Je, Mizimu na mashetani ndio huchoma shule zetu?

Je, Mizimu na mashetani ndio huchoma shule zetu?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Tangu Zama za Shauritanga ilipoteketea, wimbi la shule kuungua na kuteketea kwa moto halijawahi kukoma. Kama sio madarasa yanaungua, Basi ni mabweni.

Katika matukio haya ambayo yamekuwa yakichunguzwa kwa muda mrefu na Jeshi la polisi na zimamoto, hawajawahi kutupa chanzo hasa ni Nini, pia hawajawahi kuja na solution ya tatizo hili na Wala sijaona watuhumiwa wakipandishwa kizimbani kwa makosa haya.

Kwa kuwa wachomaji hawajawahi kujulikana, kukamatia na kuoandishwa kizimbani nadhani ile Mizimu na mashetani ambayo yamekuwa yakileta mauzauza ya wanafunzi kuzimia, kupatwa ugonjwa wa kucheka nk huenda ndio hufanya uharimia huo kwenye baadhi ya shule.

Nitaacha kuamini hivi Hadi hapo ntakapoona mabadiliko.

Moshi: Shule ya African Muslim inaungua moto
 
Mkuu Mara nying hitilafu za umeme ndo chanzo
 
Kwanini hitilafu hutokea mashuleni lakini sio makanisani?
Daaah mkuu shulen vijana ni watundu ....shule yetu simu zilikatazwa so students walikuwa wanapanda juu ya dar kwenda kuchaji ...so assume nn kitatokea hapo
 
Kuna shida ndani ya bakwata, pengine tutaona na kusikia mengi! Muda utasema
 
Daaah mkuu shulen vijana ni watundu ....shule yetu simu zilikatazwa so students walikuwa wanapanda juu ya dar kwenda kuchaji ...so assume nn kitatokea hapo
Na shule za wasichana hufanya hivyo?
Kwanini zinazoungua zaidi ni za Moshi?
 
Daaah mkuu shulen vijana ni watundu ....shule yetu simu zilikatazwa so students walikuwa wanapanda juu ya dar kwenda kuchaji ...so assume nn kitatokea hapo

Kwa hiyo shule za kiislamu ndo zinaongoza kwa utundu?
 
hakuna cha mizimu wala mashetani hapo watu wanafiniana tu
 
Sasa kuungua kwa shule (hasa za Kiislamu) imekuwa "too much" Naamini kuna hujuma, sio bure !!
 
Hawa watu wajinga sana,,FUNGENI CCTV,,kwani cctv bei gani?,maana haizidi laki tatu
 
Back
Top Bottom