Kubbra Hooda
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 208
- 297
Wanashuka kutoka wapi?mbinguni, juu ya miti,milimani,garini, ngazini au? Waambie washuke nawasubiria.Kuna sehemu umechapia hapo juu katika hii Sentensi yako ya Kiingereza na nakuomba irekebishe haraka kabla ' JF Wordsmiths ' hawajaiona na wakaanza Kukushukia na ukaja ' Kuumbuka ' bure. Wewe unadhani Sisi akina GENTAMYCINE hatupendi Kuandika kwa Kiingereza kama Wewe? Ukweli ni kwamba sijui / hatujui na ndiyo maana ' tunakomaa ' tu kwa Kutiririka na Kuserereka zetu kwa kutumia Lugha yetu hii hii ' zoeleka ' na ' tukuka ' ya Kiswahili.
[emoji3][emoji3][emoji3]Fid Q ni nyoka wa kibisa, maneno mengi lakini msimamo hana. Mi nilimvua vyeo baada ya kumuona anapelekwa mbio na Bashite kipindi cha kumtafuta Roma. Jamaa njaa kali msimamo hana, ndio maana miaka yote hii hana reputation walizonazo wenzake wakina FA na Ambwene. Yeye tofauti yake na TID ni kwamba avuti hata weed.
Kwa niliyoyasikia juu ya hawa Watatu ni mengi ila kati yao makubwa matatu yanahusu nyanja za kisiasa hasa kwa Uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2020, chuki yenye kisasi dhidi ya Vyombo Viwili vikubwa vya Habari nchini Tanzania vilivyopo hapa Mkoani Dar es Salaam Wilaya ya βKitajiriβ ya Kinondoni na la mwisho ni Mikakati ya Watu wakubwa (Vigogo) wanaojihusisha na Uingizaji na Usambazaji mkubwa wa Madawa ya Kulevya nchini Tanzania.
Hata hivyo naomba niwakaribisheni nanyi Great Thinkers wa Mtandao huu pendwa wa JamiiForums ili nanyi pia muweze kutiririka na kuserereka juu ya kile ambacho mnakijua pengine hata kuliko haya ambayo Mimi GENTAMYCINE nimedokezwa na Wabobezi wa Masuala Mtambuka hapa Tanzania.
Najua hamtaniangusha Wakuu.
Twende Kazi!
tuwe positive tu na tukubali ukweli kuwa Tanzania tunahitaji diamond 20, Harmonize 50, samatta 90 nk.
UNO,INABAMA,THE RETURN OF Q CHILLER =YOPE REMIXKuna kitu kinaitwa Asili yaani Haiwezi kutokea kukawa Na Diamond Mwingine!
Uzuri wa kufanya kazi Kwenye Label ni Kwamba Ukitoa Ngoma Zitakuwa Hit na Zitaweza Kuwa Promoted kwa Kiasi Kikubwaa Sana! Kabla wimbo Haujatoka Wanakaa Watu 10 wanaopiga mziki wanakosoa mziki ukienda Hewa Ni Ngoma Kweli
Sasa Harmonize hawezi kuwa Diamond,Diamond Ndio Msanii Alie Zalisha Wasanii Wengine Wengi kipindi ambacho Game Ni Ngumuuu Hasaaaaaaa! Diamond Hakuchukui Ukiwa Maarufu Anakuchukua Ambako Watu hawakuwa wanakufahamu na kukufanya Wewe! Sio Kama Management zingine zinakutaka wewe kwasababu Upo kwenye Peak hiyo kuanguka ni Rahisi sana! Kati Ya Watu 100 watakao weza kutumia Mali za Urithi Ni 2 au Mmoja Kwasababu Sio jasho lao hawajui hustle na kila kitu so umakini unahitajika
Mwisho UNO ni ngoma Ya kawaida
dah we jamaa ππππUnazungumzia nini, ndugu.. usipayuke payuke kama watu wa mataifa!
fidq ni mswahili mmoja mzuri sanaHalafu sasa baada kuimba hivyo Fid q Leo hii anawalamba miguu mawingu vibaya
umejuaje?Harmonise na kundi lake wanaigiza kujitoa wcb ili watuchezee akili. But nyuma ya pazia Ni wale wale
bi sandra BHANAUNO,INABAMA,THE RETURN OF Q CHILLER =YOPE REMIX
0Na hakina magufuli wangapi?
Fid Q ni nyoka wa kibisa, maneno mengi lakini msimamo hana. Mi nilimvua vyeo baada ya kumuona anapelekwa mbio na Bashite kipindi cha kumtafuta Roma. Jamaa njaa kali msimamo hana, ndio maana miaka yote hii hana reputation walizonazo wenzake wakina FA na Ambwene. Yeye tofauti yake na TID ni kwamba avuti hata weed.
Awafikilii kumtengeneza diamond au kiba wawili, wanachotaka ni kumshusha mmoja ila mwingine awe dili....
Kuhusu Njaa Kali kwa Watanzania acha Kumsingizia Fid Q pekee kwani nina uhakika tena ya 100% kuwa na Wewe pia una Njaa vile vile huko katika maeneo yako uliko sema tu ID yako hii ya Kificho ndiyo inakuokoa na huenda kama tungekujua yawezekana Wewe ukawa ndiye Rais wa Wenye Njaa na Kuiendekeza Tanzania nzima. Kwa Maisha haya ya Kitanzania tusidanganyane hapa hakuna ambaye hana Njaa na ikitokea fursa hatoitumia ipasavyo.
No need to brag, but I live above the evarage and I can go anywhere I want in this world. Wakali wa Down Town mambo ya kifala hatuitagi fursa. Mapoyoyo ndio uwa wanafagilia watu kwa vyeo vyao.
π π π π π π π π π π πfidq ni mswahili mmoja mzuri sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jana ali kiba alifanya interview pale wasafi fm sema tu apendi show off .aliomba kirekodiwe aka sikilize na jamaa zake wa kariakooo
500mHata waliobaki WCB wanapenda watoke ila watatokaje