Je, mimi nina tatizo gani, au figo zishakufa?

Shukrani mkuu, ahsante kwa ushauri wako nitafanyia kazi [emoji120]
 
Ahsante mkuu, nina hofu kuu asee[emoji3064][emoji24]
 
Shukrani mkuu, na uzuri nipo Dodoma, na nitaaattend hiyo hospital, nashukuru kunifahamisha na aina ya kipimo husika , kifupi nina hofu kuu na hili tatizo
 
Kipimo halisi cha figo sikifahamu mkuu, ni kweli niliweka andiko hilo, that niliandika almost miaka 7 nasumbuliwa na tatizo la kujirudia rudia la U.T.I, lakini kwasasa napata maumivu makali mno, nikienda vituo vya afya sionekani kua nina tatizo lolote
 
Kipenseli nenda hospitali hitopona JF, pole Kwa unayopitia
 
Offcourse, njano iliyokolea mno
Nenda kwa doctor mandali ulongoni pale kajielezee kuna dawa kichupa chake kuna mti wenye majani mengi ukifungua ndani unga wake wa brown katumie hiyo itakusaidia ,thrust me
 
Nenda kwa doctor mandali ulongoni pale kajielezee kuna dawa kichupa chake kuna mti wenye majani mengi ukifungua ndani unga wake wa brown katumie hiyo itakusaidia ,thrust me
Nakuja DM mkuu
 
Shukrani mkuu, na uzuri nipo Dodoma, na nitaaattend hiyo hospital, nashukuru kunifahamisha na aina ya kipimo husika , kifupi nina hofu kuu na hili tatizo
Hapo safi nenda hapo kuna wataalamu specialist wazuri sana wako safi.
Pia usisahau kusali.
 
Mkuu ushauri wangu Nenda Hospitali Hata kama Ukienda Hospitali za Binafsi kapime Figo kwa vipimo vyote Serum Creatinine (sCr), BUN ,Estimated Glomerular Filtration Rate (eGFR),Albumin-to-Creatinine Ratio (ACR) na mwisho fanya Ultrasound ya KUB (Kidney,ureter and Bladder USS)..

Maana Kwa Haraka haraka Tatizo lako u alo zaidi ya Miaka 6 na Nimekuona hala Jf Kwa zaidi ya Miaka 4 ulilielezea..
 
Nikiwa nafua kuinama na kuinuka kunanipa maumivu makali mno ya kiuno yanayopanda mpaka kwenye mgongo
Nenda hospitali kwa utaalamu zaidi! Ila kuhunihuni na kimtaa ,moja ya athari ya nyeto ni hayo maumivu ya mgongo na nyonga plus uono hafifu!
 

Heshoutang Natural Health System Knowledge and treatment:

Unachosema kinashabihana na matatizo ya Figo Ila sio kufeli Figo
Figo kufeli unakuwa na Weak bones, weak energy, cold waist , cold belly, cold feet, etc due to Fire kidney & bladder fire energy low
Hapo tunasema Figo imefeli

Lakini Kwa Symptoms ulizoonesha hiyo ni Hot dampness toxin kwenye Mfumo wa Figo & Kibofu , so hizi Hot dampness toxin zinaweza generate Kidney stones kusababisha Sharp pain under your belly button !

Kumbuka Mfumo wa Figo & Kibofu una control Bones, bone marrow, Spine , Spine marrow, brain, hair , ears , Sex , Urine and defecation

Contact me , tutafanya uchunguzi kwa matibabu sahihi

+255757577995
 
Phobia mkuu, haha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…