Je, mpira ukirushwa ukaingia golini moja kwa moja ni goli?

Je, mpira ukirushwa ukaingia golini moja kwa moja ni goli?

sawee225

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2017
Posts
3,224
Reaction score
12,109
Wakuu salaam,

Nilikuwa naangalia ndondo ya mtaa ukatokea utata hapa dakika za lala salama.

Umerushwa mpira ukaingia ndani ya goli moja kwa moja bila kuguswa. Watalaam wa sheria 17 za mpira niwaulize, hilo litahesabika kama goli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Scenario 4;

Timu inashambulia

1) Suarez anarusha kwenye 18 ya Madrid, hakuna aliyegusa. Mpira unaingia golini.

Maamuzi: sio goal, Goal kick. Madrid wapige

2) Suarez anarusha kwenye 18 ya Madrid. Kipa kaugusa, ukamshinda, ukaingia golini
Maamuzi: Goal. Mpira kati ya uwanja

Timu inajilinda. Mpira uko kwenye nusu yao

3) Gerrad pique anamrushia kipa wake au mwenzie aliye karibu Na goal la Barca. Mpira hajagusa MTU, unaingia golini.

Maamuzi: corner. Madrid wanakuja kupiga.

4) Gerrad Pique anarusha kwa kipa wake au MTU mwenzie wa Barca. Kipa kaugusa, ukajaa wavuni
Maamuzi. Goal. Mpira kati

Mpira wa kurushwa kuelekea golini usipoguswa ukiingia golini. Assume umetoka nje ya goli pembeni au juu. Ndio maamuzi yafuate.

Hakuna goal linafungwa kwa THROW IN bila kuguswa.

SHERIA NAMBA 15 KATIKA ZILE 17
 
Goli mkuu, kuna mechi ilikuwa msimu wa 2003 Birmingham City na Charlton Athletic, Charlton walipata goli baada ya beki wa Birmingham kumrushia kipa mpira na akashindwa kuzuia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Scenario 4;

Timu inashambulia
1) Suarez anarusha kwenye 18 ya Madrid,hakuna aliyegusa. Mpira unaingia golini.

Maamuzi: sio goal,Goal kick. Madrid wapige

2)Suarez anarusha kwenye 18 ya Madrid. Kipa kaugusa,ukamshinda,ukaingia golini
Maamuzi:Goal. Mpira kati ya uwanja

Timu inajilinda. Mpira uko kwenye nusu yao

3)Gerrad pique anamrushia kipa wake au mwenzie aliye karibu Na goal la Barca. Mpira hajagusa MTU,unaingia golini.

Maamuzi: corner. Madrid wanakuja kupiga.

4)Gerrad Pique anarusha kwa kipa wake au MTU mwenzie wa Barca. Kipa kaugusa,ukajaa wavuni
Maamuzi. Goal. Mpira kati


Mpira wa kurushwa kuelekea golini usipoguswa ukiingia golini. Assume umetoka nje ya goli pembeni au juu. Ndio maamuzi yafuate.

Hakuna goal linafungwa kwa THROW IN bila kuguswa.

SHERIA NAMBA 15 KATIKA ZILE 17
Asante kwa maelezo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom