Fumadilu Kalimanzila
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 1,770
- 5,423
Tanzania ina Wananchi na Viongozi wajinga sana!
Mikataba ya DP World HAINA UKOMO kwa mujibu wa IGA!
Hiyo miaka 30 wanayosema kwenye HGA HAINA nguvu kwani ikiisha kama kazi bado zinaendelea inaingiwa tena upya kwa mujibu wa IGA!
HUO NDIO UMILELE WA MIKATABA YA BANDARI NA DP World.
Tanzania ni Nchi ya Ajabu sana!
Profesa wa Chuo Kikuu anafundishwa mikataba na Form Four Failure!!!!
Mikataba ya DP World HAINA UKOMO kwa mujibu wa IGA!
Hiyo miaka 30 wanayosema kwenye HGA HAINA nguvu kwani ikiisha kama kazi bado zinaendelea inaingiwa tena upya kwa mujibu wa IGA!
HUO NDIO UMILELE WA MIKATABA YA BANDARI NA DP World.
Tanzania ni Nchi ya Ajabu sana!
Profesa wa Chuo Kikuu anafundishwa mikataba na Form Four Failure!!!!