Je, mke wangu ana tabia ya kujichua?

Je, mke wangu ana tabia ya kujichua?

Ndio nimetoka kusali JUMUIYA saizi, mara nakutana na mjadala huu tena wa dhambi mpya mpya...
By the way, ukiona hivyo basi tambua kwamba haumguzi mkeo (haumsugui mjisimi huo) kama inavyo takiwa.
Lakufanya sasa, tafuta position ambayo utakua ukimkunja lazima umsugue wewe na sio yeye ajisugue tena.
Lakini..... mbona sioni kama nisawa hapa tukijadili mjisimi wa mkeo...🤔

TUMSIFU YESU KRISTU
Ukafanye ungamo la dhambi ukisema
"...NIMEKOSA SANA MIMI, KWA MAWAZO, KWA MANENO NA MATENDO; NDIO MAANA NAKUUNGAMIA MUNGU MWENYEZI"
🤣🤣
 
Ndio nimetoka kusali JUMUIYA saizi, mara nakutana na mjadala huu tena wa dhambi mpya mpya...
By the way, ukiona hivyo basi tambua kwamba haumguzi mkeo (haumsugui mjisimi huo) kama inavyo takiwa.
Lakufanya sasa, tafuta position ambayo utakua ukimkunja lazima umsugue wewe na sio yeye ajisugue tena.
Lakini..... mbona sioni kama nisawa hapa tukijadili mjisimi wa mkeo...🤔
Ukifuatilia story za wanaume wengi hawajui Hilo zoezi..
 
jamaa anazingua. Anataka mpaka ashikishwe mkono ndio aelewe anatakiwa kufanya nini.

Wazee wa zamani walikuwa na busara sana kuweka mafunzo ya jandoni. Hivi vizazi vya Nickoledeon kila kitu kwao ni changamoto.

Vizazi vya Nickelodeon 🤣
 
Ushajua kinachomkojoza kuwa ni kujisugua kisimi sasa badala kuongeza maujuzi ya kumsugua huku mnafanyana unawaza kuweka dhana za kuwa anajichua.

Kuna kitu kinaitwa 'subtle hints' kwenye kujamiiana. Tunapaswa tujifunze kusoma ishara ndogo ndogo toka kwa wenza wetu juu ya nini hasa wanachopenda kufanyiwa. Kujisugua kwake ni ujumbe kwako kuwa unatakiwa umfanyie hivyo ili aenjoy zaidi. Si kila kitu kuja kuomba ushauri mitandaoni.

Sasa endelea kumuhisi anapiga nyeto apate muhaya wa kumchapa katerero ndio utajua hujui.
Una hoja!Watu hawajui kusoma body language....wengine hawasemi Kwa midomo
 
Back
Top Bottom