Je, mtandao wa Smile umefunga virago Tanzania?

Je, mtandao wa Smile umefunga virago Tanzania?

mambo ya tech huwezi kufanya generalisation hivyo.

na ufahamu voda na halotel Tanzania speed yao ni above average compare na speed ya dunia.

hapo tutahitaji kujua mtandao aliotumia huko holland, site alizovisit huko na huku, na mambo mengine mengi

na ultimatum ni kuweka firewall, haiwezekani mtu utumie tu dhana na uache kutumia njia za kitaalamu, firewall haitadanganya kama kuna update ama chochote kilichomaliza data itakuambia.
Hii ni kwa pc au hata simu mzee wa kazi nami niweke
 
Nina laini yao Safaricom, Aisee kweli asikwambie mtu bando bei ni mkasi sana heri ndugu zao wa hapa nchini voda...
We unazipata wapi hiso mkasi sheikhe mbona kama zina ka uwiano flan tu sawa
IMG_20210103_091019_457.jpg
IMG_20210103_091024_042.jpg
IMG_20210103_091022_201.jpg
 
Yeah ni kweli ila sikuitaja hiyo mana naijua hadi net assets figure yake. Haijafika hata nusu ya pesa amevuna alipouza hisa za voda. Voda alipouza awamu mbili alivuna zaidi ya 1T za kitanzania.

Pia mkumbuke Rostam ana Mihans/Taifa Gas
 
Hawajakosea, kuna segment ambayo waliitarget kutoa huduma, mfumo wao haukuwalenga watu wenye kipato kidogo, hakuna makosa hapo isipokuwa biashara imekuwa ngumu sana si kwao tu na corona ikamaliza kabisa.
 
Uzungu unawacost sana smile. Kuna style flani wanalazimisha waonekane ni premier wakati soko la sasa watu wanapenda ofa na bwerere.

Nawaza kama tigo isingepambana kipindi kile cha longa longa, chombeza, etc kiasi kwamba mtu anaongea bure masaa 12 kuanzia sa12 jioni hakika wasingetoboa. Walijitoa ufahamu wakachoma pesa nyingi sana tigo kupata nafasi waliyopo sasa.

Kama isingekuwa vile mobitel ingekuwa historia kwasasa. Smile nao walipaswa wapambane upande wa data wangepiga ofa za uhakika miezi sita ama mwaka hakika kwa watu wanavyopenda kuwa mitandaoni kila mtu angekuwa na simcard ya smile.
[emoji736]
 
Back
Top Bottom