Je! mtandao ukiwa na download speed kubwa ndio mzuri ?

Je! mtandao ukiwa na download speed kubwa ndio mzuri ?

Kaka mwisho wa siku ni speed tu. Hiyo ping inaweza kuwa kubwa au ndogo kutegemea na bottlenecks kwenye intermediate nodes au labda uplink kutoka kwa ISP kwenda kwa global ISP. Na bottlenecks nyingine huwa zinasababishwa na slow processing routers and gateways. Ila mwisho wa siku hiyo round trip ya ping inategemea na speed ya route nzima iliyotumika kutuma request. Ukiwa na 5 mbps down link halafu somewhere in between kuna router ambayo maximum processing capacity yake ni 1 mbps lazima usubiri.

Nachojaribu kusema ni kuwa ping round trip na latency ni vitu vinavyotegemea speed ya route nzima sio tu ile iliyopo kati ya mtumiaji na ISP.
Sasa kutakuwa na maana gani ya kuwa na internet hata ya 10gbps lakini hata viber huwezi kuongea, huwezi fanya video call, ipo slow kubrowse, huwezi angalia vitu live online nk?

As long as internet zenye ping ndogo zipo na sisi wateja tutazitaka tu, hizo process za juu ni kazi ya isp sisi tunalipa hela wao wanatakiwa watupe huduma bora.
 
watu wengi wanalalamika speed ya kubrowse ni ndogo, hawezi kuangalia video online, wengine wakipiga viber japo speed kubwa lakini hawasikilizani, kuna wengine video chat na hata wacheza magame online wanalalamika. Vitu vyote hivi tunamsingizia download speed je ni sahihi? Mtandao ukiwa na speed kubwa ya kudownload basi vitu vyote hivi vitakuwa sawa?

Jibu ni hapana unaweza kuwa na speed kubwa ya kudownload hata 5gb per second lakini usiweze kuongea viber wala kuchat video skype sababu si download speed inayo determine mambo mengi bali ni latency na ping ndio wabaya wetu hasa hapa Tanzania.

Ni nini latency na ping?

Latency- huu ni muda ambao unachukua kuomba kitu kutoka server.(one way trip)
Ping-huu ni muda ambao unaomba kitu kutoka server hadi server kukujibu wewe (two trip)

hivyo hapa chini nitaongelea zaidi kuhusu ping na jinsi inavyokuathiri.

-SI unit ya ping ni millisecond na ikumbukwe millisecond 1000 ni sawa na 1 second(sekunde)

Hivyo tunaona hapa kumbe kuna muda hupotea kuomba kitu kwenye server hadi kujibiwa, mfano nataka kuingia JamiiForums nikiandika jamiiforums then nikabonyeza enter kuna muda utapotea kabla sijaanza kupokea data za Jamiiforums kwenye browser yangu. Huu muda hutofautiana kutokana na mtandao/isp unayotumia. Hebu tuangalie hizi screenshot mbili

7918764_f520.jpg

Speedtest-Chicago-Ping.png


Screenshot ya kwanza jamaa ana download speed 8.41mb/ps na ping ya 700ms
Screenshot ya pili jamaa ana download speed 1.5mb/ps na ping ya 34ms

Hivyo kikawaida utasema jamaa wa kwanza mkali sababu speed yake kubwa lakini unasahu inamchukua sekunde 0.7 kusubiri kila anapoclick, jamaa wa pili speed yake sio kubwa sana ila inamchukua sekunde 0.03 tu kusubiri hivyo kwenye viber, kubrowse, video chat na video game jamaa wa pili anampita wa kwanza kirahisi kabisa.

Maeneo gani ukiwa na download speed kubwa unapeta?
1.Unapodownload kitu chochote iwe video/torrent/audio/picha/whatsap nk
2.Unapoangalia video online zenye buffer kama youtube

maeneo gani ping ikiwa faster unapeta?
1.Ukiongea kwa sauti (viber) au kwa video (skype) online
2.Ukiwa unabrowse
3.Ukicheza games online
4.Ukiwa unaangalia video online lakini zinaupdate in realtime mfano kuangalia mpira wa miguu live.

Hivyo tukichagua mtandao tusiangalie tu speed ya kudownload bali hata ping

Upload speed
Upload speed nayo ni muhimu pia hasa kwa webmaster na wanaochat na kupiga simu online. Unapoongea na mtu na viber inabidi kile ulichoongea kitumwe kwenye server kabla hakijamfikia uliempigia hivyo kunahitaji uwe na upload speed nzuri ili kifike haraka na kwa webmaster/youtubers nk nao wanahitaji upload speed nzuri ili kueka vitu vyao youtube au kwenye website zao.

Ningeomba kama kuna mtu anatumia ethernet ya TTCL au kampuni nyengine za internet watuekee screenshot za ping zao ili tulinganishe na hii mitandao yetu ya kina tigo na airtel tuone tunamiss nini.
hii ni airtel
 

Attachments

  • 1441866500938.jpg
    1441866500938.jpg
    56.5 KB · Views: 469
Sasa kutakuwa na maana gani ya kuwa na internet hata ya 10gbps lakini hata viber huwezi kuongea, huwezi fanya video call, ipo slow kubrowse, huwezi angalia vitu live online nk?

As long as internet zenye ping ndogo zipo na sisi wateja tutazitaka tu, hizo process za juu ni kazi ya isp sisi tunalipa hela wao wanatakiwa watupe huduma bora.
Nilikuwa nakuelewesha kuwa hiyo ping time pia inategemea speed. Hicho unachokiona kama speed kwenye speed test ni uplink/downlink yako (i.e. kati yako na ISP wako)
 
Ila hapo kwenye kutest kwa kutumia device yangu nilikuwa natumia server mbili tofauti ya Antananarivo na South Africa.

Kwa screenshot hii nimetumia server ya Antananarivo kwa upande wa device report ila ya Airtel Tanzania huwa inabaki hiyo hiyo.
 
Airtel kwenye modema ilikuwa inasoma 7Mbps ila kufungua page ilikuwa shida but vitu ambavyo nilikuwa nimevianzisha kudownload kwenye torrent vilikuwa vinaenda 40Kbps.

I don't know why?
 
Airtel kwenye modema ilikuwa inasoma 7Mbps ila kufungua page ilikuwa shida but vitu ambavyo nilikuwa nimevianzisha kudownload kwenye torrent vilikuwa vinaenda 40Kbps.

I don't know why?

itakuwa kuna vitu vinadownload chini kwa chini kama windows update, au app nyengine inaji update. imechukua muda sana hio hali?
 
Chief Mkwawa wewe ni moja ya Watz ambao mchango wenu unatakiwa sana kwa jamii ya Wabongo Umetoa mchango wa elimu yako pasi kuleta mambo ya siasasiasa kwa kuegemea upande wowote ule Ulichoongelea ni kweli tupu,mimi natumia IPTV ,aina ya box ni ULTRA 4 QUAD CORE,operating system ni Android 4.4 na HDMI cable kwa connection nk Picha za tv na video resolution quality zake ni za hali ya juu Naweza kuona tv za dunia nzima zikiwemo za bongo nk,lakini ni lazima uwe na high speed internet na GB za kutosha Huku niliko quality ya internet ni very high ,kikubwa ni hela yako mwenyewe na kwa huko nyumbani Serikali inaweza kuwabana hao intern providers kwa kuimarisha huduma zao na vilevile zikawa za uhakika muda wote kwani huduma kama hii inahitaji sana internet ya uhakika...Hongera sana Mtani Chief Mkwawa kwa maelezo yako,niko tayari kutoa taarifa zaidi kuhusu IPTV iwapo kuna mtu atazihitaji
 
Chief Mkwawa wewe ni moja ya Watz ambao mchango wenu unatakiwa sana kwa jamii ya Wabongo Umetoa mchango wa elimu yako pasi kuleta mambo ya siasasiasa kwa kuegemea upande wowote ule Ulichoongelea ni kweli tupu,mimi natumia IPTV ,aina ya box ni ULTRA 4 QUAD CORE,operating system ni Android 4.4 na HDMI cable kwa connection nk Picha za tv na video resolution quality zake ni za hali ya juu Naweza kuona tv za dunia nzima zikiwemo za bongo nk,lakini ni lazima uwe na high speed internet na GB za kutosha Huku niliko quality ya internet ni very high ,kikubwa ni hela yako mwenyewe na kwa huko nyumbani Serikali inaweza kuwabana hao intern providers kwa kuimarisha huduma zao na vilevile zikawa za uhakika muda wote kwani huduma kama hii inahitaji sana internet ya uhakika...Hongera sana Mtani Chief Mkwawa kwa maelezo yako,niko tayari kutoa taarifa zaidi kuhusu IPTV iwapo kuna mtu atazihitaji
Chief Mkwawa wewe ni moja ya Watz ambao mchango wenu unatakiwa sana kwa jamii ya Wabongo Umetoa mchango wa elimu yako pasi kuleta mambo ya siasasiasa kwa kuegemea upande wowote ule Ulichoongelea ni kweli tupu,mimi natumia IPTV ,aina ya box ni ULTRA 4 QUAD CORE,operating system ni Android 4.4 na HDMI cable kwa connection nk Picha za tv na video resolution quality zake ni za hali ya juu Naweza kuona tv za dunia nzima zikiwemo za bongo nk,lakini ni lazima uwe na high speed internet na GB za kutosha Huku niliko quality ya internet ni very high ,kikubwa ni hela yako mwenyewe na kwa huko nyumbani Serikali inaweza kuwabana hao intern providers kwa kuimarisha huduma zao na vilevile zikawa za uhakika muda wote kwani huduma kama hii inahitaji sana internet ya uhakika...Hongera sana Mtani Chief Mkwawa kwa maelezo yako,niko tayari kutoa taarifa zaidi kuhusu IPTV iwapo kuna mtu atazihitaji

Zinauzwa sh ngap hzo iptv, ni HD real na average bund kias gan kwa mwez mtu anaweza kutumia
 
Truu mkuu na kwa sisi tunaotumia proxy kwenye hii mitandao yetu tunaexperince sana hii kitu....ntafanya majaribio kwenye ttcl ntakupatia majibu chief
 
watu wengi wanalalamika speed ya kubrowse ni ndogo, hawezi kuangalia video online, wengine wakipiga viber japo speed kubwa lakini hawasikilizani, kuna wengine video chat na hata wacheza magame online wanalalamika. Vitu vyote hivi tunamsingizia download speed je ni sahihi? Mtandao ukiwa na speed kubwa ya kudownload basi vitu vyote hivi vitakuwa sawa?

Jibu ni hapana unaweza kuwa na speed kubwa ya kudownload hata 5gb per second lakini usiweze kuongea viber wala kuchat video skype sababu si download speed inayo determine mambo mengi bali ni latency na ping ndio wabaya wetu hasa hapa Tanzania.

Ni nini latency na ping?

Latency- huu ni muda ambao unachukua kuomba kitu kutoka server.(one way trip)
Ping-huu ni muda ambao unaomba kitu kutoka server hadi server kukujibu wewe (two trip)

hivyo hapa chini nitaongelea zaidi kuhusu ping na jinsi inavyokuathiri.

-SI unit ya ping ni millisecond na ikumbukwe millisecond 1000 ni sawa na 1 second(sekunde)

Hivyo tunaona hapa kumbe kuna muda hupotea kuomba kitu kwenye server hadi kujibiwa, mfano nataka kuingia JamiiForums nikiandika jamiiforums then nikabonyeza enter kuna muda utapotea kabla sijaanza kupokea data za Jamiiforums kwenye browser yangu. Huu muda hutofautiana kutokana na mtandao/isp unayotumia. Hebu tuangalie hizi screenshot mbili

7918764_f520.jpg

Speedtest-Chicago-Ping.png


Screenshot ya kwanza jamaa ana download speed 8.41mb/ps na ping ya 700ms
Screenshot ya pili jamaa ana download speed 1.5mb/ps na ping ya 34ms

Hivyo kikawaida utasema jamaa wa kwanza mkali sababu speed yake kubwa lakini unasahu inamchukua sekunde 0.7 kusubiri kila anapoclick, jamaa wa pili speed yake sio kubwa sana ila inamchukua sekunde 0.03 tu kusubiri hivyo kwenye viber, kubrowse, video chat na video game jamaa wa pili anampita wa kwanza kirahisi kabisa.

Maeneo gani ukiwa na download speed kubwa unapeta?
1.Unapodownload kitu chochote iwe video/torrent/audio/picha/whatsap nk
2.Unapoangalia video online zenye buffer kama youtube

maeneo gani ping ikiwa faster unapeta?
1.Ukiongea kwa sauti (viber) au kwa video (skype) online
2.Ukiwa unabrowse
3.Ukicheza games online
4.Ukiwa unaangalia video online lakini zinaupdate in realtime mfano kuangalia mpira wa miguu live.

Hivyo tukichagua mtandao tusiangalie tu speed ya kudownload bali hata ping

Upload speed
Upload speed nayo ni muhimu pia hasa kwa webmaster na wanaochat na kupiga simu online. Unapoongea na mtu na viber inabidi kile ulichoongea kitumwe kwenye server kabla hakijamfikia uliempigia hivyo kunahitaji uwe na upload speed nzuri ili kifike haraka na kwa webmaster/youtubers nk nao wanahitaji upload speed nzuri ili kueka vitu vyao youtube au kwenye website zao.

Ningeomba kama kuna mtu anatumia ethernet ya TTCL au kampuni nyengine za internet watuekee screenshot za ping zao ili tulinganishe na hii mitandao yetu ya kina tigo na airtel tuone tunamiss nini.
A
watu wengi wanalalamika speed ya kubrowse ni ndogo, hawezi kuangalia video online, wengine wakipiga viber japo speed kubwa lakini hawasikilizani, kuna wengine video chat na hata wacheza magame online wanalalamika. Vitu vyote hivi tunamsingizia download speed je ni sahihi? Mtandao ukiwa na speed kubwa ya kudownload basi vitu vyote hivi vitakuwa sawa?

Jibu ni hapana unaweza kuwa na speed kubwa ya kudownload hata 5gb per second lakini usiweze kuongea viber wala kuchat video skype sababu si download speed inayo determine mambo mengi bali ni latency na ping ndio wabaya wetu hasa hapa Tanzania.

Ni nini latency na ping?

Latency- huu ni muda ambao unachukua kuomba kitu kutoka server.(one way trip)
Ping-huu ni muda ambao unaomba kitu kutoka server hadi server kukujibu wewe (two trip)

hivyo hapa chini nitaongelea zaidi kuhusu ping na jinsi inavyokuathiri.

-SI unit ya ping ni millisecond na ikumbukwe millisecond 1000 ni sawa na 1 second(sekunde)

Hivyo tunaona hapa kumbe kuna muda hupotea kuomba kitu kwenye server hadi kujibiwa, mfano nataka kuingia JamiiForums nikiandika jamiiforums then nikabonyeza enter kuna muda utapotea kabla sijaanza kupokea data za Jamiiforums kwenye browser yangu. Huu muda hutofautiana kutokana na mtandao/isp unayotumia. Hebu tuangalie hizi screenshot mbili

7918764_f520.jpg

Speedtest-Chicago-Ping.png


Screenshot ya kwanza jamaa ana download speed 8.41mb/ps na ping ya 700ms
Screenshot ya pili jamaa ana download speed 1.5mb/ps na ping ya 34ms

Hivyo kikawaida utasema jamaa wa kwanza mkali sababu speed yake kubwa lakini unasahu inamchukua sekunde 0.7 kusubiri kila anapoclick, jamaa wa pili speed yake sio kubwa sana ila inamchukua sekunde 0.03 tu kusubiri hivyo kwenye viber, kubrowse, video chat na video game jamaa wa pili anampita wa kwanza kirahisi kabisa.

Maeneo gani ukiwa na download speed kubwa unapeta?
1.Unapodownload kitu chochote iwe video/torrent/audio/picha/whatsap nk
2.Unapoangalia video online zenye buffer kama youtube

maeneo gani ping ikiwa faster unapeta?
1.Ukiongea kwa sauti (viber) au kwa video (skype) online
2.Ukiwa unabrowse
3.Ukicheza games online
4.Ukiwa unaangalia video online lakini zinaupdate in realtime mfano kuangalia mpira wa miguu live.

Hivyo tukichagua mtandao tusiangalie tu speed ya kudownload bali hata ping

Upload speed
Upload speed nayo ni muhimu pia hasa kwa webmaster na wanaochat na kupiga simu online. Unapoongea na mtu na viber inabidi kile ulichoongea kitumwe kwenye server kabla hakijamfikia uliempigia hivyo kunahitaji uwe na upload speed nzuri ili kifike haraka na kwa webmaster/youtubers nk nao wanahitaji upload speed nzuri ili kueka vitu vyao youtube au kwenye website zao.

Ningeomba kama kuna mtu anatumia ethernet ya TTCL au kampuni nyengine za internet watuekee screenshot za ping zao ili tulinganishe na hii mitandao yetu ya kina tigo na airtel tuone tunamiss nini.

Asante sana kwa somo zuri
 
hio kama ya operamini,
Mkuu unaweza msaidiaje mtu ambaye instagram account yake iko hacked na no aliyojiungia alibadiri kwa sasa hana access nayo na email ambayo alijiungia hana access nayo haitumii ila kitu kimoja alijiunga instagram kupitia account ya facebook
 
Mkuu unaweza msaidiaje mtu ambaye instagram account yake iko hacked na no aliyojiungia alibadiri kwa sasa hana access nayo na email ambayo alijiungia hana access nayo haitumii ila kitu kimoja alijiunga instagram kupitia account ya facebook
awasiliane na instagram moja kwa moja na awape details nyingi kadri atakavyoweza kama password ya zamani, hio id ya FB vitu alivyofanya zamani etc.

hio namba iweje asiipate? kama ilikuwa ni yake si akai renew?
 
awasiliane na instagram moja kwa moja na awape details nyingi kadri atakavyoweza kama password ya zamani, hio id ya FB vitu alivyofanya zamani etc.

hio namba iweje asiipate? kama ilikuwa ni yake si akai renew?


Je kama hacker kabadiri hadi no na email ina maana gani ku renew no?
 
Je kama hacker kabadiri hadi no na email ina maana gani ku renew no?

akibadili email na namba tena ndio inakuwa rahisi kumdaka, sababu instagram wakikurudishia watakupa na details kama hizo, hio namba/email ya zamani itatumika kufanyia recovery.

huwa most of time hakuna cha hack wala nini, ni mshkaji wako tu wa karibu ndio anakuibia.
 
Back
Top Bottom