Je, mke wako hakuongeleshi?

Kwa style hyo natoa taa za nyumba nzima lazma uje na magoti kuniongelesha
 
Kwa style hyo natoa taa za nyumba nzima lazma uje na magoti kuniongelesha
Hahahahaaaa. Kweli kabisa yaani hapo mnuno lazima uishe sababu giza kitu kingine bana.

Ila umeadimika? lol
 
Dawa ya mwanamke anayenuna ni moja tu, mbembeleze basi. Mwanamke anavonuna anamaanisha nibembeleze sasa wewe na kiburi chako hutaki kubembeleza endelea kukaza mifuniko
 
Hahahahaaaa. Kweli kabisa yaani hapo mnuno lazima uishe sababu giza kitu kingine bana.

Ila umeadimika? lol
Kumbe unaogopa giza namna hyo ahaa wewe unafaa sana kutishwa usiku, Nipo sana labda njia tofaut tunapita
 
Hayo yote usifanye,kwanza tafuta sababu na itapendeza ukaitafuta kwake mkiwa chumbani. Lazima aseme.
 
Tunaogopa mkinuna sana kinywani kutatoka harufu mbaya usiku. Hiyo mbinu ni ya awali, isipofanya kazi nitaaply mbinu nyingine elfu saba
hahahaha mmmmmmm mie nanuna tuuuuuuuuuu akinikera au akinikatalia kitu lol...
 
Na watu wafupi kwaminuno
 
Mi huwa nazimaga main switch ya umeme then utasikia mume wangu umeme hauwaki njoo kwanza ,
 
Nakaza kwa kutumia tie rod hand Na wish born vifaa madhubuti vya kukazia, je unavijua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…