mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,400
- 3,853
Sawa zuri la kiona mbali.
Kwa kiasi kikubwa ACT watapunguza kura za CCM na kidogo CDM. Kusini watatoa adhabu kwa ccm na kumpa Membe. Visiwani wataipa act ya Maalim kama kawaida yao na uraisi wa JMT kura zitagawanyika kwa watu watatu TAL, BKM, na JPM. Sehemu zilizobakia pambano ni kati ya TAL na JPM
Kwa kiasi kikubwa ACT watapunguza kura za CCM na kidogo CDM. Kusini watatoa adhabu kwa ccm na kumpa Membe. Visiwani wataipa act ya Maalim kama kawaida yao na uraisi wa JMT kura zitagawanyika kwa watu watatu TAL, BKM, na JPM. Sehemu zilizobakia pambano ni kati ya TAL na JPM