Je, mnanitunuku lini 'Honorary Doctorate Degree' yangu kwa kuwa Visionary and Rational Thinker?

Je, mnanitunuku lini 'Honorary Doctorate Degree' yangu kwa kuwa Visionary and Rational Thinker?

Mkuu genta kwann unajibu watu vbaya?
Una uhakika Wao hawanianzi Vibaya? Acha Unafiki na Usinikere na Wewe pia sawa?

Siku zote Wapumbavu wengi hapa huwa mnaona tu Majibu yangu kwa Maadui zangu ila Wao wanaponianza si tu huwa mnajifanya hamuoni bali pia huwa mnafurahia wanachonifanyia.

Sera yangu hapa JamiiForums tokea nijiunge mwaka 2013 haijawahi kubadilika ambao Ukijaa tu katika Frame ( 18 ) yangu na Kutishia Kujamba basi Mimi Nakunya kabisa.

Niheshimu ili nami Nikuheshimu ila ukijifanya Wewe ni Mjanja wa Bush basi Mimi nakuonyesha kuwa siyo tu ni Msela, Mtoto wa Mjini bali pia ni Muhuni vile vile japo nina Ustaarabu Uliotukuka na Roho Nzuri isiyo na Mashaka ambayo Wengi wanaonijua wataweza Kulishuhudia.

Nimemaliza.
 
Una uhakika Wao hawanianzi Vibaya? Acha Unafiki na Usinikere na Wewe pia sawa?

Siku zote Wapumbavu wengi hapa huwa mnaona tu Majibu yangu kwa Maadui zangu ila Wao wanaponianza si tu huwa mnajifanya hamuoni bali pia huwa mnafurahia wanachonifanyia.

Sera yangu hapa JamiiForums tokea nijiunge mwaka 2013 haijawahi kubadilika ambao Ukijaa tu katika Frame ( 18 ) yangu na Kutishia Kujamba basi Mimi Nakunya kabisa.

Niheshimu ili nami Nikuheshimu ila ukijifanya Wewe ni Mjanja wa Bush basi Mimi nakuonyesha kuwa siyo tu ni Msela, Mtoto wa Mjini bali pia ni Muhuni vile vile japo nina Ustaarabu Uliotukuka na Roho Nzuri isiyo na Mashaka ambayo Wengi wanaonijua wataweza Kulishuhudia.

Nimemaliza.
Hamna mtu hapa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Una uhakika Wao hawanianzi Vibaya? Acha Unafiki na Usinikere na Wewe pia sawa?

Siku zote Wapumbavu wengi hapa huwa mnaona tu Majibu yangu kwa Maadui zangu ila Wao wanaponianza si tu huwa mnajifanya hamuoni bali pia huwa mnafurahia wanachonifanyia.

Sera yangu hapa JamiiForums tokea nijiunge mwaka 2013 haijawahi kubadilika ambao Ukijaa tu katika Frame ( 18 ) yangu na Kutishia Kujamba basi Mimi Nakunya kabisa.

Niheshimu ili nami Nikuheshimu ila ukijifanya Wewe ni Mjanja wa Bush basi Mimi nakuonyesha kuwa siyo tu ni Msela, Mtoto wa Mjini bali pia ni Muhuni vile vile japo nina Ustaarabu Uliotukuka na Roho Nzuri isiyo na Mashaka ambayo Wengi wanaonijua wataweza Kulishuhudia.

Nimemaliza.
Kwanini ukiwa unaandika unakuwa unafafanua sana mpaka lugha ya kiswahili inakuwa ngumu kwako kwa nini usiende moja kwa moja Genta the PHD ya kuomba
 
Kuna Watu mnawalundikia Mashahada ya Heshima mbalimbali ya kuhusiana na Mambo fulani fulani ambayo GENTAMYCINE nikiangalia au nikitafuta walichofanya au walichokifanya huko wala sioni au sikioni.

Haya watoa Honorary Doctorate Degree niangalieni nami GENTAMYCINE na niandalieni yangu kwani haiwezekani Visionary and Rational Thinker Mimi wa Kizanaki ( Mara ) na Kiyao ( Mtwara ) hamnituku na mnawatunuku Wengine kwa Kuimarisha Biashara na Utalii wakati kwa sasa Wafanyabishara wanalia, Maisha ni magumu, Uchumi haueleweki na Watalii wengi wanakimbilia nchi za Kenya, Rwanda na Afrika Kusini.

Next time nami nipeni yangu sawa?
Form 2
 
Back
Top Bottom