Inawezekana sababu wapuuzi niwengiCcm haitoki kiwepesi wepesi tu.
Dah pote kama vile umepatia .ila namba 6 inabidi kuwashauri NEC wa ache SONGOMBINGO ZAO.1. Hatopata kura nyingi. Kama ilivyokuwa kipindi cha CUF huko nyuma, atapata kura nyingi kusini. Awamu ya pili ya JK, Slaa alimzidi JK japo kura nyingi za kusini zilienda kwa Lipumba.
2. Kura za Membe zinapunguza kote kwa Tundu Lissu na kwa Magufuli. Ila Lissu upande wa Lindi na Mtwara atapata kura nyingi kumzidi Magufuli, sababu ya sinema ya korosho.
3. Mikoa mingine yote iliyobaki, Tundu Lissu atamzidi Magufuli.
4. Upande wa Zanzibar, ACT wanfuata Maalim anasema nini. Unguja kura zao nyingi zitaenda kwa Lissu. Hivyo upande wa ZNZ Lissu na Membe watapata kura nyingi kuliko Magufuli.
5. Kitaifa, mshindi wa kwanza atakuwa Tundu Lissu, wa pili Magufuli, wa tatu Membe.
6. Tume itatangaza kwamba mshindi ni Magufuli.
Kura milioni 29 ni hesabu ya NEC na CCM yake kufanikisha wizi wa kura kupitia vituo hewa. Taifa lolote huwezi andikisha zaidi ya nusu ya raia kupiga kura. Watoto ni zaidi ya nusu ya raia wote, na kuna kundi kubwa la watu wazima halina habari na mambo ya uchaguzi, eg vikongwe, wagonjwa nk.
Shika adabu yako wewe!. Unaweza kumwita baba yako kaka!Hapana
Membe anaenda kuwapoteza Chadema halafu ACT wanaweza wakaokoteza wabunge kadhaaa mkoani Zanzibar
Kusini na Zanzibar kura za ccm lazima zitapunguzwa tu
Mwaka 2015 ukawa walipunguza kura za Ccm,sio Chadema. Maana vyama vinne vilidunduliza kura. Ila kwenye ruzuku Chadema waliwalalia wenzao.Kumbukumbu zangu zinanionyesha kuwa 2015 Lowassa alipunguza kura za CCM na hivyo CHADEMA kufaidika.
Mwaka huu ACT wazalendo ina mgombea urais mwenye nguvu zaidi ya yule wa 2015 naye akitokea CCM mh Bernad Membe.
Tunajua kwa rekodi ya 2015 CCM tayari ina mtaji wa kura zaidi ya milioni 8 na CHADEA ina zaidi ya milioni 6 lakini wapiga kura wa mwaka huu 2020 ni milioni 29 na ushee.
Je, uwepo wa Membe kwenye ballot paper utaiumiza CCM au CHADEMA?
Maendeleo hayana vyama!
1. Hatopata kura nyingi. Kama ilivyokuwa kipindi cha CUF huko nyuma, atapata kura nyingi kusini. Awamu ya pili ya JK, Slaa alimzidi JK japo kura nyingi za kusini zilienda kwa Lipumba.
2. Kura za Membe zinapunguza kote kwa Tundu Lissu na kwa Magufuli. Ila Lissu upande wa Lindi na Mtwara atapata kura nyingi kumzidi Magufuli, sababu ya sinema ya korosho.
3. Mikoa mingine yote iliyobaki, Tundu Lissu atamzidi Magufuli.
4. Upande wa Zanzibar, ACT wanfuata Maalim anasema nini. Unguja kura zao nyingi zitaenda kwa Lissu. Hivyo upande wa ZNZ Lissu na Membe watapata kura nyingi kuliko Magufuli.
5. Kitaifa, mshindi wa kwanza atakuwa Tundu Lissu, wa pili Magufuli, wa tatu Membe.
6. Tume itatangaza kwamba mshindi ni Magufuli.
mi huyo jamaa simuamini kabisaJe, uwepo wa Membe kwenye ballot paper utaiumiza CCM au CHADEMA?
Watagawana za ccmKumbukumbu zangu zinanionyesha kuwa 2015 Lowassa alipunguza kura za CCM na hivyo CHADEMA kufaidika.
Mwaka huu ACT wazalendo ina mgombea urais mwenye nguvu zaidi ya yule wa 2015 naye akitokea CCM mh Bernad Membe.
Tunajua kwa rekodi ya 2015 CCM tayari ina mtaji wa kura zaidi ya milioni 8 na CHADEA ina zaidi ya milioni 6 lakini wapiga kura wa mwaka huu 2020 ni milioni 29 na ushee.
Je, uwepo wa Membe kwenye ballot paper utaiumiza CCM au CHADEMA?
Maendeleo hayana vyama!