Je mimba ipo hapa?

da viper

Senior Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
158
Reaction score
43
Dem wangu alianza siku zake tarehe 2 mwez wa 12,akamaliza tarehe 7,siku mbili baada ya hapo nikapiga gem kavu kavu hadi mwezi umeisha,ila akawa analalamika matiti yanamuuma balaa,anachoka choka mara chache chache na tumbo limejaa kama kavimbiwa hiv,jana kaniletea hicho kipimo kinaonesha hivo,je hii ni mimba kweli au turudie vipimo mara ya pili na ya tatu? Maana ilitakiwa azione siku zake tarehe 2 au 3 mwezi hu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hicho kinaonyesha anayo wala haujakosea
Kama hauamini rudia tena matokeo ni hayo

Hongera baba Kijacho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MKuu umeingia cha kike hahahahahahaah akitoka bleed jua unatakiwa kufanya mapenzi kwa siku si chini ya 5 au nne. baada ya hapo unatakiwa kutumia kinga ndani ya week, baada ya hapo sasa ndo unakuwa huru mpaka bleed kwani bios ilikuwaje secondary
 
Wasikudanganye mkuu mpe magnesium tu tumbo lipoe then subiria zako miezi 9 uone matokeo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni ngumu kupata mimba kwa siku hizo ila kwa kua imetokea na kipimo kimeonyesha yeah ndo ana mimba mkuu
Mengine juu yako hapo akili kumkichwa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
mkuu anaonekana anamzunguko mrefu, so we uliendelea kushiriki nae tendo mpaka tarehe ipi ndo ukasitisha?

ka uliendelea kushiriki tendo la ndoa kwa kipindi chote cha mwezi huo wa kumi na mbili mpaka leo hii basi ujue nimjamzito kweli

Hongera mkuu
 
mkuu anaonekana anamzunguko mrefu, so we uliendelea kushiriki nae tendo mpaka tarehe ipi ndo ukasitisha?

ka uliendelea kushiriki tendo la ndoa kwa kipindi chote cha mwezi huo wa kumi na mbili mpaka leo hii basi ujue nimjamzito kweli

Hongera mkuu
Yap,niliendeleza gem mwez mzima had huu wa kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…