Je Mh. Halima Mdee ameshaolewa?

Je Mh. Halima Mdee ameshaolewa?

Tumeishiwa ya kujadili hadi tuanze kujadili maisha ya watu?
Huu ni umbea, hii ni aibu.
Uchumi mbovu, elimu marehemu, maradhi na amasikini bado vinatushinda, Je ya watu tutayaweza?
Kumbe Buji buji nawe mnafiki mbona nawe unajadili watu hapa hapa mtandaoni au sababu ni Halima Mdee,yeye si kiongozi tukijua lifestyle yake ubaya uko wapi?
 
Tumeishiwa ya kujadili hadi tuanze kujadili maisha ya watu?
Huu ni umbea, hii ni aibu.
Uchumi mbovu, elimu marehemu, maradhi na amasikini bado vinatushinda, Je ya watu tutayaweza?
Calm down binti,hili ni jukwaa la celebrities and other famous people!!! Its all about gossip,elewa basi ww bashite!
 
Amani iwe kwenu waungwana

Ndugu zanguni swali langu kama bandiko linavyojieleza ni kuhusu dada yetu,kipenzi chetu mbunge machachari mh halima mdee mbunge wa kawe

Je ana mume kama hana mume kuna mtu hapa anataka kukamilisha taratibu zote ili achukue jiko kama makubaliano yatapita maana bwana huyo anasema amevutiwa na halima muda mrefu na amesubiri kusikia kama kuna mtu atajitokeza hata wa udhushi kujitangaza ndie mmiliki wa halima

au yeye halima kutangaza lakini haijatokea,sasa yeye amesema yupo tayari kumuoa halima na kumuondolea upweke na matatizo ya kibaolojia yanayosababishwa na upweke,hivyo ni ombi letu kila mwenye kufahamu atufahamishe kama mjuavyo ndoa ni jambo la kheri na heshima,

Aksanteni mjumbe hauwawi!
Unataka kutuma posa au?
 
Hahaaaa..., huyo jamaa anatafuta kama za Harmorappa kwa Wema!!
 
Back
Top Bottom