Tetesi: Je, mifumo ya Mamlaka ya Mapato (TRA) inachezewa?

Angeishia hapo, ingeeleweka ila ameendelea kuweka lawama kwamba watu wanatafuta namna ya kupiga wakati mtandao uko chini kitu ambacho si sahihi.
Unafanyakazi hapo Bandarini?
 
Watakuja kujibu.
 
Hiyo ni hali ya kawaida na sio mfumo huo tu, ni hali ya server kuwa down tu.

Una uhakika? Kama ni challenge lazima iwe communicated au kama kuna regular updates au kama ni mechanism ya server ikiwa ina create backup pia lazima ifahamike! Ni jambo sensitive ambalo halihitaji tupige ramli ila kua na taarifa sahihi.



Mfano: miaka ya mwanzo ya matumizi ya ATM ilikua kila saa moja jioni atm ziko down na ilikua inafahamika sababu ni ipi.
 
Naona walitoa tangazo la matengenezo ya mifumo yao kama nyara hii ilivyojieleza
 
sidhani kama ni hivyo ndungu mzalendo kwanini usiende vyombo husika ukawapa data hizi maana unaushahidi kama maelezo uliyoyasema? mifumo nayo inahitaji service ili kuangalia wapi pameharibika au pana shida sioni tatizo na ikiwa walishatoa tangazo. hata tanesco nao naona wametoa tangazo sasa sijui nayo utasema nini. sasa hivi hata polisi unalipia control number kama mfumo unachangamoto utalipia baadaye lakini siyo kwamba unalipia manual hakuna kitu kama hicho
 
sidhani kama ni hivyo ndungu mzalendo kwanini usiende vyombo husika ukawapa data hizi maana unaushahidi kama maelezo uliyoyasema? mifumo nayo inahitaji service ili kuangalia wapi pameharibika au pana shida sioni tatizo na ikiwa walishatoa tangazo. hata tanesco nao naona wametoa tangazo sasa sijui nayo utasema nini. sasa hivi hata polisi unalipia control number kama mfumo unachangamoto utalipia baadaye lakini siyo kwamba unalipia manual hakuna kitu kama hicho View attachment 2353625
 
Kama kuna tatizo la mtandao hakuna charges zozote zitalipwa kutokana na delay hiyo. Uliza kwanza sio unajikuta mjuaji na hujui kitu. Always system inarekebishwa kuondoa fines na charges ambazo zimesababishwa na mtandao huo.
Wewe unaandika kwa kukisia, Mimi nimeandika kilichonitokea. Mtandao ulikua chini nikachelewa kupata control number Mwenyewe mwishowe malipo yakachelewa nikapigwa fine.

Wacha kubisha vitu usivyovijua
 
Mmh! Hapo tushapigwa!!!
 
Nimeyasoma hayo maswali yako matatu nikamkumbuka yule mfanyabiashara wakati ule wa Magufuli waliyesema alikuwa akiingiza zaidi ya milioni 200 kwa saa kama sijakosea.

Hiki ulichoandika hapa ndio muendelezo wa hiyo biashara, tena wakati huu ambao wameruhusiwa kula kwa urefu wa kamba zao, sijui tutaponea wapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…