Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu,@j nimecheka saanaFactory Overhead
😆😆😆😆Ni hii hapa tu!!
View attachment 3089602
Msigwa huko CCM ni kama zigo la mavi habebeki. Kumtukana Mbowe hakuisaidii chochote CCM.Inaelekea kukamilika miezi miwili ama zaidi tangu Mchungaji Peter Msigwa ahame CHADEMA na kutimkia CCM baada ya kushindwa uchaguzi wa uenyekiti kanda ya Nyasa.
Huko CCM alipokelewa kwa vifijo na nderemo nyingi na wakuu wa chama chawala karibia wote
Nyimbo za mlete Msigwa zilisikika wakati akitambulishwa rasmi na yeye akaahidi kufanya makubwa.
Tangu hapo ameshindwa kabisa kuonesha ataifanyia nini ccm zaidi ya kila siku kukisema vibaya chama chake cha CHADEMA hasa hasa mwenyekiti wake.
Hivi karibuni amefunguliwa kesi ya fidia kwa kuongea uzushi na mwenyekiti wa CHADEMA
Kwa analysis ya haraka kwa kipindi alichohamia ccm je amekuwa mtaji ama amekuwa mzigo?
Je CCM wataweza kumbeba kwenye kesi inayomkabili?
Je ccm wataendelea kumbeba na kumvumilia porojo zake? Kwa muda gani?
Tuupe muda wakati lakini ni wazi Makalla akimuachia mkono December mbali tutamkuta ghalani kule walikotupwa wahamiaji wengi.
Kwa namna alivyoisakama na kuisema vibaya CCM alipokuwa CHADEMA asidhani wamesahau.
Wanacheka naye usoni lakini moyoni wanamng'ong'a.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Hapa ndiyo alikuwa tumbili kabisa akitokea TLP, Chadema imemtunza hadi akajua kuvaa suti leo hii anaitukana.
Kudadadadeq walahi,Chadema imemtoa uzeeni hadi ujanani leo hii anaikandia Chadema kwa ajili ya dolari za Abduli.
Kilio chake ni Mbowe, jamani Mbowe, Mbowe amefanya hiki na kile, yani kaisahau CCM kabisaaa....😄😄😄😄😄😄Inaelekea kukamilika miezi miwili ama zaidi tangu Mchungaji Peter Msigwa ahame CHADEMA na kutimkia CCM baada ya kushindwa uchaguzi wa uenyekiti kanda ya Nyasa.
Huko CCM alipokelewa kwa vifijo na nderemo nyingi na wakuu wa chama chawala karibia wote
Nyimbo za mlete Msigwa zilisikika wakati akitambulishwa rasmi na yeye akaahidi kufanya makubwa.
Tangu hapo ameshindwa kabisa kuonesha ataifanyia nini ccm zaidi ya kila siku kukisema vibaya chama chake cha CHADEMA hasa hasa mwenyekiti wake.
Hivi karibuni amefunguliwa kesi ya fidia kwa kuongea uzushi na mwenyekiti wa CHADEMA
Kwa analysis ya haraka kwa kipindi alichohamia ccm je amekuwa mtaji ama amekuwa mzigo?
Je CCM wataweza kumbeba kwenye kesi inayomkabili?
Je ccm wataendelea kumbeba na kumvumilia porojo zake? Kwa muda gani?
Tuupe muda wakati lakini ni wazi Makalla akimuachia mkono December mbali tutamkuta ghalani kule walikotupwa wahamiaji wengi.
Kwa namna alivyoisakama na kuisema vibaya CCM alipokuwa CHADEMA asidhani wamesahau.
Wanacheka naye usoni lakini moyoni wanamng'ong'a.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Inaelekea kukamilika miezi miwili ama zaidi tangu Mchungaji Peter Msigwa ahame CHADEMA na kutimkia CCM baada ya kushindwa uchaguzi wa uenyekiti kanda ya Nyasa.
Huko CCM alipokelewa kwa vifijo na nderemo nyingi na wakuu wa chama chawala karibia wote
Nyimbo za mlete Msigwa zilisikika wakati akitambulishwa rasmi na yeye akaahidi kufanya makubwa.
Tangu hapo ameshindwa kabisa kuonesha ataifanyia nini ccm zaidi ya kila siku kukisema vibaya chama chake cha CHADEMA hasa hasa mwenyekiti wake.
Hivi karibuni amefunguliwa kesi ya fidia kwa kuongea uzushi na mwenyekiti wa CHADEMA
Kwa analysis ya haraka kwa kipindi alichohamia ccm je amekuwa mtaji ama amekuwa mzigo?
Je CCM wataweza kumbeba kwenye kesi inayomkabili?
Je ccm wataendelea kumbeba na kumvumilia porojo zake? Kwa muda gani?
Tuupe muda wakati lakini ni wazi Makalla akimuachia mkono December mbali tutamkuta ghalani kule walikotupwa wahamiaji wengi.
Kwa namna alivyoisakama na kuisema vibaya CCM alipokuwa CHADEMA asidhani wamesahau.
Wanacheka naye usoni lakini moyoni wanamng'ong'a.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Msigwa ni mzigo kwa sababu hana cha ku-Offer CCM.Inaelekea kukamilika miezi miwili ama zaidi tangu Mchungaji Peter Msigwa ahame CHADEMA na kutimkia CCM baada ya kushindwa uchaguzi wa uenyekiti kanda ya Nyasa.
Huko CCM alipokelewa kwa vifijo na nderemo nyingi na wakuu wa chama chawala karibia wote
Nyimbo za mlete Msigwa zilisikika wakati akitambulishwa rasmi na yeye akaahidi kufanya makubwa.
Tangu hapo ameshindwa kabisa kuonesha ataifanyia nini ccm zaidi ya kila siku kukisema vibaya chama chake cha CHADEMA hasa hasa mwenyekiti wake.
Hivi karibuni amefunguliwa kesi ya fidia kwa kuongea uzushi na mwenyekiti wa CHADEMA
Kwa analysis ya haraka kwa kipindi alichohamia ccm je amekuwa mtaji ama amekuwa mzigo?
Je CCM wataweza kumbeba kwenye kesi inayomkabili?
Je ccm wataendelea kumbeba na kumvumilia porojo zake? Kwa muda gani?
Tuupe muda wakati lakini ni wazi Makalla akimuachia mkono December mbali tutamkuta ghalani kule walikotupwa wahamiaji wengi.
Kwa namna alivyoisakama na kuisema vibaya CCM alipokuwa CHADEMA asidhani wamesahau.
Wanacheka naye usoni lakini moyoni wanamng'ong'a.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Dududaya anamwita popoma Lindindindi hahaha😀Msigwa ni mzigo kwa sababu hana cha ku-Offer CCM.
Isipokua anatafuta maslahi binafsi (kuingiza kipato akiamini atapata uteuzi ) hivo familia yake itaishi.
Thread zingine, uwe unaziacha zipite, sio lazima uchangie!Msigwa ni mwanachama wa kawaida tangu alipokua chadema na ccm ni vivyo hivyo, muhimu zaidi ni kwamba ni mwanasiasa anaejuelewa na kujitegemea...
Kesi ya Mbowe aliyomfungulia Msigwa, Tundu Lisu hana mbavu anamcheka mwenyekiti wake hadi anajifungia chooni asistukiwe![]()
Kwa hiyo wewe siku hizi siyo chawa tena, bali ni nzi? Maana nzi, chooni na majalalalni, ndiyo makazi yake, hivyo anamwona kila anayeenda chooni.Msigwa ni mwanachama wa kawaida tangu alipokua chadema na ccm ni vivyo hivyo, muhimu zaidi ni kwamba ni mwanasiasa anaejuelewa na kujitegemea...
Kesi ya Mbowe aliyomfungulia Msigwa, Tundu Lisu hana mbavu anamcheka mwenyekiti wake hadi anajifungia chooni asistukiwe![]()
Yaani jamaa anaonekana ananipenda sana CDM kuliko maana kila kukicha yeye ni kukipondea TU , hii kisaikolojia sio vizuri, unafika muda huwezi kufanya jambo la maana na kuwaza watanijibu vipi, halafu anaona watu hawamjibu anapata sonona, anapoteza marafiki, mama hataki kuwa kama mwendazake kuwapa wageni teuzi, Angekua Magu Upendo Peneza Angekua amelamba teuzi na Msigwa pia hata U-DCDududaya anamwita popoma Lindindindi hahaha😀
Aliondoka na mimba changa sasa hizo kelele anadai matunzo ya mimba yakeYaani jamaa anaonekana ananipenda sana CDM kuliko maana kila kukicha yeye ni kukipondea TU , hii kisaikolojia sio vizuri, unafika muda huwezi kufanya jambo la maana na kuwaza watanijibu vipi, halafu anaona watu hawamjibu anapata sonona, anapoteza marafiki, mama hataki kuwa kama mwendazake kuwapa wageni teuzi, Angekua Magu Upendo Peneza Angekua amelamba teuzi na Msigwa pia hata U-DC
anashindwa kujizuia kucheka,Kwa hiyo wewe siku hizi siyo chawa tena, bali ni nzi? Maana nzi, chooni na majalalalni, ndiyo makazi yake, hivyo anamwona kila anayeenda chooni.


siwezi kupita kwasababu sipendi nipete mahali ambapo huwezi kujizuia kupitaThread zingine, uwe unaziacha zipite, sio lazima uchangie!

