Naingia kwenye mada moja kwa moja. Wakati wa kusaini mikataba miatatu ya uendelezaji bandari kati ya TPA na waarabu wa DPW tuliaminishwa na serikali kuwa hii mikataba ni ya miaka 30. Je, mikataba hii kweli ni ya miaka 30 au tumepigwa?
Nimejaribu kufanya uchunguzi binafsi ndani ya serikali kwa watu wangu wa karibu waliomo kwenye uongozi wa juu serikalini wameniambia nao hawana uhakika kama kweli kipengele hicho kimerekebishwa kutoka umilele hadi miaka 30. Kufuatia kupigwa changa kwenye mkataba wa awali, wananchi tunakosa imani ndio maana tunakuwa na dukuduku kama kweli kipengele hiki kilirekebishwa au la! Sasa sisi tumuamini nani ikiwa serikali haiaminiki?
Nijuavyo mimi mkataba mama (usiokuwa na kikomo) hauwezi kuwa tofauti na mikataba midogo. Tembo hawezi kumzaa sungura kama ambavyo sungura hawezi kumzaa tembo! Na kwa kuwa kitendo cha kumtambulisha Makonda kilienda sambamba na utiaji wa saini za mikataba ya DPW hili huenda limefanyika kwa makusudi ili kuwaondolea utulivu watanzania kutoka kuzungumzia mikataba kwenda kujadili uteuzi wa Makonda.
They know exactly that Tanzanians are good at discussing petty issues leaving aside crucial matters. Na wanafahamu fika kuwa watanzamia ni wasahaulifu. Kabla ya mwaka kuisha, watanzania watakuwa wameishasahau sakata lote la banndari. Ikiwa inawachukua mwezi mmoja tu kusahau mambo sembuse miaka 30!
Kitu kingine kinachowaongezea wasiwasi watanzania ni kitendo cha serikali kuwaalika viongozi wa TEC kwenye hafla ya kutia saini. Tukumbuke TEC walipiga kelele sana kuhusu sakata la DPW. Kwa hiyo, kualikwa kwao inaweza ikawa ni moja ya mbinu za serikali kuwaaminisha wananchi kuwa kila kitu kiko sawa ijapokuwa hata wao TEC hawakuonyeshwa hiyo mikataba mipya.
Ikiwa hii ndiyo hali halisi je sisi wananchi tutaaminije kama kweli mikataba hii ni ya miaka 30? Hili ndilo swali kubwa na gumu ambalo tunajiuliza hadi sasa bila majibu.
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Wakati wa kusaini mikataba miatatu ya uendelezaji bandari kati ya TPA na waarabu wa DPW tuliaminishwa na serikali kuwa hii mikataba ni ya miaka 30. Je, mikataba hii kweli
Ikiwa hii ndiyo hali halisi je sisi wananchi tutaaminije kama kweli mikataba hii ni ya miaka 30? Hili ndilo swali kubwa na gumu ambalo tunajiuliza hadi sasa bila majibu.
Jameni, mwishowe tujikumbushe wenyewe kwamba hili ni taifa letu.
Hii ni Tanzania, nchi ya waTanzania, yenye watu wenye uwezo kamilifu kabisa wa kulinda nchi yao.
Huku kulialia sasa inafaa tuachane nako. Mbona ni kama mnataka kumfanya huyu Samia na Genge lake kuwa kama wanazo nguvu za milele za kulishiklia taifa hili na kuwafanya wananchi wake kuwa kama mali zao?
Hiyo mikataba iwe, miaka 30 au vinginevyo, Samia hawezi kuwa madarakani kashikilia mikataba hiyo ibaki hivyo hivyo.
Hii hofu ya sheria za kimataifa kutubana, hivi hizo sheria zipo kulazimisha nchi na watu wake kubaki ndani ya ukandamizaji wasioutaka?
Hao DP World watafanyaje kazi hapa kama hatutaki wafanye kazi hapa, hata kama sheria hizo zinawalinda. Inaingia akilini hii?
Nakumbuka kama niliwahi kukujibu mada yako nyingine hivi hivi, mkuu Paul; naona ni kama haya ni marudio tu.
Hivi hawa DP World na waarabu wataleta silaha za maangamizi hapa na kutufanya kama Israel anavyowashughulikia sasa waOPalestina?
Mimi siamini yote hayo.
Acha Samia na genge lake wajifurahishe kwa ujambazi huu kwa sasa, lakini wamejikokea moto wasioweza kuuzima.
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Wakati wa kusaini mikataba miatatu ya uendelezaji bandari kati ya li kuwaaminisha wananchi kuwa kila kitu kiko sawa ijapokuwa hata wao TEC hawakuonyeshwa hiyo mikataba mipya.
Ikiwa hii ndiyo hali halisi je sisi wananchi tutaaminije kama kweli mikataba hii ni ya miaka 30? Hili ndilo swali kubwa na gumu ambalo tunajiuliza hadi sasa bila majibu.
Tunajadili masuala ya mikataba kama vile ni story za kina Wema Sepetu na Diamond!!. nchi ya kipumbavu sana hii.
IGA ikitoka bungeni na kuandaliwa consession na lease agreements hizo ni nyaraka za siri sana. Tukumbuke kwamba humo panakuwa ni mahali ambapo panaandikwa siri za kibiashara za pande mbili, kwa hali tuliyofikia hizo agreements zikiwekwa wazi maana yake DP World anayo haki ya kutushtaki na tutalipa pesa nyingi.
Elimu tuliichezea miaka ya nyuma na sasa tunavuna matunda ghali sana ya kulea ujinga.
Ndege zinakamatwa Kila siku na tunalipa matrilioni ya sh kutokana na kuingia mikataba ya kijinga na Kisha kuivunja,bado watu hawataki kujifunza tu. Hii nchi yetu Ina viongozi wa ajabu sana. Sijui tumelaaniwa na nani!
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Wakati wa kusaini mikataba miatatu ya uendelezaji bandari kati ya TPA na waarabu wa DPW tuliaminishwa na serikali kuwa hii mikataba ni ya miaka 30. Je, mikataba hii kweli ni ya miaka 30 au tumepigwa?
Nimejaribu kufanya uchunguzi binafsi ndani ya serikali kwa watu wangu wa karibu waliomo kwenye uongozi wa juu serikalini wameniambia nao hawana uhakika kama kweli kipengele hicho kimerekebishwa kutoka umilele hadi miaka 30. Kufuatia kupigwa changa kwenye mkataba wa awali, wananchi tunakosa imani ndio maana tunakuwa na dukuduku kama kweli kipengele hiki kilirekebishwa au la! Sasa sisi tumuamini nani ikiwa serikali haiaminiki?
Nijuavyo mimi mkataba mama (usiokuwa na kikomo) hauwezi kuwa tofauti na mikataba midogo. Tembo hawezi kumzaa sungura kama ambavyo sungura hawezi kumzaa tembo! Na kwa kuwa kitendo cha kumtambulisha Makonda kilienda sambamba na utiaji wa saini za mikataba ya DPW hili huenda limefanyika kwa makusudi ili kuwaondolea utulivu watanzania kutoka kuzungumzia mikataba kwenda kujadili uteuzi wa Makonda.
They know exactly that Tanzanians are good at discussing petty issues leaving aside crucial matters. Na wanafahamu fika kuwa watanzamia ni wasahaulifu. Kabla ya mwaka kuisha, watanzania watakuwa wameishasahau sakata lote la banndari. Ikiwa inawachukua mwezi mmoja tu kusahau mambo sembuse miaka 30!
Kitu kingine kinachowaongezea wasiwasi watanzania ni kitendo cha serikali kuwaalika viongozi wa TEC kwenye hafla ya kutia saini. Tukumbuke TEC walipiga kelele sana kuhusu sakata la DPW. Kwa hiyo, kualikwa kwao inaweza ikawa ni moja ya mbinu za serikali kuwaaminisha wananchi kuwa kila kitu kiko sawa ijapokuwa hata wao TEC hawakuonyeshwa hiyo mikataba mipya.
Ikiwa hii ndiyo hali halisi je sisi wananchi tutaaminije kama kweli mikataba hii ni ya miaka 30? Hili ndilo swali kubwa na gumu ambalo tunajiuliza hadi sasa bila majibu.