Je, Media za Bongo zimeshindwa kupambana na Diamond?

parts umeongea kweli kabisa watu weusi Ni wanafiki Sana wakifanyaga wanapenda wasanii wafanikiwe ila wakishafanikiwa wanaanza chokochoko mbona media za wazungu hazina haya mambo,Media za bongo zinapenda Sana kunyenyekewa
Hakuna watu watu wenye fitna na figisu kama kampuni za Muziki za kimataifa , labda kwa kuwa hufuatilii
 
Vyote, Kerry Hilson alijaribu kumdiss beyonce , kilivhomtokea ndio mpaka leo hii haumsikii , alipotezwa kwenye Industry kama hakuwahi kuwepo vile
el nino Bora kudis kuliko huku bongo media inakupangia Bei ya kukulipa ukikataa ngoma zako zinapigwa bans ndio maana wasanii wengi wanakuwa masikini.Hii inatofautiana vipi na udicteta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…