Je, mimi nina tatizo gani, au figo zishakufa?

Je, mimi nina tatizo gani, au figo zishakufa?

Pole sana tafadhari usitengeneze madhania kwenye suala la ugonjwa unaweza kunywa dawa zikakuathiri
Kumbuka Kila mwaka watu 7000 hufariki kwa kutosoma vizuri maelekezo ya dawa na matumizi yasiyo sahihi.
Ushauri.
Nenda hospital kubwa Kisha omba kuonana na daktari bingwa wa magonjwa ya wanaume Kisha mueleze changamoto zako
Fanya vipimo vya magonjwa husika uone shida iko wapi.
Shukrani mkuu, ahsante kwa ushauri wako nitafanyia kazi [emoji120]
 
[emoji45][emoji45][emoji45][emoji45]
Daah pole sana mkuu nimekuonea huruma sana nime ya hisi maumivu na mateso unayo pitia ukweli nimeskitika sana.kawaone wataalamu wa Afya na vipimo hali ikizidi zaidi naomba ujitahidi kunitafuta tupambane juu yahilo.
Asili iwe nawe[emoji120][emoji120]
Ahsante mkuu, nina hofu kuu asee[emoji3064][emoji24]
 
Mkuu kwanza kabisa usigoogle utazidi pata presha,nishawahi kuwa na shida kama yako nilienda hospital ya BMH(Benjamin Mkapa hospital) Dodoma nikafanya vipimo vya Figo inaitwa BUN ni chap tu wanapima mkojo nashukuru nilikuwa fresh.

Pia kumbe nilikuwa na shida ya typhoid ya muda mrefu sana.
Hivyo nakushauri uende physical hospital kubwa maana ndio suluhu hapa jf wapo wataalamu ila 200% watashauri uende hospital.

NB:"99% of things we worry never happen "
Shukrani mkuu, na uzuri nipo Dodoma, na nitaaattend hiyo hospital, nashukuru kunifahamisha na aina ya kipimo husika , kifupi nina hofu kuu na hili tatizo
 
Aende Hospitali akafanye KUB Ultrsound na Magonjwa Mengine Pia..
Ni muhimu Aende hospitali ili wafanye Vipimo..

Hii ni Post yake ya 4 kama Sikosei akijihisi Ana tatizo La Figo Kipenseli aliwahi kupost mwaka 2020 tena Akidai ana tatizo la Figo..

Swali ni kwamba Kwanini Haendi Hospitali kufanya Vipimo?

Tangu mwaka 2020 mpaka Leo Ni miaka Minne sasa
Kipimo halisi cha figo sikifahamu mkuu, ni kweli niliweka andiko hilo, that niliandika almost miaka 7 nasumbuliwa na tatizo la kujirudia rudia la U.T.I, lakini kwasasa napata maumivu makali mno, nikienda vituo vya afya sionekani kua nina tatizo lolote
 
Kipenseli nenda hospitali hitopona JF, pole Kwa unayopitia
 
Offcourse, njano iliyokolea mno
Nenda kwa doctor mandali ulongoni pale kajielezee kuna dawa kichupa chake kuna mti wenye majani mengi ukifungua ndani unga wake wa brown katumie hiyo itakusaidia ,thrust me
 
Nenda kwa doctor mandali ulongoni pale kajielezee kuna dawa kichupa chake kuna mti wenye majani mengi ukifungua ndani unga wake wa brown katumie hiyo itakusaidia ,thrust me
Nakuja DM mkuu
 
Shukrani mkuu, na uzuri nipo Dodoma, na nitaaattend hiyo hospital, nashukuru kunifahamisha na aina ya kipimo husika , kifupi nina hofu kuu na hili tatizo
Hapo safi nenda hapo kuna wataalamu specialist wazuri sana wako safi.
Pia usisahau kusali.
 
Kipimo halisi cha figo sikifahamu mkuu, ni kweli niliweka andiko hilo, that niliandika almost miaka 7 nasumbuliwa na tatizo la kujirudia rudia la U.T.I, lakini kwasasa napata maumivu makali mno, nikienda vituo vya afya sionekani kua nina tatizo lolote
Mkuu ushauri wangu Nenda Hospitali Hata kama Ukienda Hospitali za Binafsi kapime Figo kwa vipimo vyote Serum Creatinine (sCr), BUN ,Estimated Glomerular Filtration Rate (eGFR),Albumin-to-Creatinine Ratio (ACR) na mwisho fanya Ultrasound ya KUB (Kidney,ureter and Bladder USS)..

Maana Kwa Haraka haraka Tatizo lako u alo zaidi ya Miaka 6 na Nimekuona hala Jf Kwa zaidi ya Miaka 4 ulilielezea..
 
Nikiwa nafua kuinama na kuinuka kunanipa maumivu makali mno ya kiuno yanayopanda mpaka kwenye mgongo
Nenda hospitali kwa utaalamu zaidi! Ila kuhunihuni na kimtaa ,moja ya athari ya nyeto ni hayo maumivu ya mgongo na nyonga plus uono hafifu!
 
  • Nina maumivu makali ya nyonga
  • Maumivu makali chini ya kitovu (kwa pembeni)
  • Mkojo ni wenye harufu mbaya kupita kiasi
  • Nilishaweka mkojo kwenye container, kesho yake nikakuta unatoa wadudu (Funza)
  • Nilishawahi kua na maambukizi ya njia ua mkojo (UTI) kwa muda mrefu (for almost 7 years ago na imekua ikijirudia) lakini kwa sasa kila nikenda hospital kufanya check up naambiwa sina UTI
  • Nikiwa nafua kuinama na kuinuka kunanipa maumivu makali mno ya kiuno yanayopanda mpaka kwenye mgongo[emoji3064][emoji24]..
  • Mkojo Unatoka na rangi za ajabu mixer kamba kamba mle ndani

Wakuu , mimi nina tatizo gani? au ndo organ hazifunction, au ndo nishaua figo[emoji24]

Heshoutang Natural Health System Knowledge and treatment:

Unachosema kinashabihana na matatizo ya Figo Ila sio kufeli Figo
Figo kufeli unakuwa na Weak bones, weak energy, cold waist , cold belly, cold feet, etc due to Fire kidney & bladder fire energy low
Hapo tunasema Figo imefeli

Lakini Kwa Symptoms ulizoonesha hiyo ni Hot dampness toxin kwenye Mfumo wa Figo & Kibofu , so hizi Hot dampness toxin zinaweza generate Kidney stones kusababisha Sharp pain under your belly button !

Kumbuka Mfumo wa Figo & Kibofu una control Bones, bone marrow, Spine , Spine marrow, brain, hair , ears , Sex , Urine and defecation

Contact me , tutafanya uchunguzi kwa matibabu sahihi

+255757577995
IMG_2276.jpg
 
Aende Hospitali akafanye KUB Ultrsound na Magonjwa Mengine Pia..
Ni muhimu Aende hospitali ili wafanye Vipimo..

Hii ni Post yake ya 4 kama Sikosei akijihisi Ana tatizo La Figo Kipenseli aliwahi kupost mwaka 2020 tena Akidai ana tatizo la Figo..

Swali ni kwamba Kwanini Haendi Hospitali kufanya Vipimo?

Tangu mwaka 2020 mpaka Leo Ni miaka Minne sasa
Phobia mkuu, haha
 
Back
Top Bottom