Je, Msigwa ndani ya CCM ni assert ama ni liability?


Unakumbuka sarakasi zs CDM na Lowassa? Siasa hazina adui wa kudumu.
 

Hivi bado hajapata ukuu wa wilaya ama wa mkoa kumbe yuko chini ya uangalizi? mimi nilidhani ukiingia tu unapewa, I thought it is an easy go
Huwa wanaangalia wa Kuwapa..😁
Msigwa ni mwanaccm sasa, kama ni asset au liability wewe mwanachadema inakuhusu nini? Mambo ya ccm waachie ccm wenyewe wataamua kumtumia kadri wanavyoona inawafaa. Inaelekea Msigwa amewashika pabaya chadema
Soma maoni ya wengine kwanza kabla hujaropoka
 
Msigwa anawatesa Sana chadema, unajua Chadema msigwa ndo alikuwa anaonekana waheshima wengine wamekaa kitapeli tapeli Sana kuanzia top layer
 
Garasa, gangwala au ukipenda zaidi nyangarakasha.
 

Hivi bado hajapata ukuu wa wilaya ama wa mkoa kumbe yuko chini ya uangalizi? mimi nilidhani ukiingia tu unapewa, I thought it is an easy go
Huwa wanaangalia wa Kuwapa..😁
Msigwa ni mwanaccm sasa, kama ni asset au liability wewe mwanachadema inakuhusu nini? Mambo ya ccm waachie ccm wenyewe wataamua kumtumia kadri wanavyoona inawafaa. Inaelekea Msigwa amewashika pabaya chadema
Soma maoni ya wengine kwanza kabla hujaropoka
Unakumbuka sarakasi zs CDM na Lowassa? Siasa hazina adui wa kudumu.
 

Hivi bado hajapata ukuu wa wilaya ama wa mkoa kumbe yuko chini ya uangalizi? mimi nilidhani ukiingia tu unapewa, I thought it is an easy go
Huwa wanaangalia wa Kuwapa..😁
Msigwa ni mwanaccm sasa, kama ni asset au liability wewe mwanachadema inakuhusu nini? Mambo ya ccm waachie ccm wenyewe wataamua kumtumia kadri wanavyoona inawafaa. Inaelekea Msigwa amewashika pabaya chadema
Soma maoni ya wengine kwanza kabla hujaropoka
Unakumbuka sarakasi zs CDM na Lowassa? Siasa hazina adui wa kudumu.
View attachment 3089999
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…