Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,741
Mita za Tanesco wadau zinamawasiliano na server za Tanesco kabisa. Isipokuwa zimewekewa mfumo wa kugenerate units kutokana na namba za vocha utakazonunua. Mf. kwenye mita za sasa za Luku kuna Camera maalum ambazo zinadetect mtu anayeichezea mita na kupiga picha then kutuma kwenye server ya Tanesco ambapo wao watajua eneo ilipomita hiyo na kuja haraka. Afisa Uhusiano wa Tanesco Badra Masud alilisema pia hili huko nyuma na niukweli. Uncle wng ni Afisa wa Tanesco.
acha uongo hakuna cha camera wala bibi yake na camera na siku wakidanya hivyo tanesco watakuwa matajili sana..
