Je, msamaha wa Rais Magufuli kwa DED wa Kahama umewaponya Wakurugenzi wote walionunua magari ya Tsh 460 milioni?

Je, msamaha wa Rais Magufuli kwa DED wa Kahama umewaponya Wakurugenzi wote walionunua magari ya Tsh 460 milioni?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Rais Magufuli amesema haya

''Mkurugenzi wa Kahama Mji unafanya kazi kubwa sana, ka kosa kale kadogo kamesamehe dhambi zako zote. Unafanya kazi sana najua unapigwa vita ila wanaokupiga vita kuanzia sasa wakuogope.

Nimemsamehe Mkurugenzi huyu, amefanya makubwa! Mkurugenzi hongera Sana. Na hilo gari nitamrudishia aendelee kuliendesha lakini asirudie kununua gari nje ya utaratibu".


--
Nauliza tu iwapo uchapa kazi wa mkurugenzi wa Kahama na madiwani wake umewaponya pia Wakurugenzi wa Geita, Temeke na wengine waliorudisha magari ya bei ghali kwa waziri mkuu.

Wajuzi wa itifaki za misamaha tafadhali.

Pia soma > Kahama: Mkurugenzi anunua gari la gharama kubwa

Maendeleo hayana vyama!
 
Inategemea ameamkaje siku hiyo
IMG_20210105_134559.jpg
 
Nauliza tu iwapo uchapa kazi wa mkurugenzi wa Kahama na madiwani wake umewaponya pia Wakurugenzi wa Geita, Temeke na wengine waliorudisha magari ya bei ghali kwa waziri mkuu.

Wajuzi wa itifaki za misamaha tafadhali.

Maendeleo hayana vyama!
PM mmmmhhhhhh
 
Said who ?
Tamko la rais lime-specify anayesamehewa na sifa za mwenye kusamehewa zikatolewa hadharani kwamba ni mchapakazi, mbunifu, anatumia mapato ya ndani ya halmashauri vizuri, anavutia wawekezaji kwa kutoa ardhi bure na zaidi anapigwa majungu tu na baadhi ya viongozi. Kwa sifa hizo hadi akaagiza gari V8 ya milioni 400+ arudishiwe.

Je, hao wakurugenzi wa halmashauri za Geita, Chato wana sifa hizo.
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Kakosa kadogo kanafuta dhambi zote kwa maana hiyo hawakutenda kosa kubwa watasamehewa tu.
 
Tamko la rais lime-specify anayesamehewa na sifa za mwenye kusamehewa zikatolewa hadharani kwamba ni mchapakazi, mbunifu, anatumia mapato ya ndani ya halmashauri vizuri, anavutia wawekezaji kwa kutoa ardhi bure na zaidi anapigwa majungu tu na baadhi ya viongozi. Kwa sifa hizo hadi akaagiza gari V8 ya milioni 400+ arudishiwe.

Je hao wakurugenzi wa halmashauri za Geita, Chato wana sifa hizo.
Let's wait and see ...
 
Back
Top Bottom