Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,518
- 6,506
Usikute sio bahati bali balaa yake!!Jaribu bahati yako [emoji120]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikute sio bahati bali balaa yake!!Jaribu bahati yako [emoji120]
Kumbe Buji buji nawe mnafiki mbona nawe unajadili watu hapa hapa mtandaoni au sababu ni Halima Mdee,yeye si kiongozi tukijua lifestyle yake ubaya uko wapi?Tumeishiwa ya kujadili hadi tuanze kujadili maisha ya watu?
Huu ni umbea, hii ni aibu.
Uchumi mbovu, elimu marehemu, maradhi na amasikini bado vinatushinda, Je ya watu tutayaweza?
Nimemjadili nani? Kama BASHITE nilimwambia tu kuwa yeye ni mlokole awe mkweli kwenye issue ya cheti chakeKumbe Buji buji nawe mnafiki mbona nawe unajadili watu hapa hapa mtandaoni au sababu ni Halima Mdee,yeye si kiongozi tukijua lifestyle yake ubaya uko wapi?
Calm down binti,hili ni jukwaa la celebrities and other famous people!!! Its all about gossip,elewa basi ww bashite!Tumeishiwa ya kujadili hadi tuanze kujadili maisha ya watu?
Huu ni umbea, hii ni aibu.
Uchumi mbovu, elimu marehemu, maradhi na amasikini bado vinatushinda, Je ya watu tutayaweza?
Anafaa kwa mboga hasa dogYupoyupo tu hakuna wa kuoa yule miaka 39 menopause si imebakiza mwaka tu?
Ana mchumba,hivi karibuni tu jamaa atachukua jiko jumla...
Unataka kutuma posa au?Amani iwe kwenu waungwana
Ndugu zanguni swali langu kama bandiko linavyojieleza ni kuhusu dada yetu,kipenzi chetu mbunge machachari mh halima mdee mbunge wa kawe
Je ana mume kama hana mume kuna mtu hapa anataka kukamilisha taratibu zote ili achukue jiko kama makubaliano yatapita maana bwana huyo anasema amevutiwa na halima muda mrefu na amesubiri kusikia kama kuna mtu atajitokeza hata wa udhushi kujitangaza ndie mmiliki wa halima
au yeye halima kutangaza lakini haijatokea,sasa yeye amesema yupo tayari kumuoa halima na kumuondolea upweke na matatizo ya kibaolojia yanayosababishwa na upweke,hivyo ni ombi letu kila mwenye kufahamu atufahamishe kama mjuavyo ndoa ni jambo la kheri na heshima,
Aksanteni mjumbe hauwawi!
mkuu rudia kusoma maelezo hapo juu!Unataka kutuma posa au?
Ndio maana tumetangulia kuuliza!Unataka umuoe wewe
Na wengine wana-comment kama vile walijiumba wenyewe na wana-control ya kila jambo linalotokea maishani mwao!!!Haya ni maneno ya kuongea MTU ambaye hana Ndugu wa kike na usiombe yakukute
Next level....!Ester bulaya.....