa Diamond. Diamond ndo muda wake ataimba muda wake ukipita wataibuka wengine ila hivyo vituo vha radio na tv ataviacha vikidunda
ni wazi eatv haina mvuto
 
Diamond ana roho ngumu sana.. kwanza ametoka kwa jasho lako bila meneja.... mbagala imerekodiwa gheto kwa bob juniour studio vifaa magumashi tupu... hao kina aslay wamebebwa na meneja sana mastudio ya kufa mtu ila hawajafikia mtoko wa simba...

diamond amemlipa davido usd 5000 ili akubali kushirikishwa number 1 remix... na enzi hizo hana hata kiwanja gari anatembelea opa... msanii gani ana spirit ya kutoa usd 5000 na kuirisk huku hana hata kiwanja?

Tanzania haijawahi kuwa na kiumbe mwenye nguvu na akili kama diamond, waambie hiyo nguvu ya media waipeleke kupromote aslay tuone kama anaweza kuufikia moto wa simba.
 
Kuna ngoma za diamond kama "ukimwon" ilivuja tu mdandaoni haikuruhusiwa kuchezwa kwenye media ila balaa lake mpaka kuna media zikawa zina force kucheza. Ni kwamba hizi radio zimechelewa kwa sasa. Hivi nikasikilize ngoma ya mond XXL wakati muda huo huo inaachiwa you tube na kwenye site kibao. hiki ni kipindi ambacho wakina dr shika na nabii tito wanatengeneza headlines na kujulikana bila msaada wa radio na TV. Yaani hata mtu mwenye IG account "mqnge kimamnbi" ni maalufu kuliko media personnel. Binafsi yangu nilisha acha mda mtefu kusikiliza redio ili kusikia nyimbo mpya zikitambulisha. Zama zimebadilika.
 
Kama account yako moja, mbona unamjibia Emmanuel mruma!? Wewe una account mbili. Kawadanganye wageni wa jamii forums.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu huyo sio mimi tafadhali tumekaribiana majina tu usitake nile ban aisee nina acc moja tu hii.
 
Vifaa magumashi wametumia akina Enrico wa sound crafters na wenzie akina master jay enzi za kina GWN na Sugu.
Diamond ana roho ngumu sana.. kwanza ametoka kwa jasho lako bila meneja.... mbagala imerekodiwa gheto kwa bob juniour studio vifaa magumashi tupu... hao kina aslay wamebebwa na meneja sana mastudio ya kufa mtu ila hawajafikia mtoko wa simba...

diamond amemlipa davido usd 5000 ili akubali kushirikishwa number 1 remix... na enzi hizo hana hata kiwanja gari anatembelea opa... msanii gani ana spirit ya kutoa usd 5000 na kuirisk huku hana hata kiwanja?
 
Mi sielewi hizi media zetu kubwa ambazo zimeonekana kususia kupiga nyimbo za WCB, kama Diamond ndio kawakosea ni kwanini wasimpe adhabu yeye? Hawajui kama wanawakomoa kina Mbosso,Lavalava na wengine bila sababu za msingi? Mi nnachoona hapa ni kwamba wameona kwa level aliyofikia Diamond kwasasa hawawezi kumkwamisha kwa kutopiga nyimbo zake, hategemei promo ya eatv,efm,clouds fm pekee maana tayari ana die hard fans wa kutosha na TV/redio za kimataifa zinamtambua, so walichoona kinawezekana kwao ni kuwabana na wasanii wake ambao bado hawajawa na fanbase ya kutosha, kwakuwa wanajua kuzidi kung'aa kwa hawa wasanii ndivyo akaunti ya Mond inavyozidi kunona. Hii imenikumbusha utotoni kama kwenye ugomvi umepigana na kakamtu kakudunda unamvizia mdogo wake, siku ukimbahatisha unatoa ndonga za kutosha kumaliza hasira za kipigo cha kaka.
Me nashangaaa sana nchi yetu ya tz media badala ya kutoa support za kutosha kwa daimond platnum wanamdidimiz wangejua ndo wanazidi kumuweka kiwango cha juuu clouds , efm, eatv kadangeni then mrudi tena
 
hayo yakwenyevibanda umesema ww[emoji2] [emoji2] .......atiiii vbandaa ndo wapi huko, nyimbo u nanunua kwene platform tu kwa bei che kama wasafimusic.com,muziki,mikito2, na nyingnenyingi...naponunua msanii hulipwa piaaa ndivo wanavofaidika
Bado unanunua muziki wasafi.com?
 
Mtu mweusi na uchawi ni kama pipa na mfuniko. Ndio maana watu wengi wanakutana na upinzani mkubwa sana baada ya kuanza kufanikiwa.
 
Mtu mweusi na uchawi ni kama pipa na mfuniko. Ndio maana watu wengi wanakutana na upinzani mkubwa sana baada ya kuanza kufanikiwa.
parts umeongea kweli kabisa watu weusi Ni wanafiki Sana wakifanyaga wanapenda wasanii wafanikiwe ila wakishafanikiwa wanaanza chokochoko mbona media za wazungu hazina haya mambo,Media za bongo zinapenda Sana kunyenyekewa
 
Mi sielewi hizi media zetu kubwa ambazo zimeonekana kususia kupiga nyimbo za WCB, kama Diamond ndio kawakosea ni kwanini wasimpe adhabu yeye? Hawajui kama wanawakomoa kina Mbosso,Lavalava na wengine bila sababu za msingi? Mi nnachoona hapa ni kwamba wameona kwa level aliyofikia Diamond kwasasa hawawezi kumkwamisha kwa kutopiga nyimbo zake, hategemei promo ya eatv,efm,clouds fm pekee maana tayari ana die hard fans wa kutosha na TV/redio za kimataifa zinamtambua, so walichoona kinawezekana kwao ni kuwabana na wasanii wake ambao bado hawajawa na fanbase ya kutosha, kwakuwa wanajua kuzidi kung'aa kwa hawa wasanii ndivyo akaunti ya Mond inavyozidi kunona. Hii imenikumbusha utotoni kama kwenye ugomvi umepigana na kakamtu kakudunda unamvizia mdogo wake, siku ukimbahatisha unatoa ndonga za kutosha kumaliza hasira za kipigo cha kaka.
Wivu utawamaliza
 
Back
Top Bottom