Je, mke wako hakuongeleshi?

Je, mke wako hakuongeleshi?

naagiza washkaji waje kutuibia vitu vya ndan pamoja na dressng table,

alafu mi najifanya nimelala fofo.

LAZIMA UNIAMSHE

Alafu nikiamka wale jamaa wataomba msamaha na kukimbia hahahah

najua lazima utoe naniliuuu

[emoji23]
Hahaaaa,,,nikitoa nanihii tukimaliza naendelea kununa
 
Back
Top Bottom