Wakuu Sote tunajua jinsi ya kununua umeme wa luku,
Swali hili liliwahi kujadiliwa sehemu sina hakika ni wapi, lakini je zile vocha unazo nunua na kwenda kuingiza kwenye LUKU inakuwaje?
Je LUKU zinawasiliana na server za TANESCO kujua kiasi cha units ulizo nunua kama unavyoingiza vocha ya simu?
kaka sababu unaulizwa namba ya mita kila ukinunua vocha za luku mi naweza kusema luku haiwasiliani na tanesco.
itakua kuna mashine inagenerate key kutokana na mita yako, halafu luku ndo inatambua.
tuchukulie mfano wa software unakuta kampuni inauZA software na wanagenerate key kutokana na email basi ukieka email na key zinazoendana unaheasabika kama umenunua software ile,
huu ni muono wangu
mawasiliano yanapita kwenye nyaya hizo hizo za umeme.
Niliambiwa Tanesco wana uwezo wa kuwasiliana kupitia nyaya zao za umeme na ni kwa kasi na usikivu uliotulia.
mawasiliano yanapita kwenye nyaya hizo hizo za umeme.
Niliambiwa Tanesco wana uwezo wa kuwasiliana kupitia nyaya zao za umeme na ni kwa kasi na usikivu uliotulia.
Mkuu upo sawa kiaina. Ila pia tanesco wanauwezo wa kukukatia umeme au mtaa flani wakiwa ofisini. Inakuaje apo.
kaka sababu unaulizwa namba ya mita kila ukinunua vocha za luku mi naweza kusema luku haiwasiliani na tanesco.
itakua kuna mashine inagenerate key kutokana na mita yako, halafu luku ndo inatambua.
tuchukulie mfano wa software unakuta kampuni inauZA software na wanagenerate key kutokana na email basi ukieka email na key zinazoendana unaheasabika kama umenunua software ile,
huu ni muono wangu
nipe mechanisim mkuu...
kaka sababu unaulizwa namba ya mita kila ukinunua vocha za luku mi naweza kusema luku haiwasiliani na tanesco.
itakua kuna mashine inagenerate key kutokana na mita yako, halafu luku ndo inatambua.
tuchukulie mfano wa software unakuta kampuni inauZA software na wanagenerate key kutokana na email basi ukieka email na key zinazoendana unaheasabika kama umenunua software ile,
huu ni muono wangu
Nadhani msingi wa swali upo hapo kwenye bold. Una maana kila kiasi cha units tunazonunua kina corresponding numeral arrangement?...
Kwa mfumo wa kielektroniki, mita hizi zimetengenezwa kubadili tarakimu unazoingiza kwenda katika mita na kuzalisha tarakimu umeme "electric unit", na hapo ndipo a reverse count inapoanza kwa kadiri utavyotumia umeme....
kaka sababu unaulizwa namba ya mita kila ukinunua vocha za luku mi naweza kusema luku haiwasiliani na tanesco.
itakua kuna mashine inagenerate key kutokana na mita yako, halafu luku ndo inatambua.
tuchukulie mfano wa software unakuta kampuni inauZA software na wanagenerate key kutokana na email basi ukieka email na key zinazoendana unaheasabika kama umenunua software ile,
huu ni muono wangu
hii sjawah kuiskia labda kuna mechanism nyengine
Kama haina mawasiliano na Tanesco, vipi kuhusu ukataji wa ile asilimia ya service charge na makato mengine ya kila mwezi, inatambuaje na kuyakata?