johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Rais Magufuli amesema haya
''Mkurugenzi wa Kahama Mji unafanya kazi kubwa sana, ka kosa kale kadogo kamesamehe dhambi zako zote. Unafanya kazi sana najua unapigwa vita ila wanaokupiga vita kuanzia sasa wakuogope.
Nimemsamehe Mkurugenzi huyu, amefanya makubwa! Mkurugenzi hongera Sana. Na hilo gari nitamrudishia aendelee kuliendesha lakini asirudie kununua gari nje ya utaratibu".
--
Nauliza tu iwapo uchapa kazi wa mkurugenzi wa Kahama na madiwani wake umewaponya pia Wakurugenzi wa Geita, Temeke na wengine waliorudisha magari ya bei ghali kwa waziri mkuu.
Wajuzi wa itifaki za misamaha tafadhali.
Pia soma > Kahama: Mkurugenzi anunua gari la gharama kubwa
Maendeleo hayana vyama!
''Mkurugenzi wa Kahama Mji unafanya kazi kubwa sana, ka kosa kale kadogo kamesamehe dhambi zako zote. Unafanya kazi sana najua unapigwa vita ila wanaokupiga vita kuanzia sasa wakuogope.
Nimemsamehe Mkurugenzi huyu, amefanya makubwa! Mkurugenzi hongera Sana. Na hilo gari nitamrudishia aendelee kuliendesha lakini asirudie kununua gari nje ya utaratibu".
--
Nauliza tu iwapo uchapa kazi wa mkurugenzi wa Kahama na madiwani wake umewaponya pia Wakurugenzi wa Geita, Temeke na wengine waliorudisha magari ya bei ghali kwa waziri mkuu.
Wajuzi wa itifaki za misamaha tafadhali.
Pia soma > Kahama: Mkurugenzi anunua gari la gharama kubwa
Maendeleo hayana vyama!