Je, Msanii Harmonize anatengenezwa kimakusudi ili kuumaliza Ufalme wa Diamond baada ya Kiba kujimaliza mwenyewe?

Je, Msanii Harmonize anatengenezwa kimakusudi ili kuumaliza Ufalme wa Diamond baada ya Kiba kujimaliza mwenyewe?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwa niliyoyasikia juu ya hawa Watatu ni mengi ila kati yao makubwa matatu yanahusu nyanja za kisiasa hasa kwa Uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2020, chuki yenye kisasi dhidi ya Vyombo Viwili vikubwa vya Habari nchini Tanzania vilivyopo hapa Mkoani Dar es Salaam Wilaya ya ‘Kitajiri‘ ya Kinondoni na la mwisho ni Mikakati ya Watu wakubwa (Vigogo) wanaojihusisha na Uingizaji na Usambazaji mkubwa wa Madawa ya Kulevya nchini Tanzania.

Hata hivyo naomba niwakaribisheni nanyi Great Thinkers wa Mtandao huu pendwa wa JamiiForums ili nanyi pia muweze kutiririka na kuserereka juu ya kile ambacho mnakijua pengine hata kuliko haya ambayo Mimi GENTAMYCINE nimedokezwa na Wabobezi wa Masuala Mtambuka hapa Tanzania.

Najua hamtaniangusha Wakuu.

Twende Kazi!
 
Hawa vigogo wa kuuza unga kila mwaka wa uchaguzi ukija wanamchukua mtu na kutaka kumtoa kafara, kuna mengi sana yanasemwa huku mitaani cha hajabu hakuna kinachofanywa na watu wa serikali wa kuthibiti hawa watu.
 
Hawa vigogo wa kuuza unga kila mwaka wa uchaguzi ukija wanamchukua mtu na kutaka kumtoa kafara, kuna mengi sana yanasemwa huku mitaani cha hajabu hakuna kinachofanywa na watu wa serikali wa kuthibiti hawa watu.
wewe sijui una akili gani?
 
Well said wanasemaga "when you find yourself in the position of help someone , be happy because God is answering that person's prayer through you" ...

Kuna sehemu umechapia hapo juu katika hii Sentensi yako ya Kiingereza na nakuomba irekebishe haraka kabla ' JF Wordsmiths ' hawajaiona na wakaanza Kukushukia na ukaja ' Kuumbuka ' bure. Wewe unadhani Sisi akina GENTAMYCINE hatupendi Kuandika kwa Kiingereza kama Wewe? Ukweli ni kwamba sijui / hatujui na ndiyo maana ' tunakomaa ' tu kwa Kutiririka na Kuserereka zetu kwa kutumia Lugha yetu hii hii ' zoeleka ' na ' tukuka ' ya Kiswahili.
 
Halafu sasa baada kuimba hivyo Fid q Leo hii anawalamba miguu mawingu vibaya


Fid Q ni nyoka wa kibisa, maneno mengi lakini msimamo hana. Mi nilimvua vyeo baada ya kumuona anapelekwa mbio na Bashite kipindi cha kumtafuta Roma. Jamaa njaa kali msimamo hana, ndio maana miaka yote hii hana reputation walizonazo wenzake wakina FA na Ambwene. Yeye tofauti yake na TID ni kwamba avuti hata weed.
 
Back
Top Bottom