Je, Misri na Jordan watawapokea Wapalestina?

Huo ndo ukwel na yanaenda kutimia
 
Ule Msikiti wa Palestinians watauvunja nyakati hizi? Ili kujenga Hekalu?
 
Papa ndiye muanzilishi na Engineer wa dini ya Uislamu

Ukatoliki ndio walioanzisha uislamu wakimtumia Muhammad

Padre Waraq na bi Khadija aliyekuwa mkatoliki ndio waliompa utume Muhammad
Hili waislam wengi hawalijui, tamaduni zao nyingi zimetoka Roma
Kofia, askofu nao wanavaa
Kufagilia makaburi
Christmas huku Maulid
Rozali huku Tasbih
Kanzu za Maaskofu huku Kanzu misikitin
Misa za wafu
Kumwabudu Maria huku sura katika Quran kuhusu mariam ipo
 
Kaka wengi hawajui kabisa ,

Ndio maana Pope misikitini anaingia muda wowote akijisikia
 
Tunazungumzia watanzania hapa?

Lini uliona watanzania wanagonbania Ardhi ya pale Israel,mbona mnapenda kujitoa fahamu
Safi kabisa!
Uhalali wa wewe kuwepo Tanzania unatokana na nini?
 
Ule Msikiti wa Palestinians watauvunja nyakati hizi? Ili kujenga Hekalu?
Nabii nyingi za biblia zinaonesha pale patavunjwa na kujengwa hekalu la 3 la Suleiman ambalo litakuwa na sehemu 3 ,ya wayahudi, waislamu na wakristo/wakatoliki

Kule Abu Dhabi , Papa na Uislamu walishajenga Jengo linalounganisha UISLAMU ,UKATOLIKI NA UYAHUDI




HILI JENGO LISHAKAMILIKA ,NI MCHAKATO SASA NA PALE YERUSALEMU WANATAKA WAFANYE HIVI

WAISLAMU WA HUKU KWA MTOGOLE HAWAJUI UKATOLIKI NA UISLAMU NI BABA NA MTOTO

wakasome kitu kinaitwa Chrislam,na mikataba ambayo Papa amesaini na viongozi wa juu wa uislamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…