Je, Misri na Jordan watawapokea Wapalestina?

Je, Misri na Jordan watawapokea Wapalestina?

Sasa hueleweki tufuate Quran vipi wkt unaipinga na unasema imeletwa na waarabu...hasa hasa mtume Muhammad (S.A.W)....leo hii unasema tena ndo imeandikwa na Quran...
Eti dunia nzima wapelistina tuu ndo hawajulikani kwao ni wapi mgalatia ukapimwe akili...yanii hata mende ana makazi yake lkn tokea dunia iumbwe wapelistina tu ndo hawajulikani kwao ni wapi?
Quran yako inawatambua kwao ni wapi
Acha kudanganywa ,kaburi la Musa halijulikani lilipo kwa mujibu wa maandiko ya Tanakh

Hao ni wahuni
 
Huna unachojua wewe na wakristo wenzie mpaka wa leo mnajua wayahudi wakristo kumbe wenzenu wanawaona mbwa tu.,, yani hata hili ulijui ya kuwa kabuli la nabii musa hujui kama lipo msikitini
ACHA KUTAPELIWA

Ndiyo, kaburi la Nabii Musa (Moses) halijulikani lilipo. Kulingana na Biblia (Kumbukumbu la Torati 34:5-6), Musa alikufa katika nchi ya Moabu, lakini Mungu mwenyewe alizika mwili wake, na hakuna mtu yeyote anayejua mahali halisi alipolazwa hadi leo.


Katika Uislamu, Qur'an haielezi moja kwa moja kuhusu kaburi la Musa, lakini inamtaja kama Nabii mkubwa aliyeongoza Waisraeli kutoka utumwani Misri. Baadhi ya mapokeo yanadai kuwa kaburi lake linaweza kuwa katika eneo la Palestina au Jordan, lakini hakuna uthibitisho wa kihistoria au wa kidini unaoeleza kwa uhakika.


Kwa hiyo, hadi sasa kaburi la Musa linabaki kuwa siri inayojulikana na Mungu pekee.
 
Mpk aseme kwao wapi Banyamulenge tu wana kwao iweje wapelistina wakose kwao...kwani sie tuna ukoo nao mpk tuwaongelee waseme tuu kwao ni chooni au bafuni tujue...
Kwao wa waarabu wenzao ,

Quran iliyokamilika mbona haitaji kwao ni wapi🤣🤣🤣
 
Papa ndiye muanzilishi na Engineer wa dini ya Uislamu

Ukatoliki ndio walioanzisha uislamu wakimtumia Muhammad

Padre Waraq na bi Khadija aliyekuwa mkatoliki ndio waliompa utume Muhammad
Lengo lilikuwa ni nn? Yaani waanzishe dini ya kuwapinga wao na kusababisha uwepo wa crusade wars. Hapo sijakuelewa kabisa.
 
Mbn wewe Papa Francis alivyosema muwabarikie mashoga ulipinga na mshipa wa shingo ukasimamisha...
Na maagizo kapewa na mungu kwa nini ulipinga?...
mimi si mkatoliki, sijawahi kuwa mkatoliki, the only time nimeingia kanisa katoliki ni kwenye misiba ya wakatoliki, pia mimi niso wa kina mwamposa. ila ni Mkristo. vile unavyomshangaa papa na mimi namshangaa hivyo hivyo. waislam huwa mnachanganya jambo moja, na wakristo pia tunafanya hilo kosa. kwetu sisi wakristo huwa hatujui kutofautisha mashiah na masuni, na ninyi pia huwa mnaamini wakristo wote au ukristo mzuri ni ukatoliki, kumbe sisi wengine sio wakatoliki, na ninyi sio wote mashia na sio wote masuni.
 
mimi si mkatoliki, sijawahi kuwa mkatoliki, the only time nimeingia kanisa katoliki ni kwenye misiba ya wakatoliki, pia mimi niso wa kina mwamposa. ila ni Mkristo. vile unavyomshangaa papa na mimi namshangaa hivyo hivyo. waislam huwa mnachanganya jambo moja, na wakristo pia tunafanya hilo kosa. kwetu sisi wakristo huwa hatujui kutofautisha mashiah na masuni, na ninyi pia huwa mnaamini wakristo wote au ukristo mzuri ni ukatoliki, kumbe sisi wengine sio wakatoliki, na ninyi sio wote mashia na sio wote masuni.
Sawa sawa kabisaa sikatiliani wewe lkn ujue mara nyng mgalatia yyt huwa kwnz namuuliza aina yake ya dhehebu...ili nijue tunaongelea masuala ya dini kwa engo gani...
Ndugu yangu wewe unaamini dhehebu lipi?..je Yesu mungu Yesu mwana wa mungu au Yesu ni Nabii
 
Trump anaota tu ndoto ya mchana. Kuwahamisha Wapalestina kutoka Gaza ni jambo lisilowezekana. Zaidi tu yeye na mpuuzi mwenzake Netanyahu, wataendelea kusababisha maafa kwa wanawake, wazee na watoto wa Kipalestina.
Ni rahisi kusema kuwa haiwezekana ukiwa mbali, lakini hapo Palestine, wengi, kama wangekuwa na uwezo, wangependa waondoke.

Wakati huu wa vita, wengi walitaka kuondoka, ndiyo maana dau la kuwahonga askari mpakani Misri ili upite lilipanda hadi kufikia dola elfi 5. Wenye pesa tu ndio walifanikiwa

Kukiwa na mpango wa kuwagharamia kuhama na kuanzishiwa maisha mapya ugenini, wengi watashukuru na kufurahia, na baada ya hiyo miaka 5, wengi hawatapenda hata kurudi tena.
 
Ni rahisi kusema kuwa haiwezekana ukiwa mbali, lakini hapo Palestine, wengi, kama wangekuwa na uwezo, wangependa waondoke.

Wakati huu wa vita, wengi walitaka kuondoka, ndiyo maana dau la kuwahonga askari mpakani Misri ili upite lilipanda hadi kufikia dola elfi 5. Wenye pesa tu ndio walifanikiwa

Kukiwa na mpango wa kuwagharamia kuhama na kuanzishiwa maisha mapya ugenini, wengi watashukuru na kufurahia, na baada ya hiyo miaka 5, wengi hawatapenda hata kurudi tena.
Vipi huko hakuna mashekhe wa kutuma majini au wapo Tanzania tu?
 
Kama ni wakimbizi si waseme tuu kwao ni wapi?..hivi mkimbizi ubomoe makazi yake..kisha akupishe kwa ahadi umjengee halafu arudi kweli mkimbizi ndo anavyobembelezwa ivo?...hebu wagalatia kuweni na akili kidogo sio mnaleta akili zenu za Papa Francis kaongea na mungu wabarikiwe LGBT..
Qurani wala haiwatambui hao wapalestina. Hiyo ni nchi ya waisrael na wafilisti. Naona unaongea sana kuhusu dini za watu. Soma utumbo wa waislamu
 
Lengo lilikuwa ni nn? Yaani waanzishe dini ya kuwapinga wao na kusababisha uwepo wa crusade wars. Hapo sijakuelewa kabisa.
Huwez kuelewa maana dini kazi yake ni kuwa manipulate watu wachini

Ni mada ndefu sana hii
 
Daily weeh mwnyw unaongea kiarabu...husemi Dar es salaam au unataka kubisha?
Lugha huathiriwa na huathiri. Lugha zote duniani kuna baadhi ya maneno yanaingilia kutokana na mwingiliano wa watu.
Waislamu mngekuwa na akili, mngesoma elimu ya madrasa tu (ndiyo elimu yenu) na kufuata kalenda yenu tuone mngefika wapi.
Ukitaka kujua uislamu unafananaje, ingia ndani kwako, ukiona bidhaa au kitu chochote ambacho hakijatengenezwa kwenye nchi za kiislamu. Kitupe
Hapo ndani kwako utabaki na
1. Tende
2. Quran
3. Mkojo wa ngamia
4. Kanzu
5. KIbaghrashia
6. Maji ya zamzam
Jaribu uone mvaa kobazi kama unaupenda uislmu
 
Lugha huathiriwa na huathiri. Lugha zote duniani kuna baadhi ya maneno yanaingilia kutokana na mwingiliano wa watu.
Waislamu mngekuwa na akili, mngesoma elimu ya madrasa tu (ndiyo elimu yenu) na kufuata kalenda yenu tuone mngefika wapi.
Ukitaka kujua uislamu unafananaje, ingia ndani kwako, ukiona bidhaa au kitu chochote ambacho hakijatengenezwa kwenye nchi za kiislamu. Kitupe
Hapo ndani kwako utabaki na
1. Tende
2. Quran
3. Mkojo wa ngamia
4. Kanzu
5. KIbaghrashia
6. Maji ya zamzam
Jaribu uone mvaa kobazi kama unaupenda uislmu
Husemi NASHUKURU au SALAMA wewe kila siku unataka kumuelimisha nani muingiliano wa lugha....
Haya mlivyobaki navyo nyny vzr vimewapusha nini au vimewazidisha nini..mwenyezimungu ni mjuzi hakubagua maradhi Ujuzi wala umaskini na utajiri na kifo vile vile na ridhiki...unanitajia vitu si chcht duniani...sasa nakwambia hivi nenda kasome vzr waraka wa Papa Francis ujue lini utaolewa tu
 
Wataondolewa ,maana pale sio kwao

Surat Al-A'raf (7:137)

وَأَوْرَثْنَا الْقَوْمَ الَّذِينَ كَانُوا يُسْتَضْعَفُونَ مَشَارِقَ الْأَرْضِ وَمَغَارِبَهَا الَّتِي بَارَكْنَا فِيهَا ۖ وَتَمَّتْ كَلِمَةُ رَبِّكَ الْحُسْنَىٰ عَلَىٰ بَنِي إِسْرَائِيلَ بِمَا صَبَرُوا ۖ وَدَمَّرْنَا مَا كَانَ يَصْنَعُ فِرْعَوْنُ وَقَوْمُهُ وَمَا كَانُوا يَعْرِشُونَ

"Na tukawarithisha watu waliokuwa wakidharauliwa, mashariki ya ardhi na magharibi yake, ambayo tumebariki ndani yake. Na neno zuri la Mola wako Mlezi likatimia juu ya Wana wa Israel, kwa vile walivyosubiri. Na tukaharibu kabisa waliokuwa wakiyatenda Firauni na watu wake na walizokuwa wakizijenga."
Sibishani hapa
 
Gaza inatakiwa kusafishwa, mahandaki na mabom na hatarishi zote, hawawezi kufanya hayo raia wakiwa palepale. wanatakiwa kuondoka ili pasafishwe afu warudi.
Mabaki ya mabomu ni hatari kuliko GBU banka baster au F35
 
Ni rahisi kusema kuwa haiwezekana ukiwa mbali, lakini hapo Palestine, wengi, kama wangekuwa na uwezo, wangependa waondoke.

Wakati huu wa vita, wengi walitaka kuondoka, ndiyo maana dau la kuwahonga askari mpakani Misri ili upite lilipanda hadi kufikia dola elfi 5. Wenye pesa tu ndio walifanikiwa

Kukiwa na mpango wa kuwagharamia kuhama na kuanzishiwa maisha mapya ugenini, wengi watashukuru na kufurahia, na baada ya hiyo miaka 5, wengi hawatapenda hata kurudi tena.
Unamiaka mingapi ndugu hujaona watu hadi wanabusu ardhi yao
 
Husemi NASHUKURU au SALAMA wewe kila siku unataka kumuelimisha nani muingiliano wa lugha....
Haya mlivyobaki navyo nyny vzr vimewapusha nini au vimewazidisha nini..mwenyezimungu ni mjuzi hakubagua maradhi Ujuzi wala umaskini na utajiri na kifo vile vile na ridhiki...unanitajia vitu si chcht duniani...sasa nakwambia hivi nenda kasome vzr waraka wa Papa Francis ujue lini utaolewa tu
Hii ndiyo shida ya watu ambao kiongozi wao hawajui kusoma wala kuandika na alioa mtoto wa miaka 9. Wewe umekariri kuna dhehebu la Roman Catholic tu?
Naona umevimbiwa mkojo wa ngamia
 
Kujua lugha ya kiarabu kidogo unaona waarabu ni ndugu zako?
Wapalestina pale Gaza ni wakimbizi. Inabidi waondokee ili Middle East pawe na amani.
Trump yupo sawa 100%
Wakimbizi toka wapi?
 
Gaza inatakiwa kusafishwa, mahandaki na mabom na hatarishi zote, hawawezi kufanya hayo raia wakiwa palepale. wanatakiwa kuondoka ili pasafishwe afu warudi.
Wenye wajibu wa kusafisha Gaza ni nani?
 
Back
Top Bottom