Je, Misri na Jordan watawapokea Wapalestina?

Je, Misri na Jordan watawapokea Wapalestina?

Hakuna wa kuwaondoa wapalestina pale Gaza Wala West Bank watawapiga mabomu wafie pale hakuna atakaenyanyua mguu
Wataondolewa ,maana pale sio kwao

Surat Al-A'raf (7:137)

وَأَوْرَثْنَا الْقَوْمَ الَّذِينَ كَانُوا يُسْتَضْعَفُونَ مَشَارِقَ الْأَرْضِ وَمَغَارِبَهَا الَّتِي بَارَكْنَا فِيهَا ۖ وَتَمَّتْ كَلِمَةُ رَبِّكَ الْحُسْنَىٰ عَلَىٰ بَنِي إِسْرَائِيلَ بِمَا صَبَرُوا ۖ وَدَمَّرْنَا مَا كَانَ يَصْنَعُ فِرْعَوْنُ وَقَوْمُهُ وَمَا كَانُوا يَعْرِشُونَ

"Na tukawarithisha watu waliokuwa wakidharauliwa, mashariki ya ardhi na magharibi yake, ambayo tumebariki ndani yake. Na neno zuri la Mola wako Mlezi likatimia juu ya Wana wa Israel, kwa vile walivyosubiri. Na tukaharibu kabisa waliokuwa wakiyatenda Firauni na watu wake na walizokuwa wakizijenga."
 
Hakuna wa kuwaondoa wapalestina pale Gaza Wala West Bank watawapiga mabomu wafie pale hakuna atakaenyanyua mguu
Wataondolewa maana ni wavamizi ,Quran na Allah anawatambua Israel ndio kwao hapo

Surat Al-Isra (17:104)

وَقُلْنَا مِنْ بَعْدِهِ لِبَنِي إِسْرَائِيلَ اسْكُنُوا الْأَرْضَ فَإِذَا جَاءَ وَعْدُ الْآخِرَةِ جِئْنَا بِكُمْ لَفِيفًا

"Na baada yake tukawaambia Wana wa Israel: Kaeni katika ardhi. Na utakapokuja ahadi ya Akhera tutakuleteni nyote pamoja (kutoka sehemu mbalimbali)."
 
Papa ndiye muanzilishi na Engineer wa dini ya Uislamu, dini ya Uislamu ni plan B ya Ukatoliki

Ukatoliki ndio walioanzisha uislamu wakimtumia Muhammad

Padre Waraq na bi Khadija aliyekuwa mkatoliki ndio waliompa utume Muhammad
Sasa iweje leo hii upinge waraka wake wa kuwabariki mashoga ikiwa kama waliutengeneza uislam?..mbn unaleta kiroja cha afya ya akili?...
Yanii tokea Mussa Haruna..Daud Sulaiman mpk Yesu lkn wapelistina hawajulikani kwao ni wapi ala wewe mgalatia huku ndo ujue pale sio kwao si ndio?
 
Sasa iweje leo hii upinge waraka wake wa kuwabariki mashoga ikiwa kama waliutengeneza uislam?..mbn unaleta kiroja cha afya ya akili?...
Yanii tokea Mussa Haruna..Daud Sulaiman mpk Yesu lkn wapelistina hawajulikani kwao ni wapi ala wewe mgalatia huku ndo ujue pale sio kwao si ndio?
Quran na Allah anawatambua Wa Israel ndio wamiliki ,wewe piga porojo tu🤣🤣

Surat Al-Isra (17:104)

وَقُلْنَا مِنْ بَعْدِهِ لِبَنِي إِسْرَائِيلَ اسْكُنُوا الْأَرْضَ فَإِذَا جَاءَ وَعْدُ الْآخِرَةِ جِئْنَا بِكُمْ لَفِيفًا

"Na baada yake tukawaambia Wana wa Israel: Kaeni katika ardhi. Na utakapokuja ahadi ya Akhera tutakuleteni nyote pamoja (kutoka sehemu mbalimbali)."
 
MSIKITI wa kwanza umejengwa mwaka 600s baada ya mudy kuleta uislamu,

Huyo Musa muislamu atakuwa wakuchonga

Nabii Musa anayejulikana ni myahudi wa KABILA la Lawi, ndugu zake Haruni na Miriamu

Waislamu acheni kutapeliwa
We akili kisoda,,, ina maana wewe na hao unaowasifia waisrael nani anamjua vizuri musa na historia yake?? Kwa taarifa yako tu hao waisrael wanakwenda kuzuru kabuli la musa huko msikitini japo hawarusiwi kuingia ndani na pia hufanya ibada zao pia kenge wewe..
 
Wataondolewa ,maana pale sio kwao

Surat Al-A'raf (7:137)

وَأَوْرَثْنَا الْقَوْمَ الَّذِينَ كَانُوا يُسْتَضْعَفُونَ مَشَارِقَ الْأَرْضِ وَمَغَارِبَهَا الَّتِي بَارَكْنَا فِيهَا ۖ وَتَمَّتْ كَلِمَةُ رَبِّكَ الْحُسْنَىٰ عَلَىٰ بَنِي إِسْرَائِيلَ بِمَا صَبَرُوا ۖ وَدَمَّرْنَا مَا كَانَ يَصْنَعُ فِرْعَوْنُ وَقَوْمُهُ وَمَا كَانُوا يَعْرِشُونَ

"Na tukawarithisha watu waliokuwa wakidharauliwa, mashariki ya ardhi na magharibi yake, ambayo tumebariki ndani yake. Na neno zuri la Mola wako Mlezi likatimia juu ya Wana wa Israel, kwa vile walivyosubiri. Na tukaharibu kabisa waliokuwa wakiyatenda Firauni na watu wake na walizokuwa wakizijenga."
Na wewe utabarikiwa na mashoga tu utake usitake..waraka ndo ushakua released wa Papa Francis keshasema Africa mtakubali tu kidogo kidogo mana'ke kifiro kipo pale pale wewe na kizazi chako
 
We akili kisoda,,, ina maana wewe na hao unaowasifia waisrael nani anamjua vizuri musa na historia yake?? Kwa taarifa yako tu hao waisrael wanakwenda kuzuru kabuli la musa huko msikitini japo hawarusiwi kuingia ndani na pia hufanya ibada zao pia kenge wewe..
Acha Porojo kijana

Waisraeli wa wapi hao labda kwa mtogole
 
Na wewe utabarikiwa na mashoga tu utake usitake..waraka ndo ushakua released wa Papa Francis keshasema Africa mtakubali tu kidogo kidogo mana'ke kifiro kipo pale pale wewe na kizazi chako
Mimi nakuchapa na Aya tu ,🤣🤣

Quran haiwatambui WAPALESTINA

Surat Al-Isra (17:104)

وَقُلْنَا مِنْ بَعْدِهِ لِبَنِي إِسْرَائِيلَ اسْكُنُوا الْأَرْضَ فَإِذَا جَاءَ وَعْدُ الْآخِرَةِ جِئْنَا بِكُمْ لَفِيفًا

"Na baada yake tukawaambia Wana wa Israel: Kaeni katika ardhi. Na utakapokuja ahadi ya Akhera tutakuleteni nyote pamoja (kutoka sehemu mbalimbali)."
 
Quran na Allah anawatambua Wa Israel ndio wamiliki ,wewe piga porojo tu🤣🤣

Surat Al-Isra (17:104)

وَقُلْنَا مِنْ بَعْدِهِ لِبَنِي إِسْرَائِيلَ اسْكُنُوا الْأَرْضَ فَإِذَا جَاءَ وَعْدُ الْآخِرَةِ جِئْنَا بِكُمْ لَفِيفًا

"Na baada yake tukawaambia Wana wa Israel: Kaeni katika ardhi. Na utakapokuja ahadi ya Akhera tutakuleteni nyote pamoja (kutoka sehemu mbalimbali)."
Sasa hueleweki tufuate Quran vipi wkt unaipinga na unasema imeletwa na waarabu...hasa hasa mtume Muhammad (S.A.W)....leo hii unasema tena ndo imeandikwa na Quran...
Eti dunia nzima wapelistina tuu ndo hawajulikani kwao ni wapi mgalatia ukapimwe akili...yanii hata mende ana makazi yake lkn tokea dunia iumbwe wapelistina tu ndo hawajulikani kwao ni wapi?
 
Sasa iweje leo hii upinge waraka wake wa kuwabariki mashoga ikiwa kama waliutengeneza uislam?..mbn unaleta kiroja cha afya ya akili?...
Yanii tokea Mussa Haruna..Daud Sulaiman mpk Yesu lkn wapelistina hawajulikani kwao ni wapi ala wewe mgalatia huku ndo ujue pale sio kwao si ndio?
Unataja manabii wa wayahudi hao hawahusiani na uislamu kijana
 
Mimi nakuchapa na Aya tu ,🤣🤣

Quran haiwatambui WAPALESTINA

Surat Al-Isra (17:104)

وَقُلْنَا مِنْ بَعْدِهِ لِبَنِي إِسْرَائِيلَ اسْكُنُوا الْأَرْضَ فَإِذَا جَاءَ وَعْدُ الْآخِرَةِ جِئْنَا بِكُمْ لَفِيفًا

"Na baada yake tukawaambia Wana wa Israel: Kaeni katika ardhi. Na utakapokuja ahadi ya Akhera tutakuleteni nyote pamoja (kutoka sehemu mbalimbali)."
Haya nichape na aya tuambie kwao ni wapi hao wapelistina
 
Hapo ndiyo kwao , sasa waende wapi na akili zako fupi?
 
Hapo ndiyo kwao , sasa waende wapi na akili zako fupi?
Mpk aseme kwao wapi Banyamulenge tu wana kwao iweje wapelistina wakose kwao...kwani sie tuna ukoo nao mpk tuwaongelee waseme tuu kwao ni chooni au bafuni tujue...
 
Quran haiwatambui WAPALESTINA kama una Aya leta sheikh acha porojo
Sasa wewe Quran unaikubali hapo tu lkn the rest huikubali?..hapo hapo unasema uislam plan B ya Papa lkn Papa kuwabariki mashoga unapinga?..si Papa si Quran si mitume ambayo inajua wapelistina kwao ni wapi?..ila wewe mgalatia huku ndo unajua ni wakimbizi
 
Raisi wa Jordan atakuwa na mkutano pamoja na trump wiki ijayo nahisi kuna makubaliano yatafanyika
 
Acha Porojo kijana

Waisraeli wa wapi hao labda kwa mtogole
Huna unachojua wewe na wakristo wenzie mpaka wa leo mnajua wayahudi wakristo kumbe wenzenu wanawaona mbwa tu.,, yani hata hili ulijui ya kuwa kabuli la nabii musa hujui kama lipo msikitini
 
Acha Porojo kijana

Waisraeli wa wapi hao labda kwa mtogole
images.jpg
 
Back
Top Bottom