Uchaguzi 2020 Je, Membe atapunguza kura za CCM au za CHADEMA?

Uchaguzi 2020 Je, Membe atapunguza kura za CCM au za CHADEMA?

Sawa zuri la kiona mbali.

Kwa kiasi kikubwa ACT watapunguza kura za CCM na kidogo CDM. Kusini watatoa adhabu kwa ccm na kumpa Membe. Visiwani wataipa act ya Maalim kama kawaida yao na uraisi wa JMT kura zitagawanyika kwa watu watatu TAL, BKM, na JPM. Sehemu zilizobakia pambano ni kati ya TAL na JPM
 
1. Hatopata kura nyingi. Kama ilivyokuwa kipindi cha CUF huko nyuma, atapata kura nyingi kusini. Awamu ya pili ya JK, Slaa alimzidi JK japo kura nyingi za kusini zilienda kwa Lipumba.

2. Kura za Membe zinapunguza kote kwa Tundu Lissu na kwa Magufuli. Ila Lissu upande wa Lindi na Mtwara atapata kura nyingi kumzidi Magufuli, sababu ya sinema ya korosho.
3. Mikoa mingine yote iliyobaki, Tundu Lissu atamzidi Magufuli.
4. Upande wa Zanzibar, ACT wanfuata Maalim anasema nini. Unguja kura zao nyingi zitaenda kwa Lissu. Hivyo upande wa ZNZ Lissu na Membe watapata kura nyingi kuliko Magufuli.
5. Kitaifa, mshindi wa kwanza atakuwa Tundu Lissu, wa pili Magufuli, wa tatu Membe.
6. Tume itatangaza kwamba mshindi ni Magufuli.
Dah pote kama vile umepatia .ila namba 6 inabidi kuwashauri NEC wa ache SONGOMBINGO ZAO.
 
Hapa ni kujua nani ataongoza kambi rasmi ya upinzani na kuwa chama kikuu ndicho wanashindania,sio kuounguza kura za magu
 
Kura milioni 29 ni hesabu ya NEC na CCM yake kufanikisha wizi wa kura kupitia vituo hewa. Taifa lolote huwezi andikisha zaidi ya nusu ya raia kupiga kura. Watoto ni zaidi ya nusu ya raia wote, na kuna kundi kubwa la watu wazima halina habari na mambo ya uchaguzi, eg vikongwe, wagonjwa nk.

Mchezo upo hapo. Lakini, vituo hewa vya havitakuwa na sahini za mawakala wa Chadema. Ila, Tume imeishasema kwamba siyo lazima kumpa wakala nakala ya ripoti kwenye kituo chake. Kitakacho tokea ni kwamba, wakati Chadema wanabishana na Tume , Magufuli ataapishwa chapchap. Tume ya uchaguzi hawezi kuwa huru sababu ya mfumo. The process always determines the outcome.
 
Kura za CCM zitaongeka maradufu zaidi ya 2015 kutokana na;-
1.Hakuna Mgombea wa upinzani mwenye nguvu kama Lowassa 2015
2.Mwaka huu wapinzani hawapo organized na sera zao ni weak sana ukilinganisha na za CCM
 
Act wanapoteza muda kwenye Urais, wanafit kwenye udiwani
 
Kusini na Zanzibar kura za ccm lazima zitapunguzwa tu

Fikiria vizuri, Membe anaenda kubeba kura zote alizopata Lowasa kutoka kwa wanazi wa CUF, zile kura alizopata Lowasa kutoka Pemba na kusini zitachukuliwa na Membe, anayeathirika hapa ni Lissu.
 
..Msikilizeni Bwege hapa.

..Huyu anakwenda kuisambaratisha CCM mikoa ya kusini.

 
Kumbukumbu zangu zinanionyesha kuwa 2015 Lowassa alipunguza kura za CCM na hivyo CHADEMA kufaidika.

Mwaka huu ACT wazalendo ina mgombea urais mwenye nguvu zaidi ya yule wa 2015 naye akitokea CCM mh Bernad Membe.

Tunajua kwa rekodi ya 2015 CCM tayari ina mtaji wa kura zaidi ya milioni 8 na CHADEA ina zaidi ya milioni 6 lakini wapiga kura wa mwaka huu 2020 ni milioni 29 na ushee.

Je, uwepo wa Membe kwenye ballot paper utaiumiza CCM au CHADEMA?

Maendeleo hayana vyama!
Mwaka 2015 ukawa walipunguza kura za Ccm,sio Chadema. Maana vyama vinne vilidunduliza kura. Ila kwenye ruzuku Chadema waliwalalia wenzao.
 
Dunderhead unahangaika kweli na vi mada uchwara kwa elfu Saba wenzako huko wanalipwa milioni huna habari we Pimbi, haya nakupa dili hilo la kijani kibichi
IMG_20200828_090054.jpg
IMG_20200828_090344.jpg
 
Wakati nikiwa nasoma chuo mwalimu wangu huwa alikuwa akiniambia hakikisha umeelewa kabla ya mtihani maana utapoteza muda mwingi kuelewa baada ya mtihani

Kwahicki ulichokiandika nmekielewa ili kisinipe shida baada ya mshindi kutangazwaa

1. Hatopata kura nyingi. Kama ilivyokuwa kipindi cha CUF huko nyuma, atapata kura nyingi kusini. Awamu ya pili ya JK, Slaa alimzidi JK japo kura nyingi za kusini zilienda kwa Lipumba.

2. Kura za Membe zinapunguza kote kwa Tundu Lissu na kwa Magufuli. Ila Lissu upande wa Lindi na Mtwara atapata kura nyingi kumzidi Magufuli, sababu ya sinema ya korosho.
3. Mikoa mingine yote iliyobaki, Tundu Lissu atamzidi Magufuli.
4. Upande wa Zanzibar, ACT wanfuata Maalim anasema nini. Unguja kura zao nyingi zitaenda kwa Lissu. Hivyo upande wa ZNZ Lissu na Membe watapata kura nyingi kuliko Magufuli.
5. Kitaifa, mshindi wa kwanza atakuwa Tundu Lissu, wa pili Magufuli, wa tatu Membe.
6. Tume itatangaza kwamba mshindi ni Magufuli.
 
Kumbukumbu zangu zinanionyesha kuwa 2015 Lowassa alipunguza kura za CCM na hivyo CHADEMA kufaidika.

Mwaka huu ACT wazalendo ina mgombea urais mwenye nguvu zaidi ya yule wa 2015 naye akitokea CCM mh Bernad Membe.

Tunajua kwa rekodi ya 2015 CCM tayari ina mtaji wa kura zaidi ya milioni 8 na CHADEA ina zaidi ya milioni 6 lakini wapiga kura wa mwaka huu 2020 ni milioni 29 na ushee.

Je, uwepo wa Membe kwenye ballot paper utaiumiza CCM au CHADEMA?

Maendeleo hayana vyama!
Watagawana za ccm
 
Back
Top Bottom