Je, mita za LUKU zinawasilianaje na server za TANESCO?

Je, mita za LUKU zinawasilianaje na server za TANESCO?

nmejulishwa kidog kwenye hz meter za viwandani hzi zifugwazo kwenye nguzo huwa kuna wakat husimama huwa wanapewa kama offer so hyo access inatoka wap au zko auto

mita za viwandan ile ni aina nyingine ya mita sio kama izi luku unazofungiwa wewe nyumban, zilwe ni smart meter kuna kampun maalum inazifunga zile ndio wana supply!!!! hao walio supply walikua wanawafungia watu wa minara ya simu kujua matumiz yao exactly vs running hours..... tanesco wakawa impressed ndio wakaanza kufunga kwa wateja wao wakubwa
 
mita za viwandan ile ni aina nyingine ya mita sio kama izi luku unazofungiwa wewe nyumban, zilwe ni smart meter kuna kampun maalum inazifunga zile ndio wana supply!!!! hao walio supply walikua wanawafungia watu wa minara ya simu kujua matumiz yao exactly vs running hours..... tanesco wakawa impressed ndio wakaanza kufunga kwa wateja wao wakubwa

nashukuru mkuu
 
Kuhusu utengenezaji wa hizo token, kuna algorithm inahusika.

Unapolipia luku, wakala au seller anatuma request kwa server za Tanesco akiambatanisha namba ya meter ambayo ni unique identifier na kiasi kilicholipiwa.

Server za Tanesco zitaprocess request hii inavyotakiwa, na the most significant output inakuwa units ulizonunua.

Then the algorithm kicks in. It receives the meter number and the units purchased and encrypts this data as the 20 digit token.

This token and other data is sent back to the vendor and either printed or forwarded to you as a text message.

Unapoingiza ile token kwenye meter, nayo ina the exact decryption algorithm ambayo inapokea the 20 digits na kudeduce the units and meter number, maybe and some other security checks. Kama security check passes....units zinaongezwa. Kumbuka meter ina microcontroller for all this.


Kwa kuongezea, lazima kuna some more parameters required and generated by the algorithm. La sivyo ingekua kila ukinunua umeme wa kiasi fulani you get the very sane token.

Inaweza kuwa a random value lakini lazima iwe included in the token ili iweze kuwa decrypted na meter. This random value might be like a key required to decrypt the token, na unaweza kuta a part of the token itself is this value.

Sidhani kama ni timestamp...timestamps are too long kwahiyo there wont be enough space left for the data itself, and they dont make sense kwa sababu the meter would also need a clock that would work even when hamna umeme. Like a CMOS kind of battery.

Ukiipata hii algorithm unaweza tengeneza luku ya meter yoyote na units zozote. You feed it the data it generates a valid token. Kwahiyo it should be a well guarded secret...

This is my take.
 
Kuhusu utengenezaji wa hizo token, kuna algorithm inahusika.

Unapolipia luku, wakala au seller anatuma request kwa server za Tanesco akiambatanisha namba ya meter ambayo ni unique identifier na kiasi kilicholipiwa.

Server za Tanesco zitaprocess request hii inavyotakiwa, na the most significant output inakuwa units ulizonunua.

Then the algorithm kicks in. It receives the meter number and the units purchased and encrypts this data as the 20 digit token.

This token and other data is sent back to the vendor and either printed or forwarded to you as a text message.

Unapoingiza ile token kwenye meter, nayo ina the exact decryption algorithm ambayo inapokea the 20 digits na kudeduce the units and meter number, maybe and some other security checks. Kama security check passes....units zinaongezwa. Kumbuka meter ina microcontroller for all this.


Kwa kuongezea, lazima kuna some more parameters required and generated by the algorithm. La sivyo ingekua kila ukinunua umeme wa kiasi fulani you get the very sane token.

Inaweza kuwa a random value lakini lazima iwe included in the token ili iweze kuwa decrypted na meter. This random value might be like a key required to decrypt the token, na unaweza kuta a part of the token itself is this value.

Sidhani kama ni timestamp...timestamps are too long kwahiyo there wont be enough space left for the data itself, and they dont make sense kwa sababu the meter would also need a clock that would work even when hamna umeme. Like a CMOS kind of battery.

Ukiipata hii algorithm unaweza tengeneza luku ya meter yoyote na units zozote. You feed it the data it generates a valid token. Kwahiyo it should be a well guarded secret...

This is my take.

mkuu unajua vitu..!!
 
yaan umetumia maneno mengi kuongea uongo usio na kichwa wala miguu.... zile ni waya za umeme tu hamna waya za data kwenye line za tanesco.... simple physics ya o level kaka!!!

Wewe ndiye mjinga zaidi mkuu.

Hizi meter za luku manufactures waliona itakuwa tabu tena kuzitengenezea communication system ya peke yake itakayojitegemea, kama vile Wireless n.k

Hapo ndipo wakaona communication ya meter na server zao Tanesco iwe kupitia zile Nyaya za umeme, na ndizo zinazotumiwa kutuma request zote ikiwemo ku decrypt token.

Hii transimition inaitwa PLC "power line communication" au PLT "power line telecomunication" au PLT "power line networking" ambapo data zinakuwa injected kutoka kwenye hizo hizo nyaya za umeme, ambazo ndio huwa kama main communication chanel ya hizo mita na server za tanesco.

Data zinakuwa injected kupitia ki device kidogo tu ambacho ndicho kinafanya access control nzima yakuchukua data ambazo zimekuwa calculated kwenye mita nakuwapa Tanesco nao wafanye calculation zao, na wao tena kutuma data kwenye mita, au ata massage kwamba unit zako zinakaribia kwisha, lakini hii ni kwa baadhi ya digital meter.

Kifaa hicho kinaitwa PLM "powerline Modem" angalia hiki hapa.

PLM1-Pin-Assignment-with-Logo.gif


hiyo ni structure yake na huu ndio muonekano wake mzima.

PLM-1-Ariane-NEC.jpg


Hiyo ndo receiver na transemeter mliyokuwa mnahitaji kuijua hapa.

Addition
- Meter zinaonekana kuwa nyingi na tofauti tofauti, lakini ni sawa tu na kuwa na simu tofauti lakini zinatumia android.

Meter zote Tz zinatumia mfumo wa STS yaani standard Transfer system ambapo meter zote zinakuwa designed kwakutumia cryptography na cryptography keys za aina moja ili kufanya decryption ya zile Token unazopewa.

Maalezo kuhusu Token, soma alichoelezea ISO M.CodD , ukichanganya na nilichoelezea hapa, usipoelewa litakua ni tatizo lako binafsi.

Wafanyakazi wengi watanesco nao hawaelewi kinachofanyika.

snipa
 
Last edited by a moderator:
We usidanganye watu. Mawasiliano ya mita za umeme na server s=za kampuni ya umeme (PLC - power line carrier ) hayawezekani bongo kwa kuangalia tu ubora wa nyaya za kusambaza umeme.

Usipende tu kujudge vitu kwakuangalia.

Kwa kifupi hakuna mawasiliano yoyote kati yamita za luku na server za Tanesco
 
Wakuu Sote tunajua jinsi ya kununua umeme wa luku,

Swali hili liliwahi kujadiliwa sehemu sina hakika ni wapi, lakini je zile vocha unazo nunua na kwenda kuingiza kwenye LUKU inakuwaje?

Je! LUKU zinawasiliana na server za TANESCO kujua kiasi cha units ulizo nunua kama unavyoingiza vocha ya simu?

Ningependa nijikite kwenye generation ya hizo namba
Recharge vocha: 2961 1891 7943 1460 57604
Luku number: 9056 8055 123


Tukiamua vocha zetu ziwe zina combine meter number na data za malipo, then data za malipo zinachukua the rest : 9 digits


Kwa lugha rahisi mteja mmoja ana possibility ya kupata unique token zisizozidi 10 power 9 = 1,000,000,000 numbers


Mfano vocha zetu zitakuwa kama ifuatavyo:
1. Luku number + 000 000 001
2. Luku number + 000 000 002
3. Hadi mwisho


Arrangement ya hizo digits inategemea uamuzi wa kampuni husika

Alama ya kujumlisha inaweza kuwa replaced na logic operator yeyote kulingana na mahitaji ya kampuni husika.


Swala la ku recharge
Kwa mfumo wetu hapo juu Luku number inaweza kutumika kama SALT ambayo itakuwa stored katika meter a.k.a LUKU, then unapo submit vocha yako, LUKU inacheki kama SALT VALUE ipo katika hiyo vocha, otherwise ina reject.

Nimetumia lugha nyepesi na si kwamba ndiyo wanayotumia TANESCO.


Vifaa wanavyotumia tanesco baadhi vimetoka uchina, ukipita kwenye makampuni hayo utaona details za kiufundi za vifaa hivyo.
 
kweli jf kisima cha maarifa,vijana wenzangu mnapoteza muda facebook njoon darasani a.k.,a jf
 
sasa nani mkweli humu kila mtu ana kuja na ushahidi mzuri wa swaga

Hili swali jibu sahihi wanalo Technical Team ya TANESCO na wadau walioshirikishwa.

Maoni mengi yamezingatia experience na possible solutions zinazoweza kutumiwa.

Software + Hardware + Company Business Logic + Technologies nyinginezo = JAWABU

Majibu mazuri yatapatikana kwa kuchambua scenario mbalimbali zinazohusika katika COMMUNICATION LOGIC kati ya entities zote zinazotumika na TANESCO katika malipo hayo.
 
Kuondoa utata tu:

Mita za mteja wa kawaida hazina mahusiano yoyote na Servers za Tanesco , ndio maana haijawaitokea mtandao kuzingua unapoweka token.

Ila unaponunua token kwa njia ya selcom au simu, apa ndipo unawasiliana na izo seva kwa njia ya GPRS (mara nyingi mtandao unakua unazingua kinyama apa )

Wanajuaje unatumia umeme mwingi?
Simple wana monitor interval yako ya KUNUNUA umeme, kuna baadhi ya watu uswazi wananunua unit 75 alafu wanatumia, zikiisha njiani wanakaa giza mpaka siku 30 zifike ndipo wananunua tena !

mita tunazotumia ni wasion, inhemeter na clou, ukiingia katika website zao unakuta izi mita zina PLC module na RF module protocol pekee (hazina gprs modem) kama njia ya kuingiza token.

Kuna wadau wamesema mita zinawasiliana na Seva za tanesco kwa njia ya PLC, la hasha, PLC ina coverage ya 150m tu na ni kukusaidia uingize token zako ata kwa nyumba ya jirani maana usizidi mita 150.

Hakuna mawasiliano kati ya mita na seva zao, jinsi gani token inatafsiriwa, ISO M.cod kaelezea kwa kina apo juu.

Baadhi ya wadau wasema mita izi za kawaida(aina ya Clou) hua zina 'network signal bar' indicator, hapana, ile sio ya mnara wa simu, bali ni umeme wako uliobaki, ndio maana umeme ukiwa mdogo zile bar zinashuka, ukijaza umeme ile bar inapanda.

(Info hii ya chini alinipa mwenyewe Senior Manager: Distribution-SMD wa Tanesco)

Kuna mita zinaitwa AMR (automated meter reading) hizi mita si za kawaida, zinakua na shape ya rectangle na kama kioo ivi kwenye cover ili uone kwa ndani hufungwa juu katika nguzo ( mara nyingi hufungwa karib na wateja wa matumizi makubwa mf: mashine za kusaga ) AU hufungwa katika baadhi ya transfoma kubwa ( 315kVA ) wadau wengi mtanotisi hii, box la rectangle jeupe pembeni karib na transfoma.

Hii mita ndio ina GPRS module hupeleka reading za umeme (automated) kwenye seva uko na zinatumia line za Vodacom.



Nawasilisha
Tuwiane radhi kwa makosa ya kiuandishi
 
Mkuu Tanesco wanauwezo wa kukata umeme wakiwa ofisini, vilevile wana hizi mita mpya ambazo unaweza kununua umeme kwenye simu na units zikaongezeka bila ya wewe kwenda na vocha.
Card mpya ya Tanesco ukipewa ili u I activate uanze kuweka umeme wa Tanesco kununua Luku unafanyaje? Ukiwa mteja mpya
 
Mada nzuri sana, sema naona majibu yote yamekwisha tolewa. Nikiona mada kama hizi ndio nafurahi maana vijana wengi wanajifunza na hizi mada zimekuwa chach sana sikuizi, vijana hawataki jifunza vitu kabisa sikuizi.
 
Back
Top Bottom