Je, mfumo wa ulinzi wa anga lsrael "Iron Dome" hauaminiki tena?

Je, mfumo wa ulinzi wa anga lsrael "Iron Dome" hauaminiki tena?

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Mfumo huu ambao unaaminika kuwa bora na wenye ufanisi mkubwa katika siku za hivi karibuni umeonyesha shaka. Mfumo huu ulibuniwa na kampuni ya kizawa Rafael advanced system

1: Hamas waliporusha makobora Tel aviv mengi kwa mkupuo battery za Iron dome zilichoka na ikabidi wafanye recharging.

2: Ilibidi waomb4 msaada US wa makombora ya kwa ajili ya kujazia kwenye Iron dome maana waliokuwa nayo waliona yanaisha.

3: Kitendo cha marekani juzi kupeleka mifumo yake ya ulinzi kuongezea nguvu Iron dome huko Israel.

4: Je, siku zote wamejiandaa kupambana na taasisi dhaifu kama Hamas ambao viatarishi vyao ni hafifu ukilinganisha na Iran na Vibaraka wake Hesbullah wenye uwezo mkubwa kuliko hamas.

Je, ni kweli Israeli hii ni toafuti na ile ya miaka ya Sabini ambayo ilikuwa na uwezo wa kuwapa vichapo waarabu wote kwa siku moja tu. Au wanafanya makusudi kwa njama na US ili wapate kisingizio cha kuifuta Iran maana ndio adui mkuu mwenye watoto maadui wa Israel.

Ni hayo tu.
 
Achana na hiyo taka taka .ya kudungulia kungulu. Kuna huu mdude ambao Russia kaanza kutumia huko Ukraine

Russia uses S-400 Triumf systems in Ukraine. Russian S-400 Triumf anti-aircraft missile systems operating in conjunction with the A-50 airborne early warning aircraft (AWACS), shot down 24 Ukrainian aircraft over the past few days in the zone of the special military operation, a source close to the Russian Defence Ministry told TASS.

S-400 Triumf systems detect and track such stealthy aircraft as F-22 Raptor, F-35 Lightning II and B-2 Spirit aircraft of the US Air Force.

The S-400 Triumf operates in concert with other air defence systems. Modern high-speed digital data processing
 
digital data processing technologies enables the rapid exchange of information related to target tracking.

According to Siemon Wezeman, a leading analyst at the Stockholm Peace Research Institute (Sweden), the S-400 Triumf air defence system is one of the most sophisticated air defence systems in the world.

Its radars operate within distances of up to 600 kilometres, whereas the range of S-400 missiles reaches 400 kilometres. This is a very accurate system that can track multiple targets including stealthy ones, the specialist said.
 
Achana na hiyo taka taka .ya kudungulia kungulu...Kuna huu mdude ambao Russia kaanza kutumia huko Ukraine

Russia uses S-400 Triumf systems in Ukraine
Russian S-400 Triumf anti-aircraft missile systems operating in conjunction with the A-50 airborne early warning aircraft (AWACS), shot down 24 Ukrainian aircraft over the past few days in the zone of the special military operation, a source close to the Russian Defence Ministry told TASS.

S-400 Triumf systems detect and track such stealthy aircraft as F-22 Raptor, F-35 Lightning II and B-2 Spirit aircraft of the US Air Force.

The S-400 Triumf operates in concert with other air defence systems. Modern high-speed digital data processing
Nilimsikiliza waziri wa ulinzi wa Russia akizungumzia ndege 24 kuangushwa ndani ya siku tano nikashangaa ila sikujua kama kuna dude hili nyuma ya hiyo kitu.
Kumbe zile ndege walizopewa sasa zimegeuzwa majeneza ya angani kwa Ukrainian pilots.
 
Huo mfumo wanadanganya wajinga tu hauna lolote, Israel ana zuia media zisichukue sehemu ambaxo Hamasi anazo piga ungeidharau sana hio Iron dome.




View: https://youtu.be/dxYFlUteiIE?si=Az7XFhZ4uP499fHV

Taifa teule linachekesha sana kumbe pia wizi 😄

Aibu hi wakristo mtaificha wapi, taifa teule lenu ni mashoga na wizi pia 😄

Wakristo wanapigana na nani? mjinga wewe usiyokuwa na Akili. Mpumbavu Sana wewe.kwahiyo Ni kweli Hamas Ni waislam na wanawakilisha ugaidi?. Ndiyo maana wapumbavu Kama nyinyi mlishindwa kulaani kitendo Cha hamas kuanzisha hii vita. Mwarabu kawageuza akili muone ukristo unapigana na uislamu pumbavu kabisa. Hakuna Vita ya mkristo na mwislamu hapo Toa ujinga wako.
 
Huo mfumo wanadanganya wajinga tu hauna lolote, Israel ana zuia media zisichukue sehemu ambaxo Hamasi anazo piga ungeidharau sana hio Iron dome.




View: https://youtu.be/dxYFlUteiIE?si=Az7XFhZ4uP499fHV

Taifa teule linachekesha sana kumbe pia wizi 😄

Aibu hi wakristo mtaificha wapi, taifa teule lenu ni mashoga na wizi pia 😄

Hili sio suala la wakristo mkuu.
No suala la weledi wa kiteknology.
Sio kila kitu uchanganye dini.

Mfano wayahudi (Judaism) ni najisi kugusa nguruwe, lakini utaona wayahudi wakivya risasi kwenye nyama ya nguruwe na kuwapiga waislam ili kuwakwaza.

Tuweke mihemko ya kidini pembeni.
 
Mfumo huu ambao unaaminika kuwa bora na wenye ufanisi mkubwa katika siku za hivi karibuni umeonyesha shaka. Mfumo huu ulibuniwa na kampuni ya kizawa Rafael advanced system

1: Hamas waliporusha makobora Tel aviv mengi kwa mkupuo battery za Iron dome zilichoka na ikabidi wafanye recharging.

2: Ilibidi waomb4 msaada US wa makombora ya kwa ajili ya kujazia kwenye Iron dome maana waliokuwa nayo waliona yanaisha.

3: Kitendo cha marekani juzi kupeleka mifumo yake ya ulinzi kuongezea nguvu Iron dome huko Israel.

4: Je siku zote wamejiandaa kupambana na taasisi dhaifu kama Hamas ambao viatarishi vyao ni hafifu ukilinganisha na Iran na Vibaraka wake Hesbullah wenye uwezo mkubwa kuliko hamas.

Je ni kweli Israeli hii ni toafuti na ile ya miaka ya Sabini ambayo ilikuwa na uwezo wa kuwapa vichapo waarabu wote kwa siku moja tu. Au wanafanya makusudi kwa njama na US ili wapate kisingizio cha kuifuta Iran maana ndio adui mkuu mwenye watoto maadui wa Israel.


Ni hayo tu.
T14 Armata ..
 
Nshachoka na mada za namna hii sasa nasema wauawe tu si watoto,wanawake wala wazee wauawe tu dawa ya jeuri ni jeuri tu shenzi
 
Mfumo huu ambao unaaminika kuwa bora na wenye ufanisi mkubwa katika siku za hivi karibuni umeonyesha shaka. Mfumo huu ulibuniwa na kampuni ya kizawa Rafael advanced system

1: Hamas waliporusha makobora Tel aviv mengi kwa mkupuo battery za Iron dome zilichoka na ikabidi wafanye recharging.

2: Ilibidi waomb4 msaada US wa makombora ya kwa ajili ya kujazia kwenye Iron dome maana waliokuwa nayo waliona yanaisha.

3: Kitendo cha marekani juzi kupeleka mifumo yake ya ulinzi kuongezea nguvu Iron dome huko Israel.

4: Je siku zote wamejiandaa kupambana na taasisi dhaifu kama Hamas ambao viatarishi vyao ni hafifu ukilinganisha na Iran na Vibaraka wake Hesbullah wenye uwezo mkubwa kuliko hamas.

Je ni kweli Israeli hii ni toafuti na ile ya miaka ya Sabini ambayo ilikuwa na uwezo wa kuwapa vichapo waarabu wote kwa siku moja tu. Au wanafanya makusudi kwa njama na US ili wapate kisingizio cha kuifuta Iran maana ndio adui mkuu mwenye watoto maadui wa Israel.


Ni hayo tu.
Sidhani kama una akili timamu shehe, eb rudi shule simanishi madrasa shehe namanisha shule ok
 
Sidhani kama una akili timamu shehe, eb rudi shule simanishi madrasa shehe namanisha shule ok
BREAKING:

[emoji777]Un confirmed Reports coming that Russia China secretly assisting Iran and @TheCradleMedia reports indicates that this is a Russian Iranian setting up u s

"A senior official from the terrorist Israeli Army announced that Hamas has electronic warfare systems that disrupt the Iron Dome." [emoji23][emoji23][emoji23]That’s crap. They simply don’t want to admit. Dome is just a zio rip off of tax dollars , is useless unless unless just few incoming rockets . Now they will have to deal with proper missiles , Why u s bringing tens of anti air. Zio is f d. Once Syria hezbulah and Iran unleash

[emoji626][emoji626][emoji626]Also reports indicating zioist Israeli gov not letting setters leave the occupied land Using the “settlers” as Human shields and to stop them leave
IMG_20231027_211737.jpg
 
Huo mfumo wanadanganya wajinga tu hauna lolote, Israel ana zuia media zisichukue sehemu ambaxo Hamasi anazo piga ungeidharau sana hio Iron dome.




View: https://youtu.be/dxYFlUteiIE?si=Az7XFhZ4uP499fHV

Taifa teule linachekesha sana kumbe pia wizi 😄

Aibu hi wakristo mtaificha wapi, taifa teule lenu ni mashoga na wizi pia 😄

Vita ya Wayahudi na Wapalestina.
Jews(Judaism) vs Palestines (Muslims, Pagans , Christians, e.t.c.)

Sasa aibu ya wakristo inatoka wapi.
Wayahudi wenyewe ndiyo hujiita the choosen nation (teule) kosa la wakristo lipo wapi?
 
Waisrael hawana lolote. Jeshi la nchi linapigana na kikundi Cha wahuni wachache Leo Ni wiki ya tatu, Sana Sana wanaua raia wasio na hatia.
Imagine Israel ingepigana na jeshi la nchi Kama iran au hata Somalia ambao Wana maji, mafuta na chakula, si Israel ingechakazwa ndani ya wikimoja, au imagine Israel isingesaidiwa na marekani si wangekosa sehemu ya kuzikia!
 
Nilimsikiliza waziri wa ulinzi wa Russia akizungumzia ndege 24 kuangushwa ndani ya siku tano nikashangaa ila sikujua kama kuna dude hili nyuma ya hiyo kitu.
Kumbe zile ndege walizopewa sasa zimegeuzwa majeneza ya angani kwa Ukrainian pilots.
Yaaah mkuu ngoma S 400 ishaingizwa mzigoni
 
Back
Top Bottom