Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Ebanaee kwanini?
Mimi tafsiri yangu ya mwanamke aliyenyoa ni:-
1. Hana mchumba
2. Kakata tamaa ya usichana labda hapendwi.
NB: watoe wamama na wasabato kwa mbaali tuwape exception
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebanaee kwanini?
Sure hao D wengi mafeminist yani kila kitu wanajua sio uchumi, siasa yan keroKanyoa kiduku juu kaweka bleach, Bro! vaa condom
Ila hao wanawake D naonaga watata watata wanapenda command hao alafu wengi first born [emoji23][emoji23] tofauti kabisa na wenzao wa B
Duuu, Mungu anisaidie jaman maisha yenyewe haya, hata hiv natamn kuwa kwenye mahusiano ila nikikumbuka rafk zang wanavyonishuhudia naamua kukaa kmy kwanza mana nikianza kupewa za cjui naenda part, mama anaumwa, nikasuke nk mm c ntakufa mkondeano jamani.Ila hawachelewagi kusema wanaenda kunyoa sinza 10k
Kwamba hana mtu wa kumuhudumia saloon au sio for freeMimi tafsiri yangu ya mwanamke aliyenyoa ni:-
1. Hana mchumba
2. Kakata tamaa ya usichana labda hapendwi.
NB: watoe wamama na wasabato kwa mbaali tuwape exception
Hiii ni tafsir yangu pia bila kusahau kuwa huyo atakuwa na msimamo wala hababaishwi na wanaomkosoaMimi tafsiri yangu ya mwanamke aliyenyoa ni:-
1. Hana mchumba
2. Kakata tamaa ya usichana labda hapendwi.
NB: watoe wamama na wasabato kwa mbaali tuwape exception
Tafuta house gal wa kwenye nyumba za kishua wallahi huta jutia unakakuta kasafi na kwasababu anakuona unawaka treatment za mume unapewaDuuu, Mungu anisaidie jaman maisha yenyewe haya, hata hiv natamn kuwa kwenye mahusiano ila nikikumbuka rafk zang wanavyonishuhudia naamua kukaa kmy kwanza mana nikianza kupewa za cjui naenda part, mama anaumwa, nikasuke nk mm c ntakufa mkondeano jamani.
Napenda mahusiano yawe na furaha muda wote yan mpnz wangu awe kama rafk yng hapo nahis ntakenua meno yote😆
Hiii ni tafsir yangu pia bila kusahau kuwa huyo atakuwa na msimamo wala hababaishwi na wanaomkosoa
Mkuu c unaokota tu bila mikiki mikiki kama ya kukaba ulio uwanjani, had munda zipo😆😆😆Mkuu unapenda lose balls
Ila sijawai ona pisi inaolewa ikiwa imenyoa nawazaga sana yaniMkuu c unaokota tu bila mikiki mikiki kama ya kukaba ulio uwanjani, had munda zipo😆😆😆
Nina mchumba tena ananipenda khatari, na wala sijakata tamaa ya usichana..!Mimi tafsiri yangu ya mwanamke aliyenyoa ni:-
1. Hana mchumba
2. Kakata tamaa ya usichana labda hapendwi.
NB: watoe wamama na wasabato kwa mbaali tuwape exception
B&D . Tatizo la D ni hizo nyusi bandia. Asingekuwa na nyusi bandia angekuwa wife material.Pamekua na wimbi kubwa la vijana haswa tulio katika muda wa kuchagua yupi wa kufunga nae pingu za maisha, kuhofia wanawake wanao weka style fulani fulani kwamba hawajatulia au wakorofi nk.
Ningependa kujua wewe mwenzangu unatafsiri vipi hii mitindo ya nywele.
So kwenye kunyoa maxmimum ina cost kama tsh ngapi maana sijui napigwa yani?Nina mchumba tena ananipenda khatari, na wala sijakata tamaa ya usichana..!
Nimenyoa ili kupumzika na kubadili muonekano, msiwe mnaishi kwa kukariri..!
Mimi hao B wengi ni ma weaving na mawigi mimi kushika nywele za watu sipendiB&D . Tatizo la D ni hizo nyusi bandia. Asingekuwa na nyusi bandia angekuwa wife material.
Mkuu tupite level zetu tu, no way out 😆😆Ila sijawai ona pisi inaolewa ikiwa imenyoa nawazaga sana yani
Kumbe huyo B ni wigi? basi naghairi ngoja niende na D.Mimi hao B wengi ni ma weaving na mawigi mimi kushika nywele za watu sipendi
Mkuu nilijaribu kumshawishi pisi moja yenye kazi maalum kunyoa akaniambia kama kusuka ndio hofu yako usiwaze nita clear mwenyewe ...kua mpoleMkuu tupite level zetu tu, no way out 😆😆
Shauri yako utavaliwa element mpaka ukomeKumbe huyo B ni wigi? basi naghairi ngoja niende na D.
Sio kweliWivu tu
Inategemea na saloon, pia baada ya kunyoa anafanya nini nywele zake, kufika hata 50K ni jambo la kawaida..!So kwenye kunyoa maxmimum ina cost kama tsh ngapi maana sijui napigwa yani?