Je, milioni 35 nizi-invest katika biashara ipi kati ya hizi?

Je, milioni 35 nizi-invest katika biashara ipi kati ya hizi?

Joined
Oct 25, 2021
Posts
98
Reaction score
98
Hello wadau, mazingira nayotaka kuinvest ni miji inayokuwa kwa kasi.

Nitafurahi kupata maoni na miongozo yenu kati ya hizi ideas.

1: Nifungue Hardware (nianze na cement, nondo, misumari, g.boards, g.powder, tiles na rangi)

2: Ni-specialize katika Plumbing and sanitary system (Bomba aina zote, sinks za choo, sinks za kunawa, bidets etc)

3: Nifungue Pharmacy ya kisasa.

4: Nitafute uwakala wa vinywaji Azam na ninunue bajaji used kwa ajili ya kusambaza mzigo.

5: Nifungue hardware iliyospecialize katika material za finishing tu (nianze na g.boards, g.powder, tiles, paints, pvc boards, white cement, sinks)

6: Nitenge 25 million tu nifungue Hardware yenye vifaa vidogo vidogo vya ujenzi kama nyundo, bisi bisi, vijiko vya uenzi, misumari, andika screws..etc).

7: Vituo tano vya mobile money na uwakala benki wa pesa

8: Barbershop nne za kisasa

9: Nitenge 25m nitafute fremu Sinza madukani, niagize mikoba kutoka China nifungue duka la mikoba tu. Jumla na reja reja ( niuze physical na mtandaoni ).

10: Ninunue ardhi kijijini nilime mpunga na niwe nauza mchele kwa jumla hadi mikoani.

11: Ninunue gari tano nifanye uber au bolt.
 
Hello wadau, mazingira nayotaka kuinvest ni miji inayokuwa kwa kasi.

Nitafurahi kupata maoni na miongozo yenu kati ya hizi ideas.

1: Nifungue Hardware (nianze na cement, nondo, misumari, g.boards, g.powder, tiles na rangi)

2: Ni-specialize katika Plumbing and sanitary system (Bomba aina zote, sinks za choo, sinks za kunawa, bidets etc)

3: Nifungue Pharmacy ya kisasa.

4: Nitafute uwakala wa vinywaji Azam na ninunue bajaji used kwa ajili ya kusambaza mzigo.

5: Nifungue hardware iliyospecialize katika material za finishing tu (nianze na g.boards, g.powder, tiles, paints, pvc boards, white cement, sinks)

6: Nitenge 25 million tu nifungue Hardware yenye vifaa vidogo vidogo vya ujenzi kama nyundo, bisi bisi, vijiko vya uenzi, misumari, andika screws..etc).

Karibuni..
Kama uko pembeni ya mji , mji unakoelekea(kukua) nnasugest 1...kama uko katikati ya mji au sehemu yenye population kubwa ya wakaazi...nnasugest pharmacy
 
Kwa mtazamo wangu, tafuta sehemu jirani kidogo na hospital kubwa na ukiweza kujiunga na zile BIMA za afya kama mtaji utaruhusu, aaagh ai can see a bright future ahead.
Ila mkuu naogopa gharama ya undeshaji kumlipa pharmacist, vibali..dispenser...au mauzo ya pharmacy yanalipa kupelekea ku- cover costs za undeshaji
 
Hawakosekani mzee, ila ni wacache mnooooo.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Hahahaa Baba, naomnba nikopeshe dawa....Dah nimekumbuka a very sad story, mwaka jana October 2020 nilikua Njombe kwa kazi fulani, sasa kuna Kijana akawa amesafiri akaniachia geto lake, nikatoka Lodge nikaenda kupunguza gharama za accomodation kwake....

Jioni moja narudi, nikasimama mahali nikanunua mahindi nitafune kidogo, aliyekua anauza ni Bibi mtu mzima sana, mara akaja binti mdogo around 10-13 yrs akasema, Bibi amekataa...... Bibi nikaona anasikitika sana kwamba angempelekea pesa yake tu akimaliza kuuza mahindi, ile story ikanigusa, nikauliza shida nini Bibi? Kasema anaumwa na alitaka panadol ameze ila ndio hivyo amenyimwa hadi apeleke pesa.

Nilihisi mwili wangu umepigwa ganzi aisee, nikavuta picha ya Marehemu Mama yangu, nikajikuta natoa buku mbili, akaenda kununua hizo panadol, nikalipia mhindi wwangu, lile jambo liliniumiza sana sana, sikupata usingizi kabisa.

Kesho jioni, nikiwa narudi nikapitia dukani nikamfanyia shopping ya vitu vya ndani, sukari, mchele, dawa za meno, sabuni, unga, mafuta na maharage, dah nikawa niko chini ya salio kidogo maana nilikua bado sijakamilishiwa cheque yangu.

MUNGU alivyo wa ajabu, kesho nikapokea cheque yangu na siku ile iliyofuata nakumbuka ilikua Jumatano asubuhi nikapigiwa simu ya tender nyingine...nikatambua yuko MUNGU juu Mbinguni anayejibu sala na maombi yetu. Siku nikirudi Njombe nitaenda kumsalimia.

Umenikumbusha mbali
 
Hahahaa Baba, naomnba nikopeshe dawa....Dah nimekumbuka a very sad story, mwaka jana October 2020 nilikua Njombe kwa kazi fulani, sasa kuna Kijana akawa amesafiri akaniachia geto lake, nikatoka Lodge nikaenda kupunguza gharama za accomodation kwake....

Jioni moja narudi, nikasimama mahali nikanunua mahindi nitafune kidogo, aliyekua anauza ni Bibi mtu mzima sana, mara akaja binti mdogo around 10-13 yrs akasema, Bibi amekataa...... Bibi nikaona anasikitika sana kwamba angempelekea pesa yake tu akimaliza kuuza mahindi, ile story ikanigusa, nikauliza shida nini Bibi? Kasema anaumwa na alitaka panadol ameze ila ndio hivyo amenyimwa hadi apeleke pesa.

Nilihisi mwili wangu umepigwa ganzi aisee, nikavuta picha ya Marehemu Mama yangu, nikajikuta natoa buku mbili, akaenda kununua hizo panadol, nikalipia mhindi wwangu, lile jambo liliniumiza sana sana, sikupata usingizi kabisa.

Kesho jioni, nikiwa narudi nikapitia dukani nikamfanyia shopping ya vitu vya ndani, sukari, mchele, dawa za meno, sabuni, unga, mafuta na maharage, dah nikawa niko chini ya salio kidogo maana nilikua bado sijakamilishiwa cheque yangu.

MUNGU alivyo wa ajabu, kesho nikapokea cheque yangu na siku ile iliyofuata nakumbuka ilikua Jumatano asubuhi nikapigiwa simu ya tender nyingine...nikatambua yuko MUNGU juu Mbinguni anayejibu sala na maombi yetu. Siku nikirudi Njombe nitaenda kumsalimia.

Umenikumbusha mbali
Aisee.. inspiring story. Hongera mkuu na zidi kuwa hivyo
 
Back
Top Bottom