Je, mfalme Haile Selasie wa Ethiopia ni mtoto wa mfalme Daudi wa kwenye ukoo wa Yesu?

Je, mfalme Haile Selasie wa Ethiopia ni mtoto wa mfalme Daudi wa kwenye ukoo wa Yesu?

Ngoja nikueleweshe mkuu...miaka ya mfalme daudi iliisha alipofikia uzee sana na mwanae Suleiman akatawadhwa kuwa mfalme, malkia Bilqis au Sheba alikua malkia wa ethiopia au kush akaskia sifa za hekima za mfalme suleiman kwa hiyo akaenda hadi israel akiwa na zawadi lukuki kutoka Afrika..
Sasa hapo ndio inasemekana alitembea nae na kuzaa nae kabisa na mtoto huyo alikua mrithi wa ufalme wa ethiopia

Na huyo malkia alirudi ethiopia wala hakupata tena kurudi israel.
Sasa uzao ule ukaendelea Hadi miaka ya juzi ya 60 ndio utawala wa kifalme ukaishia kwa mfalme Haile Selasie baada ya kupinduliwa na kuuliwa na waziri mkuu Mengistu Haile Mariam.

YESU alizaliwa na Joseph aliekua wa ukoo wa Daudi, ila wao ni mtiririsho wa kizazi hicho ambacho kilibaki israel.

Kutoka daudi hadi YESU ni miaka 2000 na kutoka YESU hadi Haile Selasie ni miaka 1935

Kama ni kweli kuhusu habari ya Malkia wa Sheba basi Haile Selasie Babu wa mababu zake walikua Daudi na Suleiman..

Karibu
746c0821282808a2ac7c7516abfe8f5b.jpg
Ndugu Mimi kwa maelezo niliyokuwa nayo kuwa huyu mfalme akuuliwa alifanikiwa kukimbia kwenda nchi ya zimbambe ,Mugabe alikataa kumkabizi kwa serikali ya Ethiopia kwa sababu wakati zimbambe wanapata Uhuru wanajeshi wa zimbambe walienda kupata mafunzo ya kijeshi yaliyokuwa yanadhaminiwa na serikali ya Ethiopia. Sijajua huyu mfalme yupo mpaka Leo au kafarika uko Zimbabwe.
 
Ngoja nikueleweshe mkuu...miaka ya mfalme daudi iliisha alipofikia uzee sana na mwanae Suleiman akatawadhwa kuwa mfalme, malkia Bilqis au Sheba alikua malkia wa ethiopia au kush akaskia sifa za hekima za mfalme suleiman kwa hiyo akaenda hadi israel akiwa na zawadi lukuki kutoka Afrika..
Sasa hapo ndio inasemekana alitembea nae na kuzaa nae kabisa na mtoto huyo alikua mrithi wa ufalme wa ethiopia

Na huyo malkia alirudi ethiopia wala hakupata tena kurudi israel.
Sasa uzao ule ukaendelea Hadi miaka ya juzi ya 60 ndio utawala wa kifalme ukaishia kwa mfalme Haile Selasie baada ya kupinduliwa na kuuliwa na waziri mkuu Mengistu Haile Mariam.

YESU alizaliwa na Joseph aliekua wa ukoo wa Daudi, ila wao ni mtiririsho wa kizazi hicho ambacho kilibaki israel.

Kutoka daudi hadi YESU ni miaka 2000 na kutoka YESU hadi Haile Selasie ni miaka 1935

Kama ni kweli kuhusu habari ya Malkia wa Sheba basi Haile Selasie Babu wa mababu zake walikua Daudi na Suleiman..

Karibu
746c0821282808a2ac7c7516abfe8f5b.jpg
Huyu atakuwa anamzungumzia Menelek I, ndio anamchanganya na haile Selassie
 
Habari wanaforum,kuna kitu kinanitatiza ningeomba ufafanuzi kuhusu hili,mwaka 2013 nilipata kuishi bagamoyo ambayo mpaka sasa naamini ni sehem pekee tanzania yenye watu wengi sana jamii ya rastafarain na dreadrocks wengi sana na wengi wenye kuifatilia imani hiyo ya kirasta kupata kuona tz hii,

Kuna kitu nilikisikia kutoka kwa jamii iyo ya marasta kwamba kiimani yao wanaamini baada ya yesu kuondoka na kusema ataleta msaidizi basi msaidizi uyo ni haile selasie ambae alikua ni mfalme wa ethiopia kutoka afrika.

Wanaamini bibilia hii tunayoisoma imeficha mambo mengi ikiwepo la haile selasie kuwa ni mtoto wa daudi babake na joseph ambaye ndie baba wa yesu kristo.
Inasemekana kuna malkia wa ethiopia kipindi kile alikua mrembo sana ila kilema wa miguu,kuna kipindi alisafiri kwrnda israel kisiasa na kukutana na daudi mfalme na daudi kumtamani na kulala nae ambapo alipata ujauzito wa haile selasie mfalme wa ethiopia.

NB:wanajamvi nimejaribu kuelezea kifupi nilivockia kipindi kile kwa iyo jamii ya kirasta ila sijaijua kiundani zaidi na ningependa kwa mwenye ufaham kuhusu ili atufafanulie kwa faida yangu na wengine zaidi

Nadeclare interest napenda kuwa rasta one day so ningependa kufaham mengi kuhusu iman iyo nikiamin jf inteligence hakukosekani kitu ntashukuru kwa mrejesho chanya kuhusu ilo.

Asanteni.

Hv aliyekuwa anakupa hizi habari walikuwa ameshapata kitu kidogo au walikuwa na arosto?
 
Ngoja nikueleweshe mkuu...miaka ya mfalme daudi iliisha alipofikia uzee sana na mwanae Suleiman akatawadhwa kuwa mfalme, malkia Bilqis au Sheba alikua malkia wa ethiopia au kush akaskia sifa za hekima za mfalme suleiman kwa hiyo akaenda hadi israel akiwa na zawadi lukuki kutoka Afrika..
Sasa hapo ndio inasemekana alitembea nae na kuzaa nae kabisa na mtoto huyo alikua mrithi wa ufalme wa ethiopia

Na huyo malkia alirudi ethiopia wala hakupata tena kurudi israel.
Sasa uzao ule ukaendelea Hadi miaka ya juzi ya 60 ndio utawala wa kifalme ukaishia kwa mfalme Haile Selasie baada ya kupinduliwa na kuuliwa na waziri mkuu Mengistu Haile Mariam.

YESU alizaliwa na Joseph aliekua wa ukoo wa Daudi, ila wao ni mtiririsho wa kizazi hicho ambacho kilibaki israel.

Kutoka daudi hadi YESU ni miaka 2000 na kutoka YESU hadi Haile Selasie ni miaka 1935

Kama ni kweli kuhusu habari ya Malkia wa Sheba basi Haile Selasie Babu wa mababu zake walikua Daudi na Suleiman..

Karibu
746c0821282808a2ac7c7516abfe8f5b.jpg

Hv Suleman aliishi Ethiopia au Israel?
 
Kuhusu Suleiman na Queen of Sheba Ni Kweli, na walizaa mtoto, lakini huyo mtoto Hana uhusiano wowote na Haire Selasie, Haire Hana uhusiano wowote na kizazi cha kifalme cha Enzi ya biblia!

Toa ushahid
 
Kwani mfalme Daudi alikuwa anavuta ndumu? coz me naona hii jamii ya marasta ambao wanasema eti wooote ni wa Ethiopia hata km ni mbongo. ni full kugonga ndumu tuu hadi hadharani
 
Mkuu yani hujui hata King Solomon aliishi wapi hafu unadai ushahidi kwa post yangu ya juu? Nlijua labda unazo information zozote!

Sasa Mkuu mtu kusema hajui ni dhambi? Labda mm mjinga nisie jua ila nataka kujuzwa kwa ushahid, hebu nijuze bac
 
katika vitu navyokubaliana na jamii ya rastafarian ni utambulisho wa Africa katika bible ikiwemo mountain zion ambapo Mussa alisimama nakuiona nchi ya ahadi caanan ambayo inamaziwa na asali(Africa)Pia eden ambayo ilikuwa na kila kitu ukitazama vizuri nikweli Adam na Eve walitokea Africa
 
Yaan kama unajua Menelik na Selassie walikua wafalme wa Ethiopia DNA ya nn?au mnadhan ufalme unagombewa,
 
Habari wanaforum,kuna kitu kinanitatiza ningeomba ufafanuzi kuhusu hili,mwaka 2013 nilipata kuishi bagamoyo ambayo mpaka sasa naamini ni sehem pekee tanzania yenye watu wengi sana jamii ya rastafarain na dreadrocks wengi sana na wengi wenye kuifatilia imani hiyo ya kirasta kupata kuona tz hii,

Kuna kitu nilikisikia kutoka kwa jamii iyo ya marasta kwamba kiimani yao wanaamini baada ya yesu kuondoka na kusema ataleta msaidizi basi msaidizi uyo ni haile selasie ambae alikua ni mfalme wa ethiopia kutoka afrika.

Wanaamini bibilia hii tunayoisoma imeficha mambo mengi ikiwepo la haile selasie kuwa ni mtoto wa daudi babake na joseph ambaye ndie baba wa yesu kristo.
Inasemekana kuna malkia wa ethiopia kipindi kile alikua mrembo sana ila kilema wa miguu,kuna kipindi alisafiri kwrnda israel kisiasa na kukutana na daudi mfalme na daudi kumtamani na kulala nae ambapo alipata ujauzito wa haile selasie mfalme wa ethiopia.

NB:wanajamvi nimejaribu kuelezea kifupi nilivockia kipindi kile kwa iyo jamii ya kirasta ila sijaijua kiundani zaidi na ningependa kwa mwenye ufaham kuhusu ili atufafanulie kwa faida yangu na wengine zaidi

Nadeclare interest napenda kuwa rasta one day so ningependa kufaham mengi kuhusu iman iyo nikiamin jf inteligence hakukosekani kitu ntashukuru kwa mrejesho chanya kuhusu ilo.

Asanteni.

Mfalme daudi? Au mfalme Suleiman ndio alizaa na huyo malkia
 
Back
Top Bottom