Je, mnanitunuku lini 'Honorary Doctorate Degree' yangu kwa kuwa Visionary and Rational Thinker?

Je, mnanitunuku lini 'Honorary Doctorate Degree' yangu kwa kuwa Visionary and Rational Thinker?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kuna Watu mnawalundikia Mashahada ya Heshima mbalimbali ya kuhusiana na Mambo fulani fulani ambayo GENTAMYCINE nikiangalia au nikitafuta walichofanya au walichokifanya huko wala sioni au sikioni.

Haya watoa Honorary Doctorate Degree niangalieni nami GENTAMYCINE na niandalieni yangu kwani haiwezekani Visionary and Rational Thinker Mimi wa Kizanaki ( Mara ) na Kiyao ( Mtwara ) hamnituku na mnawatunuku Wengine kwa Kuimarisha Biashara na Utalii wakati kwa sasa Wafanyabishara wanalia, Maisha ni magumu, Uchumi haueleweki na Watalii wengi wanakimbilia nchi za Kenya, Rwanda na Afrika Kusini.

Next time nami nipeni yangu sawa?
 
Kuna Watu mnawalundikia Mashahada ya Heshima mbalimbali ya kuhusiana na Mambo fulani fulani ambayo GENTAMYCINE nikiangalia au nikitafuta walichofanya au walichokifanya huko wala sioni au sikioni.

Haya watoa Honorary Doctorate Degree niangalieni nami GENTAMYCINE na niandalieni yangu kwani haiwezekani Visionary and Rational Thinker Mimi wa Kizanaki ( Mara ) na Kiyao ( Mtwara ) hamnituku na mnawatunuku Wengine kwa Kuimarisha Biashara na Utalii wakati kwa sasa Wafanyabishara wanalia, Maisha ni magumu, Uchumi haueleweki na Watalii wengi wanakimbilia nchi za Kenya, Rwanda na Afrika Kusini.

Next time nami nipeni yangu sawa?
Tunakutunu cheti cha mgonjwa pale Mirembe

Usicheze na afya ya akili…. Pata ushauri wa dakitari
 
Back
Top Bottom