Je, mita za LUKU zinawasilianaje na server za TANESCO?

Je, mita za LUKU zinawasilianaje na server za TANESCO?

Mita za Tanesco wadau zinamawasiliano na server za Tanesco kabisa. Isipokuwa zimewekewa mfumo wa kugenerate units kutokana na namba za vocha utakazonunua. Mf. kwenye mita za sasa za Luku kuna Camera maalum ambazo zinadetect mtu anayeichezea mita na kupiga picha then kutuma kwenye server ya Tanesco ambapo wao watajua eneo ilipomita hiyo na kuja haraka. Afisa Uhusiano wa Tanesco Badra Masud alilisema pia hili huko nyuma na niukweli. Uncle wng ni Afisa wa Tanesco.

acha uongo hakuna cha camera wala bibi yake na camera na siku wakidanya hivyo tanesco watakuwa matajili sana..
 
mawasiliano yanapita kwenye nyaya hizo hizo za umeme.

Niliambiwa Tanesco wana uwezo wa kuwasiliana kupitia nyaya zao za umeme na ni kwa kasi na usikivu uliotulia.

Mawasiliano ya kutumia waya za grid yapo,wao wanaziita simu za carrieraa
 
mi binafsi nimeangalia kipindi maalum cha tanesco wakionyesha jinsi wanavyoweza kuaccess taarifa zako za matumizi ya umeme na hata kukukatia umeme wakiwa ofisini, ukiwa unachakachua wanafahamu, mechanism sifahamu, ila luku zinamifumo ya data, huamini uliza tanesco

kuna njia nyingi za kuchakachua,inategemea unatumia njia gani,kuna ya kiwaya,sumaku kwa meter za zamani na nyingine,mimi ninaye mtu namfahamu toka mwaka jana hadi leo luku yake inaunit 3 haipungui wala haizidi
 
Kweli jf member ni great thinker nimejifunza mengi sana.
 
So zile code unazopewa baada ya kununua units zinaenda kutafsiriwa na luku ni units ngapi, na si kwamba unapo ziingiza zile code zinatumwa Tanesco kuwa verfied
Kwamaana hiyo LUKU haiwasiliani na server za Tanesco

kipindi code zinakuwa.verified na luku,wapi inafanywa comparison ya hzo kodi??au unataka kusema luku zinakuwa na memory ambayo inakodi zote za tanesco?
 
Nadhani msingi wa swali upo hapo kwenye bold. Una maana kila kiasi cha units tunazonunua kina corresponding numeral arrangement?

sasa kama maelezo ndyo hayo,kutokana na mawazo yangu..wanataka kutuaminisha kwamba luku zinakuwa na memory{sijui GB ngapi} ambayo inakuwa na kodi namba zote za tanesco.Yaani inafanya konfirmation of code ili igenerate umeme,!na kitu hiko kwangu hakiingia akili hata kidogo
 
Kwanza mita za luku zinatofutina, zipo zilizoungwa na server i.e kwa wateja wakubwa na luku zilizo makumbani.Nafikiri wakati mita za luku zinasajiliwa na tanesco huwa zina unique key generator ambazo meter hiyo tu ndio itaweza kudekripti token ulizonunua. Hii inafanya token kuwa sahihi kwenye meter hiyo tu na si mita nyingine. Bila kumanisha zimeungwa na server. Ingalikua tofauti basi ungalinunua umeme kama ka vocha za voda.
 
Wadau,mita za luku haziwasiliani na server. Mita za AmR ndo pekee zina chip ya mawasiliano na mita hyo authorized staf anaweza kukata na kuunga umeme remotely. mita hz kwa saśa zipo Tanesco na zimewashika watu kibao! mita ukifungua hata mlango inaalarm kwenye pc center huko!,Mita za kisasa zaidi,na zipo za 3phase tu tanesco.

Mkuu INSULIN, ni kweli kwamba mita za AMR (Automatic Meter Reader) zina chip kwa ajili ya mawasiliano.
Ninajiuliza, je inakuwaje kwa yule mtu aliye tamper mita, inawezekana akaonyeshwa LUKU meter purchase history kutoka kwa maafisa wa TANESCO kwa kutumia server; hii ni kuthibisha kuwa mita ilichezewa. Inawezekanaje kufahamu matumizi ya mteja ikiwa mita ya LUKU haina connection na server?
 
Last edited by a moderator:
wote mna bashiri na kubisha tu , MJIMPYA ..ANAVYOSEMA NI kweli kabisa unaponunua umeme kwa njia ya luku unauziwa umeme(token maalumu kwa ajili ya mita no husika)na ndio maana ni rahisi kwa tanesko kukata deni lao mita yako....zile token haziwezi kutumiwa na mita namba nyingine yoyote na mawasiliano kati ya mita na tanesco hawatumii netiwork nyingine yoyote zaidi ya nyaya zao....pia mawasiliano ya transforma shot..au tatizo lolote la kiufundi..hufanya mawasiliano au kujua tatizo lipo wapi kwa kupitia nyaya zao..ukibisha bado utauwa unabisha pasipo kukjua
 
wote mna bashiri na
kubisha tu , MJIMPYA ..ANAVYOSEMA NI kweli kabisa unaponunua umeme kwa
njia ya luku unauziwa umeme(token maalumu kwa ajili ya mita no husika)na
ndio maana ni rahisi kwa tanesko kukata deni lao mita yako....zile
token haziwezi kutumiwa na mita namba nyingine yoyote na mawasiliano
kati ya mita na tanesco hawatumii netiwork nyingine yoyote zaidi ya
nyaya zao....pia mawasiliano ya transforma shot..au tatizo lolote la
kiufundi..hufanya mawasiliano au kujua tatizo lipo wapi kwa kupitia
nyaya zao
..ukibisha bado utauwa unabisha pasipo kukjua

hapo ktk red, nakupa pole sana.
 
Weka picha.

1381846099078.jpg
 
Hujanielewa mahali fulani. Kwa mfano ninanunua umeme wa unit 40 tarehe 3/10/2013. Sasa kwa nini wananiuzia kwa tariff ya watumiaji wadogo wakati hawajui labda baada ya siku nne nitakuwa nimeumaliza na hivyo kukosa sifa za mtumiaji mdogo huku nikiwa tayari nimeununua kwa tariff ya watumiaji wadogo? Msingi wa swali langu ni kwamba huo wastani wanaukokotoa baada ya matumizi au kabla ya matumizi? Kama ni baada ya matumizi, ilikuwaje waniuzie kwa bei ya tariff ya watumiaji wadogo? Kama ni kabla, watajuaje kama nataka nizitumie hizo units kwa siku chache au nyingi?
Kama line zako ni 3 phase moja kwa moja wewe ni mtumiaji mkubwa lakini km single phase ujue upo kundi la pili.
 
Mie nadhani kila transaction inayofanyika ya kununua umeme unahusiana na Tanesco kwa namna moja au nyingine iwe ni wakala au kwa kutumia mobile phones maana verification ya kuwa mita no ni sahihi lazima ifanyike wakati unanunua na wakati una-recharge. Na kama walivyosema Sirs huku juu ni kweli kwa Tanesco wire data zinapita through na umeme na hii sio ngeni kwani kuna baadhi ya nyumba nishaingia nikakuta socket za ukutani zinakuwa controlled na pc wireless kwamba unaweza kuzima socket ya fridge ukiwa chumbani au ukizima umeme socket zote kwa kutumia pc na gadget moja inayochomekwa kwenye umeme.
 
Kwahiyo hitimisho ni Mita za LUKU hazina mawasiliano ya moja kwa moja na mitambo ya tanesco kwenye swala la kuverfy vocha
 
Kama ulivyoelezea kaka mkubwa ni kweli kuwa mita za LUKU huwa hazina mawasiliano na ofisi au mtambo wowote toka TANESCO.

Utaratibu wa mita hizi huwa unaitwa "Pay As You Go" ambapo sisi tumetohoa na kuita "Lipa Umeme Kadiri Unavyotumia"...ni utaratibu ambao ni "Pre Paid" na sio "Post Paid" kama zile mita za zamani.

Utaratibu huu hutumia Smartcard au Token Key.

Unapoenda kununua umeme kwenye kituo cha mauzo, kawaida huwa unapaswa utaje nambari ya mita halafu unalipia na baadaye unapewa stakabadhi yenye tarakimu kadhaa utazohitajika kuingiza kwenye mita.

Kwa mfumo wa kielektroniki, mita hizi zimetengenezwa kubadili tarakimu unazoingiza kwenda katika mita na kuzalisha tarakimu umeme "electric unit", na hapo ndipo a reverse count inapoanza kwa kadiri utavyotumia umeme.

NB:
Umuhimu wa nambari ya mita ni kwa vile hatuna kitu kama smartcard (wale wanaonunua gas huko ughaibuni wanazijua hizi au wanaopanda zile BRT's) ambapo ingetumika kwenye topping up, ndio maana tunaitaja kwa wauzaji ili ku-bind umeme tunao nunua na mita zetu.

Unaandika kwa makini utadhani unasema ukweli !
Acha kudanganya na kupotosha watu.
Mita zinawasiliana na server za tanesco km ilivyo kwa mpesa, simbanking, paypoints nk.
Mawasiliano ni kupitia hizohizo nyaya za umeme.
Ndio maana wale wateja wapya huwa wanaenda tanesco ku activate mita zao kupitia computer.
 
Back
Top Bottom