Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,495
- 5,025
Hii ni kwa pc au hata simu mzee wa kazi nami niwekemambo ya tech huwezi kufanya generalisation hivyo.
na ufahamu voda na halotel Tanzania speed yao ni above average compare na speed ya dunia.
hapo tutahitaji kujua mtandao aliotumia huko holland, site alizovisit huko na huku, na mambo mengine mengi
na ultimatum ni kuweka firewall, haiwezekani mtu utumie tu dhana na uache kutumia njia za kitaalamu, firewall haitadanganya kama kuna update ama chochote kilichomaliza data itakuambia.
We unazipata wapi hiso mkasi sheikhe mbona kama zina ka uwiano flan tu sawaNina laini yao Safaricom, Aisee kweli asikwambie mtu bando bei ni mkasi sana heri ndugu zao wa hapa nchini voda...
Yeah ni kweli ila sikuitaja hiyo mana naijua hadi net assets figure yake. Haijafika hata nusu ya pesa amevuna alipouza hisa za voda. Voda alipouza awamu mbili alivuna zaidi ya 1T za kitanzania.
aaah wee,mtz unamuuziaje 15mb!!!ili afanyie kitu gani??We unazipata wapi hiso mkasi sheikhe mbona kama zina ka uwiano flan tu sawaView attachment 1666229View attachment 1666230View attachment 1666231
Tutfika tuaaah wee,mtz unamuuziaje 15mb!!!ili afanyie kitu gani??
hawa ndio voda wenye vifurushi ghali kati ya mitandao popular tz,achana na akina halotel na airtel
hapo kuna week na mwezi,linganisha.View attachment 1666889View attachment 1666890
[emoji736]Uzungu unawacost sana smile. Kuna style flani wanalazimisha waonekane ni premier wakati soko la sasa watu wanapenda ofa na bwerere.
Nawaza kama tigo isingepambana kipindi kile cha longa longa, chombeza, etc kiasi kwamba mtu anaongea bure masaa 12 kuanzia sa12 jioni hakika wasingetoboa. Walijitoa ufahamu wakachoma pesa nyingi sana tigo kupata nafasi waliyopo sasa.
Kama isingekuwa vile mobitel ingekuwa historia kwasasa. Smile nao walipaswa wapambane upande wa data wangepiga ofa za uhakika miezi sita ama mwaka hakika kwa watu wanavyopenda kuwa mitandaoni kila mtu angekuwa na simcard ya smile.