raxx
JF-Expert Member
- Apr 9, 2016
- 326
- 284
Moja kwa moja kwenye mada!!
Mara nyingi najiuliza kwamba suala hili la mfumo wetu wa elimu kuzalisha mbumbumbu, Serikali hailioni imeshindikana kuubadilisha, au kuna manufaa gani inapata kwa mfumo huu.
Miaka 7 ya primary school tunafundishwa Mkwawa alikufa mwaka gani? Mara Kinjekitile Ngwale ni nani?, na bla bla nyingine nyingi
Miaka minne secondary school mtoto anafundishwa tena kuhusu Kinjekitile Ngwale na Newton alizaliwa mwaka gani tofauti hapa amebadilishiwa lugha ya kizungu. sana sana na Hesabu zisizokuwa na maana yeyote katika kiwajenga kiuchumi watoto
Miaka 2 Advance level hapa mtoto anafundishwa yalele ya Kinjekitile Ngwale na bla bla nyingine ambazo haziwezi kumletea tija katika maisha yake ya utafutaji.
Na kwa wale wa michepuo ya science nao wanasoma science kwa njia ya kusimuliwa yaani umbea mtupu, waelezwa Newton alingundua hiki na hiki , Enstein aligundua hiki, Faraday aligundua hiki, ndio science yetu imeishia hapo bila kuambiwa na wao wanatakiwa wagundue vyao.
Unakuta Dogo wa PCM hata maintainance ndogo ya kiswaswadu tu hajui..lakini mapractical ya Newton ambayo hayamsaidii kitu yote anayo kichwani.
Huu mfumo wa Elimu wa namna hii hauna tija kwa taifa, kubwa huzalisha vijana wasiokuwa na tija katika kukuza uchumi wa nchi sana sana huwaharibia watoto future zao.
Mara nyingi najiuliza kwamba suala hili la mfumo wetu wa elimu kuzalisha mbumbumbu, Serikali hailioni imeshindikana kuubadilisha, au kuna manufaa gani inapata kwa mfumo huu.
Miaka 7 ya primary school tunafundishwa Mkwawa alikufa mwaka gani? Mara Kinjekitile Ngwale ni nani?, na bla bla nyingine nyingi
Miaka minne secondary school mtoto anafundishwa tena kuhusu Kinjekitile Ngwale na Newton alizaliwa mwaka gani tofauti hapa amebadilishiwa lugha ya kizungu. sana sana na Hesabu zisizokuwa na maana yeyote katika kiwajenga kiuchumi watoto
Miaka 2 Advance level hapa mtoto anafundishwa yalele ya Kinjekitile Ngwale na bla bla nyingine ambazo haziwezi kumletea tija katika maisha yake ya utafutaji.
Na kwa wale wa michepuo ya science nao wanasoma science kwa njia ya kusimuliwa yaani umbea mtupu, waelezwa Newton alingundua hiki na hiki , Enstein aligundua hiki, Faraday aligundua hiki, ndio science yetu imeishia hapo bila kuambiwa na wao wanatakiwa wagundue vyao.
Unakuta Dogo wa PCM hata maintainance ndogo ya kiswaswadu tu hajui..lakini mapractical ya Newton ambayo hayamsaidii kitu yote anayo kichwani.
Huu mfumo wa Elimu wa namna hii hauna tija kwa taifa, kubwa huzalisha vijana wasiokuwa na tija katika kukuza uchumi wa nchi sana sana huwaharibia watoto future zao.