Je, mita za LUKU zinawasilianaje na server za TANESCO?

Je, mita za LUKU zinawasilianaje na server za TANESCO?

Na pia ukienda tanesco utakuta data zako zote jinsi unavyoweka na kutumia umeme.

Hivyo mita zina mawasiliano na server kupitia nyaya hizohizo za umeme.
 
Kwahiyo hitimisho ni Mita za LUKU hazina mawasiliano ya moja kwa moja na mitambo ya tanesco kwenye swala la kuverfy vocha


Mkuu Tanesco wanauwezo wa kukata umeme wakiwa ofisini, vilevile wana hizi mita mpya ambazo unaweza kununua umeme kwenye simu na units zikaongezeka bila ya wewe kwenda na vocha.
 
Unaandika kwa makini utadhani unasema ukweli !
Acha kudanganya na kupotosha watu.
Mita zinawasiliana na server za tanesco km ilivyo kwa mpesa, simbanking, paypoints nk.
Mawasiliano ni kupitia hizohizo nyaya za umeme.
Ndio maana wale wateja wapya huwa wanaenda tanesco ku activate mita zao kupitia computer.

kweli kabisa
 
Unaandika kwa makini utadhani unasema ukweli !
Acha kudanganya na kupotosha watu.
Mita zinawasiliana na server za tanesco km ilivyo kwa mpesa, simbanking, paypoints nk.
Mawasiliano ni kupitia hizohizo nyaya za umeme.
Ndio maana wale wateja wapya huwa wanaenda tanesco ku activate mita zao kupitia computer.

Wewe ndio bure kabisa. Mita zinawasiliana kupitia nyaya za Tanesco.?
 
Mkuu Tanesco wanauwezo wa kukata umeme wakiwa ofisini, vilevile wana hizi mita mpya ambazo unaweza kununua umeme kwenye simu na units zikaongezeka bila ya wewe kwenda na vocha.

Hawana uwezo wa Kukata umeme wakiwa ofisini kwa mteja mmojammoja. Wana uwezo wa kukata umeme mwisho kwenye transformer, lakini katika supply ya umeme mtaani bado hawana uwezo huo
 
Mkuu Tanesco wanauwezo wa kukata umeme wakiwa ofisini, vilevile wana hizi mita mpya ambazo unaweza kununua umeme kwenye simu na units zikaongezeka bila ya wewe kwenda na vocha.

Mkuu hebu nijuze vizuri hilo la kununua umeme kwenye simu.
 
Unaandika kwa makini utadhani unasema ukweli !
Acha kudanganya na kupotosha watu.
Mita zinawasiliana na server za tanesco km ilivyo kwa mpesa, simbanking, paypoints nk.
Mawasiliano ni kupitia hizohizo nyaya za umeme.
Ndio maana wale wateja wapya huwa wanaenda tanesco ku activate mita zao kupitia computer.

Mkuu mi lidhani unaenda ku activate ili mashine za kuuzia luku ziongeze data base ya acc yako ya luku?

Yaani kama luku haijanunuliwa mashine zinakua hazina kikokotozi cha luku ambayo haijauzwa
So unaponunua luku inabidi mashine za kuuza luku ziwe activated ili ziweze kukokotoa units za mita yako
 
kaka sababu unaulizwa namba ya mita kila ukinunua vocha za luku mi naweza kusema luku haiwasiliani na tanesco.

itakua kuna mashine inagenerate key kutokana na mita yako, halafu luku ndo inatambua.

tuchukulie mfano wa software unakuta kampuni inauZA software na wanagenerate key kutokana na email basi ukieka email na key zinazoendana unaheasabika kama umenunua software ile,

huu ni muono wangu


that's right mkuu ila kwa kuongezea ni kwamba hapa masuala ya programming and digital electronics yamehusika kwa sana hizo mita zinakua na microcontroller chips ambazo zimekua pre-programmed kung'amua na ku run input transactions kwa usahihi kulingana na mahitaji yaliyokusudiwa ziko intelligent kiasi cha kufanya input validations kwa mfano token imeshatumika lazima itagoma au token ina units ngapi na pia programming commands na functions zinazozuia power supply ktk nyumba endapo salio la units limeisha au kuruhusu power supply kama salio limewekwa yote haya yanafanyika automatically bila kuhitaji external control as long as umeme upo ila nchi zilizoendelea wanatumia mita zilizokua connected na servers za makampuni ya umeme.
 
HATA MIMI NAJIULIZAGA SANA KWANZA, NAMBA YAKO YA LUKU INAOPERATE KTK MITA YAKO TU,MEAN UKINUNUA HUWEZI FEED MITA YYT,TOFAUTI NA VOCHA ZA SIMU KABISA,WANA UWEZO WAKUKUKATIA UMEME WAKIWA MAOFISINI LAZIMA ZITAKUWA NA MATIRIO KAMA <EDF>THAT MEAN ILE METER INA CHIP AMBAYO INA WORK KAMA CELL MOBILE WITH SPECIFIC No.

tanesco hawana uwezo wa kuzima umeme nyumba individually wakiwa ofisini ila wanaweza kuzima line moja yenye nyumba kadhaa wakiwa ofisini au substation sababu kila line ina switch switch yake,hakuna mawasiliano direct kati ya mita yako na tanesco nchi zilizoendea ndo wana system hizo mita ku communicate directly na server za kampuni husika ya umeme.
 
Kama haina mawasiliano na Tanesco, vipi kuhusu ukataji wa ile asilimia ya service charge na makato mengine ya kila mwezi, inatambuaje na kuyakata?

kila mita na detail zake zote muhimu iko registered ktk unique profile katika database na kila transaction inayofanyika ktk mita husika inakua recorded so monitoring na masuala kama service charge yanafanyika automatically ktk program maalum (information system) kupitia transactions unazofanya.Kwa kuhitimisha tanesco wanapata information ya transactions zako kupitia agency unayotumia kununua umeme either mpesa,tigopesa etc.
 
Nashukuru kwa ufafanuzi, sijuhi kama hapa Tanzania full duplex trasmission inatumika kwenye media za waya za Tanesco i.e kwa wateja, ingekuwa hivyo basi wateja wasingekuwa na sababu ya kwenda kununua vocha/kadi, mita zao zingekuwa set remotely baada ya malipo - sasa zoezi la wateje kwenda kwa wakala kununua umeme ina maana teknolojia hiyo haja hota mizizi hapa Tanzania, teknolojia hiyo niliona kwa wenzetu wanao tumia HT wires kupitishia mawasiliano ya Video na internet nk. Tukija kwenye METER za LUKU kinacho fanyika pale ni count down inapofikia zero basi umeme unakatika kwa hiyo saula la ku-reset alipo unless sijui maana ya ku-reset - samahani lakini. Najua kuna meters za Wateja wakumbwa sinasomwa na Tanesco remotely - nina hakika pale wanatumia aidha GSM au Wi-Fi sio waya za Tanesco.

full duplex kwa bongo ikiletwa itagharimu nyaya na mita mpya zinazosupport full duplex transmission.
 
Nyaya za umeme wa tanesco zina uwezo wa kusafirisha mawimbi ya umeme na data. Vipo vifaa maalumu vya ki electronic vimefungwa katika vituo vya tanesco kwa ajili ya ku separate umeme na data ndio maana tanesco sehemu nyingine hutumia nyaya zao kama nyaya za simu na hutumia kupiga simu zao za ndani badala ya TTCL.

Kitambo kidogo home tulikua na simu unachomeka kwenye umeme then mnawasiliana ndan ya nyumba. Ni kichwa tu na uwepo wa umeme unawafanya muwasiliane.
Note: kama ndan ya nyumba kwa maana ya eneo moja mnaweza kuwasiliana kwa kutumia umeme itashindikana mawasiliano kutoka nje ya eneo hilo?
 
mawasiliano yanapita kwenye nyaya hizo hizo za umeme.

Niliambiwa Tanesco wana uwezo wa kuwasiliana kupitia nyaya zao za umeme na ni kwa kasi na usikivu uliotulia.


We usidanganye watu. Mawasiliano ya mita za umeme na server s=za kampuni ya umeme (PLC - power line carrier ) hayawezekani bongo kwa kuangalia tu ubora wa nyaya za kusambaza umeme. kwanza umeme wenyewe mwingi unapotea kutokanana na ubovu wa mfumo wa usambazasi sembuse mawasiliano ya PLC. Pia nchi nyingine hutumia wireless technology kama 3G na zingine maalum kwaajili ya miter za umeme ambazo zote ni gharara sana kwa ka kampuni kama Tanesco. Kwa kifupi hakuna mawasiliano yoyote kati yamita za luku na server za Tanesco
 
Kila mtu anasema lake! Mengine yanaonekana ya kweli mengine mmh! Hata yanayoonekana ya kweli anakuja mjuzi zaidi anasema siyo ya kweli anamwaga ujuzi wake.

KWANINI ASIJITOKEZE MTAALAMU KABISA NA AJITAMBULISHE ILI TUJUE UKWELI NI UPI??

Wataalamu wa TANESCO hampo humu???
 
nmejulishwa kidog kwenye hz meter za viwandani hzi zifugwazo kwenye nguzo huwa kuna wakat husimama huwa wanapewa kama offer so hyo access inatoka wap au zko auto
 
Nyaya za umeme wa tanesco zina uwezo wa kusafirisha mawimbi ya umeme na data. Vipo vifaa maalumu vya ki electronic vimefungwa katika vituo vya tanesco kwa ajili ya ku separate umeme na data ndio maana tanesco sehemu nyingine hutumia nyaya zao kama nyaya za simu na hutumia kupiga simu zao za ndani badala ya TTCL.

yaan umetumia maneno mengi kuongea uongo usio na kichwa wala miguu.... zile ni waya za umeme tu hamna waya za data kwenye line za tanesco.... simple physics ya o level kaka!!!
 
Back
Top Bottom