Je, mikataba ya DP World iliyosainiwa ina kikomo cha miaka 30? Jibu hili hapa

Je, mikataba ya DP World iliyosainiwa ina kikomo cha miaka 30? Jibu hili hapa

Makonda namuona kama mtu sahihi sana kuliko watangulizi wake tukiondoa Polepole, kazi hii anaiweza ndiyo maana Chadema wanamgwaya na hawakulitegemea hili, kutokea walijua amezikwa jumla wasubili mziki wake.
Haya uliyoandika hapa ndiyo theme ya hii mada au unakururupuka tu kama panya na mitaputapu yako kichwani unakuja hapa kutuharibia uzi?
 
Makonda namuona kama mtu sahihi sana kuliko watangulizi wake tukiondoa Polepole, kazi hii anaiweza ndiyo maana Chadema wanamgwaya na hawakulitegemea hili, kutokea walijua amezikwa jumla wasubili mziki wake.
Mtu aliyewahi kumpiga kofi hadharani Waziri mkuu na Makamo wa rais mstaafu hafai kuwa kiongozi bhana, ni vile tu ccm kimekosa maadili
 
Ngoja hawa wapuuzi wamalize kuuza nchi kwa waarabu tuone wanakotaka kuhamia
 
Back
Top Bottom