Nashukuru kwa ufafanuzi, sijuhi kama hapa Tanzania full duplex trasmission inatumika kwenye media za waya za Tanesco i.e kwa wateja, ingekuwa hivyo basi wateja wasingekuwa na sababu ya kwenda kununua vocha/kadi, mita zao zingekuwa set remotely baada ya malipo - sasa zoezi la wateje kwenda kwa wakala kununua umeme ina maana teknolojia hiyo haja hota mizizi hapa Tanzania, teknolojia hiyo niliona kwa wenzetu wanao tumia HT wires kupitishia mawasiliano ya Video na internet nk. Tukija kwenye METER za LUKU kinacho fanyika pale ni count down inapofikia zero basi umeme unakatika kwa hiyo saula la ku-reset alipo unless sijui maana ya ku-reset - samahani lakini. Najua kuna meters za Wateja wakumbwa sinasomwa na Tanesco remotely - nina hakika pale wanatumia aidha GSM au Wi-Fi sio waya za Tanesco.