Je, Msigwa ndani ya CCM ni assert ama ni liability?

Msigwa huko CCM ni kama zigo la mavi habebeki. Kumtukana Mbowe hakuisaidii chochote CCM.
 
Kilio chake ni Mbowe, jamani Mbowe, Mbowe amefanya hiki na kile, yani kaisahau CCM kabisaaa....😄😄😄😄😄😄
 
Sugu kumng'oa tu uenyekiti tu wa kanda ya nyasa huyo msigwa Chadema ikageuka shubiri kwake, hivi kweli miaka 10 aliyokaa chadema hayo anayoyasema hakuyaona au aliyaona baada ya kung'olewa uenyekiti? Wanasiasa wa tanzania acheni kuwageuza wananchi kama mazwazwa! Msigwa ni mzoga tu ccm asubir huruma ya system impe udc au udac basi hana hoja...
 

Msigwa ni mzigo kwa sababu hana cha ku-Offer CCM.
Isipokua anatafuta maslahi binafsi (kuingiza kipato akiamini atapata uteuzi ) hivo familia yake itaishi.
 
Thread zingine, uwe unaziacha zipite, sio lazima uchangie!
 
Kwa hiyo wewe siku hizi siyo chawa tena, bali ni nzi? Maana nzi, chooni na majalalalni, ndiyo makazi yake, hivyo anamwona kila anayeenda chooni.
 
Dududaya anamwita popoma Lindindindi hahaha😀
Yaani jamaa anaonekana ananipenda sana CDM kuliko maana kila kukicha yeye ni kukipondea TU , hii kisaikolojia sio vizuri, unafika muda huwezi kufanya jambo la maana na kuwaza watanijibu vipi, halafu anaona watu hawamjibu anapata sonona, anapoteza marafiki, mama hataki kuwa kama mwendazake kuwapa wageni teuzi, Angekua Magu Upendo Peneza Angekua amelamba teuzi na Msigwa pia hata U-DC
 
Aliondoka na mimba changa sasa hizo kelele anadai matunzo ya mimba yake
 
Kwa hiyo wewe siku hizi siyo chawa tena, bali ni nzi? Maana nzi, chooni na majalalalni, ndiyo makazi yake, hivyo anamwona kila anayeenda chooni.
anashindwa kujizuia kucheka,
saa zingine inamlazimu azuge anaenda chooni kumbea anaenda kuangua kucheko dah,

dah, nyie haya mambo ya kisiasa za kuviziana yanachekesha sana dah
 
CCM inajilaumu sana kwa huu ununuzi wa Msigwa. Maana hata kabla ya kuipa CCM faida yoyote, tayari anaiomba CCM imsaidie kwenye kesi yake ya uropokaji, na kutakiwa kulipa fidia ya bilioni 5
 
Ule ni mzigo; kwa kweli CCM wamekula galasa sijui watamvumilia hadi lini.

Bado hatujaona akijenga hoja za kuitikisa CDM mbali na personal attack kwa Mh. Mbowe ambazo nying ni majungu.
 
Thread zingine, uwe unaziacha zipite, sio lazima uchangie!
siwezi kupita kwasababu sipendi nipete mahali ambapo huwezi kujizuia kupita

hata hivyo,
usingechangia wewe ingependeza zaidi gentleman
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…