Hapa kuna utata sana. Tukisema Tanesco wana mawasiliano na Luku, inakuwaje uingizwaji wa token za Luku ya Tanesco huwa hauleti usumbufu. Maana kama wana network ina maana iko stable balaa...
Mkuu Byanagandi ameeleza vzr sana namna luku inavyofanya kazi.
hakuna mawasiliano yoyote na server!, mawasiliano yapo wakat wa kuirejister kwenye system.