Mkuu nilijaribu kumshawishi pisi moja yenye kazi maalum kunyoa akaniambia kama kusuka ndio hofu yako usiwaze nita clear mwenyewe ...kua mpole
Now nimeelewa that is why ananiambiaga ananihurumia okInategemea na saloon, pia baada ya kunyoa anafanya nini nywele zake, kufika hata 50K ni jambo la kawaida..!
Mkuu intemidation inaniua huku am tripping chombo kinawaka alafu wwBc kuwa mpole mkuu ww huyo yupo vzr n mwelewa
Ko tunaamuaje mkuuMkuu intemidation inaniua huku am tripping chombo kinawaka alafu ww
Nitamsifia kapendeza ila siulizi kitu chochote kuhusu nywele nakausha tu.Ko tunaamuaje mkuu
Nina mchumba tena ananipenda khatari, na wala sijakata tamaa ya usichana..!
Nimenyoa ili kupumzika na kubadili muonekano, msiwe mnaishi kwa kukariri..!
Hiii ni tafsir yangu pia bila kusahau kuwa huyo atakuwa na msimamo wala hababaishwi na wanaomkosoa
Bahiri ktk ubora wakeMm mwonekano tu wa mwanamke hunifanya niamue kumtongoza au la!!! Na huo mwonekano unahusisha nywere pia.
-Mf. Anasuka, sitamtongoza coz sitaweza kuhudumia usukaji
-Anapaka bleach, nyoa kiduku sitamtongoza coz tabia yao walio wengi n hatari kwa afya ya ndoa/mahusiano
Dorothy kigezo cha nywere 100% ila cha umr hapana😁Bahiri ktk ubora wake
Koo utamchukua mama gwajima
Ila sijawai ona pisi inaolewa ikiwa imenyoa nawazaga sana yani
Mkuu inabidi uumbe mtu wako,huku duniani tunanyang'anyana,after all sharing is caringDuuu, Mungu anisaidie jaman maisha yenyewe haya, hata hiv natamn kuwa kwenye mahusiano ila nikikumbuka rafk zang wanavyonishuhudia naamua kukaa kmy kwanza mana nikianza kupewa za cjui naenda part, mama anaumwa, nikasuke nk mm c ntakufa mkondeano jamani.
Napenda mahusiano yawe na furaha muda wote yan mpnz wangu awe kama rafk yng hapo nahis ntakenua meno yote😆
Ajiumbie kbsaaaaMkuu inabidi uumbe mtu wako,huku duniani tunanyang'anyana,after all sharing is caring
Unaniongezea vitisho zaid. Ila naamni yupo ambaye atanifit🤔🤔Mkuu inabidi uumbe mtu wako,huku duniani tunanyang'anyana,after all sharing is caring
Huyo A ni kichomi, mwanamke nywele fupi na way hajawahi kuwa salama kwa matumizi ya binadamu mwenye busara.Pamekua na wimbi kubwa la vijana haswa tulio katika muda wa kuchagua yupi wa kufunga nae pingu za maisha, kuhofia wanawake wanao weka style fulani fulani kwamba hawajatulia au wakorofi nk.
Ningependa kujua wewe mwenzangu unatafsiri vipi hii mitindo ya nywele.
Wapo what?Nimenyoa nimeweka purple kwa mbali..Nina mahusiano mazuri yenye afya tele.
Unyoaji usukaji..uvaaji mawigi ni hobby tu ya mtu.. sidhani Kama inaendana na tabia ya mtu maana Kuna wenye nywele asili na wapo ovyo
Mwanadamu wenye busara hatumii mi way sioHuyo A ni kichomi, mwanamke nywele fupi na way hajawahi kuwa salama kwa matumizi ya binadamu mwenye busara.
Wewe kwa upande wako hapo kwenye picha unapenda style gani ?
Kifagio kizingatiwe ....vishungi kama samsonimwanamke abane kifagio nyuma, natural hairs ama zilizowekwa dawa mie naoa anyday😁